Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hamilton amshinda Rosberg,Langa Langa

Dereva Lewis Hamilton wa timu ya Mercedes amemshinda mwenzake Nico Rosberg katika mashindano ya langa langa ya US Grand prix.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

Wimbo mpya wa Langa aliomshirikisha Julio & Langa

Ni mwaka mmoja tangu kifo cha rapper Langa, imefahamika kuwa siku 5 kabla ya kufariki kwakealiweza kumalizia ngoma yake ya mwisho iliyokuwa inahusiana na maisha yake. Na ndio siku waliokutana na Julio Batalia aliyekuwa mshiriki wa BBA 2012 na kufikia hatua ya kumaliza kipande chao na kumsubiria TID ambaye mwaka 2013 siku hiyo alikuwa Uingereza na ilikuwa ombi lake la mwisho kwamba kwenye ngoma yake hiyo alikuwa anataka kumsikia mnyama TID angefanya nini kwenye chorus. Pata ngoma hii ambayo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Langa langa yazindua magari mapya

Michuano ya magari ya Fomula one maarufu kama Langa Langa imezindua magari mapya na yamesha anza kufanyiwa majaribio.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ilikotokea, ilipo Zaiko Langa Langa

UKITAKA kuuzungumzia muziki kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, huwezi kumaliza pasipo kuwataja Zaiko Langa Langa, bendi ya dansi inayoongozwa na Nyoka Longo. Zaiko wamekuwa maarufu na kuendeleza umaarufu wao...

 

10 years ago

BBCSwahili

BBC kutangaza fainali za Langa langa

Fainali za langa langa ya Formula 1 msimu huu 2014 huko Abu Dhabi kutangazwa moja kwa moja na BBC,radio,televishen na mtandao

 

9 years ago

BBCSwahili

Rosberg amshinda Hamilton nchini Mexico

Rosberg alipata ushindi wake wa kwanza kabisa katika muda wa miezi minne baada ya kumshinda Hamilton katika Mexican Grand Prix.

 

10 years ago

Africanjam.Com

10 years ago

BBCSwahili

Nico Rosberg atamani kumbwaga Hamilton

Nico Rosberg amesema ni muhimu kwa mara ya kwanza kumaliza mashindano akiwa mbele ya dereva mwenzake wa timu hiyo Lewis Hamilton.

 

11 years ago

CloudsFM

LANGA ATIMIZA MWAKA MMOJA TANGU AFARIKI DUNIA

Tarehe kama ya leo mwaka jana,msanii wa Hip Hop, Langa Lileo, rais wa gheto mida ya jioni alitangazwa kuwa amefariki dunia, kwa mujibu wa ripoti ya hospitali msanii huyo alikuwa anasumbuliwa na malaria kali, alilazwa siku moja katika hospitali ya taifa Muhimbili siku ya pili yake ndiyo akafariki. Safari ya Langa kimuziki ilianzia kwenye shindano la kusaka vipaji la Coca-Cola Pop Stars mwaka 2004, na wakapatikana washindi watatu wakaunda kundi la Wakilisha alikuwemo Langa, Shaa, na Witness,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani