DOWNLOAD: WAZAZI WANGU - LANGA (NEW)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qzlslXeVrXk/VX71qgwpOQI/AAAAAAAACDM/HxuUsdmD4rA/s72-c/wazazi%2Bwangu%2Bartwork.png)
africanjam.com
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM17 Jun
Wimbo mpya wa Langa aliomshirikisha Julio & Langa
Ni mwaka mmoja tangu kifo cha rapper Langa, imefahamika kuwa siku 5 kabla ya kufariki kwakealiweza kumalizia ngoma yake ya mwisho iliyokuwa inahusiana na maisha yake. Na ndio siku waliokutana na Julio Batalia aliyekuwa mshiriki wa BBA 2012 na kufikia hatua ya kumaliza kipande chao na kumsubiria TID ambaye mwaka 2013 siku hiyo alikuwa Uingereza na ilikuwa ombi lake la mwisho kwamba kwenye ngoma yake hiyo alikuwa anataka kumsikia mnyama TID angefanya nini kwenye chorus. Pata ngoma hii ambayo...
10 years ago
BBCSwahili03 Nov
Hamilton amshinda Rosberg,Langa Langa
10 years ago
BBCSwahili03 Feb
Langa langa yazindua magari mapya
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
BBC kutangaza fainali za Langa langa
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
Ilikotokea, ilipo Zaiko Langa Langa
UKITAKA kuuzungumzia muziki kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, huwezi kumaliza pasipo kuwataja Zaiko Langa Langa, bendi ya dansi inayoongozwa na Nyoka Longo. Zaiko wamekuwa maarufu na kuendeleza umaarufu wao...
10 years ago
Jamtz.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-C1iVvksiKaE/VCWQxCoPTgI/AAAAAAAABLY/KH-PhtMiLhM/s72-c/Rich%2BMavoko%2B-%2BPacha%2Bwangu.jpg)
10 years ago
Bongo Movies20 Mar
Picha: Ahsante Mungu na Wazazi Wangu Kwakunifanya Mtamu!- Lulu
Mrembo na Staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambaye hakuna anaebisha kuwa amejaaliwa uzuri wa sura na umbo, kupitia ukursa wake wa instagram amemshuruku Mungu na wazazi wake kwa mfanya kuwa zaidi ya mcharo, yaani ni mtamuuuu.
“Ahsante kwa Mungu....Shoutout kwa Mama & Baba Lulu + Make up….u'all knw wat I mean....Kitu Mcharo plus…..(Basi kuna watu wata panic......kufwaaaa 4 me)”-Lulu aliandika na kubandika picha hizo hapo juu.
Jionee neema za Muumba hapo juu, mimi nimempa kumi...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Y0F-iYf0upw/VZOKOBX49FI/AAAAAAAAwzk/Bt5XtTJuQWc/s72-c/Black-couple-upset-scaled.jpg)
Wazazi wa Mke Wangu Wamehamia Kwangu Kabisa, Nyumba imegeuka Bujumbura
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y0F-iYf0upw/VZOKOBX49FI/AAAAAAAAwzk/Bt5XtTJuQWc/s640/Black-couple-upset-scaled.jpg)
Baba na mama wa mke wangu walikuja mwaka 2011 kututembelea hapa Dar, ilikua wakae mwezi mmoja then warudi kijijinilakini cha kushangaza hivi ninavyozungumza nanyi tarehe 30-06-2015 jumanne, hawajaondoka kurudi kijijini kwao hadi Leo miaka takribani minne tangu 2011 January
Kijijini kwao si kubaya kihivyo, kuna nyumba ya bati, kulikua na mifugo na mashamba lakini vyote hivyo vilikufa kutokana na kutelekezwa na mwenyewe ambao wamekimbilia kwetu Dar. Ni nyumba tu ndo ipo pale ila imekua...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBIlkFoOtGIWi2WTrC-EbDaDZYf*VnfC038oJEfTUjJ4xVMbqPr7bAhphV222lSS034ADfWSENkyYLtK79hQri4oY/wananitesa.jpg)
MAMA: WACHAWI WANANITESA, WATOTO WANGU 8, MUME WANGU WAMEKUFA KWA UGONJWA WA AJABU