Sheddy Clever sasa kuanza kutengeneza video, aanzisha Burn Shine Video production
Producer aliyetengeneza hits kibao za Bongo Sheddy Clever wa studio ya Burn Records, ameendelea kutuonesha matunda aliyoyapata kupitia hits nyingi ikiwemo iliyompa ‘mileage’ kubwa huenda kuliko yoyote aliyowahi kutengeneza ‘Number 1’ ya Diamond Platnumz. Baada ya kuiboresha studio yake ya audio miezi michache iliyopita hivi sasa amefungua kitengo kingine cha kutengeneza video. Kupitia Instagram Sheddy […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo511 Nov
Sheddy Clever aja na lebo yake, ‘Burn Records Tanzania’
![sheddy na Ne-yo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/08/sheddy-na-Ne-yo-300x194.jpg)
Mtayarishaji wa wimbo ulioshinda tuzo kibao, Number One wa Diamond Platnumz, Sheddy Clever, ameanzisha lebo yake ya muziki.
Kupitia ukurasa wa Instagram, Sheddy Clever ameandika:
Kuna bora kipaji na Kipaji bora. Sasa hawa ni zaidi ya kipaji bora nina imani watafika pale wanapopataka na mimi nitawa support kwa nguvu zangu zote.Naomba itambulike hawa ndio wasanii wangu walio chini ya studio yangu Burnrecordz . Lakini hawawezi fanikiwa bila ya wewe shabiki na mpenzi wa bongofleva kuwapokea na...
10 years ago
Bongo503 Oct
Sheddy Clever atayarisha wimbo wa Tiwa Savage na KCEE (Video)
9 years ago
Bongo516 Dec
Daz Baba aanzisha kampuni ya kutengeneza video, ‘Premiere MK’
![Daz-Baba11](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/02/Daz-Baba11-300x194.jpg)
Msanii wa kundi la zamani Daz Nundaz, Daz Baba, amefungua kampuni yake ya kufanya video iitwayo ‘Premiere MK.’
Rapa huyo aliyewahi kutamba na wimbo ‘Namba 8’ ameiambia Bongo5 kuwa kampuni hiyo tayari imeshazinduliwa kwa kufanya video ya wimbo wake mpya uitwao Viwanjani.
“Lengo la kampuni yetu ni kusogeza sanaa mbele kwa sababu watu wengi wenye kampuni zao za video wanaringa sana. Kwahiyo tukaamua kuanzisha kampuni yetu ili itusaidie sisi pamoja na wasanii wengine. Kwahiyo kupitia kampuni...
11 years ago
TheCitizen13 Jun
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Sheddy Clever: Mashabiki wamemtosa Diamond
PRODYUZA wa mkali wa muziki wa kizazi kipya nchini, Naseb Abdul ‘Diamond Platinum’, Sheddy Clever, amesema Watanzania ndio wamemuangusha msanii huyo katika harakati zake za kuwania tuzo za MTV MAMA....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
NAFURAHI KUKOSA TUZO ZA KILI - SHEDDY CLEVER
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhk--oiCpaS6KH4BvbwTAKr78mMYi-LI4QKeXMxkTKUGhpz*PMCFSwz*XlIiZLVYE-iVqLo7CrPn7HzC4PM3ZZv1/IMG20140311WA0002.jpg?width=600)
SHEDDY CLEVER; PRODYUZA ALIYEBEBWA NA NYOTA YA DIAMOND
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Diamond, Jide, Sheddy Clever wamefungua njia
USIKU wa kuamkia Julai 27, macho na masikio ya wapenzi na wadau wa muziki nchini yalihamia nchini Marekani ambapo kulikuwa na utoaji wa tuzo za African Muzik Magazine Awards (AFRIMMA)...
9 years ago
Bongo505 Dec
Sheddy Clever aelezea furaha yake kukutana na Bizman studio
![Shebby Clever na Bizman](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Shebby-Clever-na-Bizman-300x194.jpg)
Mtayarishaji wa muziki wa Burn Records, Sheddy Clever ameelezea furaha yake baada ya kutembelewa na mtayarishaji mkongwe wa muziki, Bizman na kumfunza baadhi ya mambo.
Sheddy ameiambia Bongo5 kuwa ilikuwa ni ndoto yake ya siku nyingi kukutana na mkongwe huyo aliyekuwa akisikiliza ngoma zake tangu akiwa shuleni.
“Bizman ni mtu ambaye namwelewa sana na namkubali sana toka nipo shule kazi zake nazitambua,” amesema Sheddy. “Kwahiyo nilikuwa nikimtafuta siku nyingi sana lakini nilikuwa simpati...