Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Daz Baba aanzisha kampuni ya kutengeneza video, ‘Premiere MK’

Daz-Baba11

Msanii wa kundi la zamani Daz Nundaz, Daz Baba, amefungua kampuni yake ya kufanya video iitwayo ‘Premiere MK.’

Daz-Baba11

Rapa huyo aliyewahi kutamba na wimbo ‘Namba 8’ ameiambia Bongo5 kuwa kampuni hiyo tayari imeshazinduliwa kwa kufanya video ya wimbo wake mpya uitwao Viwanjani.

“Lengo la kampuni yetu ni kusogeza sanaa mbele kwa sababu watu wengi wenye kampuni zao za video wanaringa sana. Kwahiyo tukaamua kuanzisha kampuni yetu ili itusaidie sisi pamoja na wasanii wengine. Kwahiyo kupitia kampuni...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Sheddy Clever sasa kuanza kutengeneza video, aanzisha Burn Shine Video production

Producer aliyetengeneza hits kibao za Bongo Sheddy Clever wa studio ya Burn Records, ameendelea kutuonesha matunda aliyoyapata kupitia hits nyingi ikiwemo iliyompa ‘mileage’ kubwa huenda kuliko yoyote aliyowahi kutengeneza ‘Number 1’ ya Diamond Platnumz. Baada ya kuiboresha studio yake ya audio miezi michache iliyopita hivi sasa amefungua kitengo kingine cha kutengeneza video. Kupitia Instagram Sheddy […]

 

9 years ago

MillardAyo

Ni TID , Marlaw, AY, Ray C, Daz baba, Suma Lee,kwenye video zao enzi hizo…(+Video)

Muziki wa Bongo Fleva una safari yake ndefu tu, wengine wapo kwenye game wengine hawapo…..nakukumbusha na vitu vya zamani kidogo mtu wangu, hapa ninazo video za kitambo kidogo za mastaa mbalimbali TZ kwenye ubora wao yani enzi hizo. Ninazo video 10 zilizokuwa zikitambata enzi hizo.. TID – zeze Marlaw –Bembeleza Ray C – Uko wapi […]

The post Ni TID , Marlaw, AY, Ray C, Daz baba, Suma Lee,kwenye video zao enzi hizo…(+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Mtanzania

Daz Baba amkumbuka Mwangwea

mangweaNA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, David Jacob ‘Daz Baba’, amesema video yake mpya itakayofahamika kama ‘Mzigo Viwanjani’ ni kumbukumbu tosha ya marehemu Albert Mangwea.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Daz baba alisema aliweza kumshirikisha Mangwea katika single ya wimbo huo.
“Tulifanya mambo mengi sana na Mangwea, hivyo video hii imekuwa kumbukumbu kwangu,” alisema Daz Baba.
Alisema video hiyo inafanywa chini ya mtayarishaji Lamar, inatarajiwa kukamilika muda...

 

9 years ago

Bongo5

Ukata waikwamisha taasisi ya Daz Baba

Daz Baba amesema anashindwa kufanya miradi ya maendeleo ya kijamii kupitia taasisi yake ya ‘Tanzania Songa Mbele Daima’ kutokana na taasisi hiyo kukumbwa na ukata wa fedha. Akizungumza na kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na EATV, muimbaji huyo wa kundi la zamani la Daz Nundaz, alisema tayari ameshajaribu kuzunguka huku na kule ili kupata wadhamini […]

 

10 years ago

GPL

RAY C AAPA KUMSAIDIA DAZ BABA

Na Hamida Hassan
Staa wa muziki wa kizazi kipya, Rehema Chalamila ‘Ray C’ ameapa kumsaidia mwanamuziki mwenzake David Jacob ‘Daz Baba’ anayedaiwa kujihusisha na utumiaji wa madawa ya kulevya.
Chanzo chetu cha kuaminika kimeeleza kuwa, Ray C amekuwa akiumizwa na hali aliyonayo Daz Baba na amefanya kila awezavyo hadi kuongea naye ili aanze kutumia dozi ya Methadone ambayo wengi huipata katika Hospitali...

 

9 years ago

Bongo5

Hiki ndicho Daz Baba anachojivunia

Rapper Daz Baba amesema anachojivunia katika muziki wake mpaka sasa ni kiwanja pamoja na muziki wake kuwa mfano kwa wengine. Daz ameiambia Bongo5 leo kuwa haangalii anaingiza pesa kiasi gani ila anaangalia mchango wake kwenye muziki. “Mafanikio yangu kwenye muziki ni kuwa na identity yangu. Muziki wangu umekuwa na mchango sana kwenye muziki huu. Kwenye […]

 

10 years ago

CloudsFM

DAZ BABA AKANA KUTUMIA ‘UNGA’

wiki iliyopita ilisambaa picha ikimuonyesha msanii wa Bongo Fleva aliyekuwa mmoja wa mwanamuziki wa kundi la Daz Nundaz,Daz Baba amechoka na kuonyesha kuwa anaumwa na anahitaji msaada.
Msanii huyo amezungumza na xxl clouds fm alisema kuwa amesikitishwa na taarifa hizo kwani ni uzushi na kwamba yeye ni mzima haumwi na akizungumzia ishu ya kutumia unga alikana kutumia madawa ya kulevya.

 

10 years ago

Bongo5

Daz Baba: Msiamini yaliyoandikwa, mimi nipo fit

Daz Baba amedai kuwa yupo gado kama Zay B tofauti na magazeti ya udaku yalivyoandika miezi ya hivi karibuni. Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu, msanii huyo amesema anajiandaa kuja na album yake mpya. Daz Baba ameiambia Bongo5, kuachia kwake album kutawafanya mashabiki wake wapate kazi zake kwa wingi tofauti na kuachia single moja […]

 

10 years ago

GPL

AFANDE ACHA HIZO, UKWELI UTAMSAIDIA DAZ BABA!

SELEMANI Msindi, ndiye msanii wangu bora kabisa wa tungo za kiume, zinazopeleka ujumbe moja kwa moja pasipo mafumbo na kama itabidi liwe fumbo, kwa wanazuoni, ni rahisi mno kujua mlengwa. Wengi wanamfahamu kama Afande Sele, kijana wa pale Morogoro ambaye wakati f’lani akitafuta maisha, aliwahi kujaribu kupata ajira katika Jeshi la Polisi, chanzo hasa cha jina lake hili la kisanii. Kati ya wasanii wakubwa ninaowafahamu kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani