Black Rhino asimulia jinsi collabo ya Chagua Moja ya Fid Q, Langa na Adili ilivyowaweka kwenye ushindani wa kutaka kufunikana
Chagua Moja, ya Fid Q aliyowashirikisha Black Rhino, marehemu Langa na Adili ni moja kati ya collabo bora zilizowahi kufanyika kwenye muziki wa Bongo Flava. Black Rhino amekiambia kipindi cha Chill na Sky kuwa wimbo huo ulifanyika katika mazingira yenye ushindani mkubwa. “Kila mtu alikuwa anataka amuonesha mwenzake kwamba, me I am the best, kwahiyo […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Dakika tatu za kumsikiliza rapper Black Rhino kwenye ngoma mpya,- ‘Time ya Kumeki Doo’ (+Audio)
Ukitaja list ya mastaa wa rap ambao waliwahi kufanya vizuri TZ toka kipindi ambacho game ya Bongo fleva ilianza kushika, huwezi kuacha jina la Black Rhino. Unaikumbuka ‘Usipime‘ ?!! Au unakumbuka ile michano ya kwenye ‘Chagua Moja‘ ya Fid Q ?!! Basi huyu ndio Black Rhino kwenye ukali wake, kaja na ngoma nyingine ambayo imetambulishwa […]
The post Dakika tatu za kumsikiliza rapper Black Rhino kwenye ngoma mpya,- ‘Time ya Kumeki Doo’ (+Audio) appeared first on...
9 years ago
Bongo528 Sep
Video: Avril asimulia kwa mara ya kwanza jinsi alivyoanguka kwenye swimming pool wakati akitumbuiza Dar
10 years ago
Habarileo09 Aug
`Ushindani wa namba ni mkubwa Azam’ Alikiba, Mafikizolo, Sauti Sol kutumbuiza pamoja Dar Na Mwandishi Wetu MWANAMUZIKI wa Tanzania Alikiba na Feza Kessy watapanda jukwaa moja na wakali Mafikizolo na Black Motion zote za Afrika Kusini katika tamasha la m
MCHEZAJI wa Azam FC, Kelvin Friday amesema ushindani wa namba ni mkubwa katika kikosi chake, hivyo anahitaji kuonesha juhudi ili kufanya vizuri na kuingizwa katika kikosi cha kwanza.
10 years ago
Bongo505 Feb
Vanessa Mdee na Davido washirikishwa kwenye ngoma moja ya msanii wa Ghana, D-Black
11 years ago
CloudsFM17 Jun
Wimbo mpya wa Langa aliomshirikisha Julio & Langa
Ni mwaka mmoja tangu kifo cha rapper Langa, imefahamika kuwa siku 5 kabla ya kufariki kwakealiweza kumalizia ngoma yake ya mwisho iliyokuwa inahusiana na maisha yake. Na ndio siku waliokutana na Julio Batalia aliyekuwa mshiriki wa BBA 2012 na kufikia hatua ya kumaliza kipande chao na kumsubiria TID ambaye mwaka 2013 siku hiyo alikuwa Uingereza na ilikuwa ombi lake la mwisho kwamba kwenye ngoma yake hiyo alikuwa anataka kumsikia mnyama TID angefanya nini kwenye chorus. Pata ngoma hii ambayo...
10 years ago
Bongo527 Jun
Video: Black Rhino Ft Ishmae & YoungboiVeezo – We Get it on
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Mwanamume mweye jinsi mbili asimulia maisha yake
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
BBC kutangaza fainali za Langa langa
10 years ago
BBCSwahili03 Nov
Hamilton amshinda Rosberg,Langa Langa