‘Ligi Ndogo’ hii hapa kwenye video iliyochanganywa TZ na South Africa >> Bil Nas Feat. TID (Video)
‘Ligi Ndogo’ nayo ni moja ya ngoma kali za kuheshimika kwa mwaka 2015, hiyo ni kazi ya kijana mwenye ukali wake kwenye rap music, Billnass Feat. TID. Kwa sababu redioni imekamata na imekubalika, unaweza kuona na video yake ilivyo sasahivi… Billnass aliikabidhi kazi kwa director Mbongo, Hanscana na kazi ndio hii imekuja tayari. Unataka kutumiwa […]
The post ‘Ligi Ndogo’ hii hapa kwenye video iliyochanganywa TZ na South Africa >> Bil Nas Feat. TID (Video) appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo530 Dec
New Video: Billnass ft. TID – Ligi Ndogo
![billnass](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/billnass-300x194.jpg)
Msanii anayefanya kazi chini ya Radar Entertainment, Billnass ameachia video mpya ya wimbo wake uliotoka miezi kadhaa iliyopita – Ligi Ndogo, ambao pia amemshirikisha TID. Hii ni video yake ya tatu na imeongozwa na director aliyefanya vizuri mwaka huu 2015, Hanscana.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/xs5LPM2R4fQ/default.jpg)
11 years ago
Michuzi05 May
10 years ago
Bongo514 Sep
Video: Tazama walichofanya Soggy Doggy,Wakazi na TID kwenye uzinduzi wa video za Professor Jay
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Ni TID , Marlaw, AY, Ray C, Daz baba, Suma Lee,kwenye video zao enzi hizo…(+Video)
Muziki wa Bongo Fleva una safari yake ndefu tu, wengine wapo kwenye game wengine hawapo…..nakukumbusha na vitu vya zamani kidogo mtu wangu, hapa ninazo video za kitambo kidogo za mastaa mbalimbali TZ kwenye ubora wao yani enzi hizo. Ninazo video 10 zilizokuwa zikitambata enzi hizo.. TID – zeze Marlaw –Bembeleza Ray C – Uko wapi […]
The post Ni TID , Marlaw, AY, Ray C, Daz baba, Suma Lee,kwenye video zao enzi hizo…(+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo19 Dec
Dakika 4 za ‘Sweety Sweety’ iliyoletwa na Chege kutoka South Africa, Feat. Uhuru & Runtown.. (+Video)
Inawezekana kampeni za Uchaguzi Mkuu 2015 pamoja na shughuli za uchaguzi wenyewe vilifanya wasanii wengi wakakaa zao na mizigo ya ngoma kali chimbo ili kusubiri hali ikae sawa ndio vitu viachiwe. Chege nae alikuwa chimbo na mzigo wa bondeni nini ??!! Kama umeshtukia ni kwamba mawimbi ya radio TZ yamepakua ngoma mpya karibu kila siku […]
The post Dakika 4 za ‘Sweety Sweety’ iliyoletwa na Chege kutoka South Africa, Feat. Uhuru & Runtown.. (+Video) appeared first on...
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Ni video juu ya video, Chris Brown anaisogeza ‘Anyway’ feat. Tayla Parx – (Video)!
Kwa siku ya tatu mfululizo staa wa muziki Chris Brown amekuwa akizisogeza videos kutoka kwenye album yake mpya, Royalty… jana December 16 2015 staa huyo aliileta kwetu Wrist kwenye video na leo C Breezy anaisogea kwetu ‘Anyway’ pembeni akiwa na mrembo Tayla Parx. ‘Anyway’ ni single ya tatu kutoka kwenye album mpya ya Chris Brown […]
The post Ni video juu ya video, Chris Brown anaisogeza ‘Anyway’ feat. Tayla Parx – (Video)! appeared first on...