Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni TID , Marlaw, AY, Ray C, Daz baba, Suma Lee,kwenye video zao enzi hizo…(+Video)

Muziki wa Bongo Fleva una safari yake ndefu tu, wengine wapo kwenye game wengine hawapo…..nakukumbusha na vitu vya zamani kidogo mtu wangu, hapa ninazo video za kitambo kidogo za mastaa mbalimbali TZ kwenye ubora wao yani enzi hizo. Ninazo video 10 zilizokuwa zikitambata enzi hizo.. TID – zeze Marlaw –Bembeleza Ray C – Uko wapi […]

The post Ni TID , Marlaw, AY, Ray C, Daz baba, Suma Lee,kwenye video zao enzi hizo…(+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Ni Afande Sele, Alikiba, Juma Nature, Ferooz kwenye video zao enzi hizo……(+Video)

Muziki wa Bongo Fleva una safari yake ndefu tu, wengine wapo kwenye game wengine hawapo…..nakukumbusha na vitu vya zamani kidogo mtu wangu, hapa ninazo video za kitambo kidogo za mastaa mbalimbali TZ kwenye ubora wao yani enzi hizo. Ninazo video 5 zilizokuwa zikitambata enzi hizo.. Afande Sele ft Ditto –Darubini kali Mez B ft Ray […]

The post Ni Afande Sele, Alikiba, Juma Nature, Ferooz kwenye video zao enzi hizo……(+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Bongo5

Video: Tazama walichofanya Soggy Doggy,Wakazi na TID kwenye uzinduzi wa video za Professor Jay

Wasanii kibao walijitokeza kumsapoti Professor Jay kwenye uzinduzi wa video zake mbili Jumamosi hii. Soggy Doggy,Wakazi na TID ni baadhi ya wasanii waliotumbuizam Tazama ilivyokuwa. TID aikiimba wimbo wa Missing You wa KC & JOJO TID na Wakazi wakitoa Freestyle Soggy Doggy akitumbuiza

 

10 years ago

GPL

RAY C AAPA KUMSAIDIA DAZ BABA

Na Hamida Hassan
Staa wa muziki wa kizazi kipya, Rehema Chalamila ‘Ray C’ ameapa kumsaidia mwanamuziki mwenzake David Jacob ‘Daz Baba’ anayedaiwa kujihusisha na utumiaji wa madawa ya kulevya.
Chanzo chetu cha kuaminika kimeeleza kuwa, Ray C amekuwa akiumizwa na hali aliyonayo Daz Baba na amefanya kila awezavyo hadi kuongea naye ili aanze kutumia dozi ya Methadone ambayo wengi huipata katika Hospitali...

 

9 years ago

Bongo5

Daz Baba aanzisha kampuni ya kutengeneza video, ‘Premiere MK’

Daz-Baba11

Msanii wa kundi la zamani Daz Nundaz, Daz Baba, amefungua kampuni yake ya kufanya video iitwayo ‘Premiere MK.’

Daz-Baba11

Rapa huyo aliyewahi kutamba na wimbo ‘Namba 8’ ameiambia Bongo5 kuwa kampuni hiyo tayari imeshazinduliwa kwa kufanya video ya wimbo wake mpya uitwao Viwanjani.

“Lengo la kampuni yetu ni kusogeza sanaa mbele kwa sababu watu wengi wenye kampuni zao za video wanaringa sana. Kwahiyo tukaamua kuanzisha kampuni yetu ili itusaidie sisi pamoja na wasanii wengine. Kwahiyo kupitia kampuni...

 

9 years ago

MillardAyo

‘Ligi Ndogo’ hii hapa kwenye video iliyochanganywa TZ na South Africa >> Bil Nas Feat. TID (Video)

‘Ligi Ndogo’ nayo ni moja ya ngoma kali za kuheshimika kwa mwaka 2015, hiyo ni kazi ya kijana mwenye ukali wake kwenye rap music, Billnass Feat. TID. Kwa sababu redioni imekamata na imekubalika, unaweza kuona na video yake ilivyo sasahivi… Billnass aliikabidhi kazi kwa director Mbongo, Hanscana na kazi ndio hii imekuja tayari. Unataka kutumiwa […]

The post ‘Ligi Ndogo’ hii hapa kwenye video iliyochanganywa TZ na South Africa >> Bil Nas Feat. TID (Video) appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Kwenye stori za utani wa Rais Magufuli na watu wake, cheki alivyoukataa Urais enzi hizo.. (+Video)

Kuna wakati unajikuta unaelekea njia ambayo hujaipanga kwenye maisha yako, lakini huenda MUNGU alikupangia huko… jina la Dk. John Pombe Magufuli huenda halikupewa nafasi kubwa sana na watu wengi hasa ukiiangalia list ya makada 38 wa CCM walioingia kwenye mchakato wa kugombea Urais 2015, mwisho wa siku akapita yeye na akapata Urais !! Lakini unadhani […]

The post Kwenye stori za utani wa Rais Magufuli na watu wake, cheki alivyoukataa Urais enzi hizo.. (+Video) appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

TBT:Picha 10 za Diamond Platnumz, Nancy Sumary, Babu Tale, Izzo, Ommy Dimpoz, Rais MAGUFULI enzi hizo….

Ni TBT!! Throwing back thursday ambapo huwa tunaitumia hii siku kushare zile picha zetu za zamani ambapo kwenye millardayo.com kila wiki tutakua tunakuletea picha mbalimbali za mastaa wakiwa kwenye pozi miaka kadhaa iliyopita. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line yatiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa […]

The post TBT:Picha 10 za Diamond Platnumz, Nancy Sumary, Babu Tale, Izzo, Ommy Dimpoz, Rais MAGUFULI enzi hizo…. appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

TBT:Picha 8 za Rais Magufuli , Izzo B , Linex, Nikki wa pili, Hermy B, Ben Pol, Rose Ndauka enzi hizo…

Ni TBT!! Throwing back thursday ambapo huwa tunaitumia hii siku kushare zile picha zetu za zamani ambapo kwenye millardayo.com kila wiki tutakua tunakuletea picha mbalimbali za mastaa wakiwa kwenye pozi miaka kadhaa iliyopita.   Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line yatiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg […]

The post TBT:Picha 8 za Rais Magufuli , Izzo B , Linex, Nikki wa pili, Hermy B, Ben Pol, Rose Ndauka enzi hizo… appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani