Ilikotokea, ilipo Zaiko Langa Langa
UKITAKA kuuzungumzia muziki kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, huwezi kumaliza pasipo kuwataja Zaiko Langa Langa, bendi ya dansi inayoongozwa na Nyoka Longo. Zaiko wamekuwa maarufu na kuendeleza umaarufu wao...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM17 Jun
Wimbo mpya wa Langa aliomshirikisha Julio & Langa
Ni mwaka mmoja tangu kifo cha rapper Langa, imefahamika kuwa siku 5 kabla ya kufariki kwakealiweza kumalizia ngoma yake ya mwisho iliyokuwa inahusiana na maisha yake. Na ndio siku waliokutana na Julio Batalia aliyekuwa mshiriki wa BBA 2012 na kufikia hatua ya kumaliza kipande chao na kumsubiria TID ambaye mwaka 2013 siku hiyo alikuwa Uingereza na ilikuwa ombi lake la mwisho kwamba kwenye ngoma yake hiyo alikuwa anataka kumsikia mnyama TID angefanya nini kwenye chorus. Pata ngoma hii ambayo...
10 years ago
BBCSwahili03 Nov
Hamilton amshinda Rosberg,Langa Langa
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
BBC kutangaza fainali za Langa langa
10 years ago
BBCSwahili03 Feb
Langa langa yazindua magari mapya
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-qzlslXeVrXk/VX71qgwpOQI/AAAAAAAACDM/HxuUsdmD4rA/s72-c/wazazi%2Bwangu%2Bartwork.png)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/_OkVNcKfPYQ/default.jpg)
11 years ago
CloudsFM13 Jun
LANGA ATIMIZA MWAKA MMOJA TANGU AFARIKI DUNIA
Tarehe kama ya leo mwaka jana,msanii wa Hip Hop, Langa Lileo, rais wa gheto mida ya jioni alitangazwa kuwa amefariki dunia, kwa mujibu wa ripoti ya hospitali msanii huyo alikuwa anasumbuliwa na malaria kali, alilazwa siku moja katika hospitali ya taifa Muhimbili siku ya pili yake ndiyo akafariki. Safari ya Langa kimuziki ilianzia kwenye shindano la kusaka vipaji la Coca-Cola Pop Stars mwaka 2004, na wakapatikana washindi watatu wakaunda kundi la Wakilisha alikuwemo Langa, Shaa, na Witness,...
9 years ago
Bongo522 Sep
Black Rhino asimulia jinsi collabo ya Chagua Moja ya Fid Q, Langa na Adili ilivyowaweka kwenye ushindani wa kutaka kufunikana
9 years ago
Bongo525 Nov
AY awakumbuka Ngwair na Langa kwenye ‘Sijakusahau ya Crème De La Crème
![12256721_1652128261718442_1361362012_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12256721_1652128261718442_1361362012_n-300x194.jpg)
Ambwene Yessayah aka AY hajawasahau Albert Mangwair na Langa Kileo.
Kupitia wimbo wa DJ wa Kenya, Crème De La Crème ‘Sijakusahau’ hitmaker huyo wa Zigo amewakumbuka rappers hao waliotangulia mbele ya haki.
“Naiona sura ya Ngwair na Langa (Tazama anga), Nakumbuka tuliyopanga lakini Mungu alipanga pia, tuliongazana wengine wakadisappear, daima uzuri umenitanda na moyoni nawalilia,” anarap AY.
Ngwair alifariki May 28, 2013 na Langa June 13, 2013.
Pia AY amewakumbuka wazazi wake kwenye wimbo...