Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AY awakumbuka Ngwair na Langa kwenye ‘Sijakusahau ya Crème De La Crème

12256721_1652128261718442_1361362012_n

Ambwene Yessayah aka AY hajawasahau Albert Mangwair na Langa Kileo.

12256721_1652128261718442_1361362012_n

Kupitia wimbo wa DJ wa Kenya, Crème De La Crème ‘Sijakusahau’ hitmaker huyo wa Zigo amewakumbuka rappers hao waliotangulia mbele ya haki.

“Naiona sura ya Ngwair na Langa (Tazama anga), Nakumbuka tuliyopanga lakini Mungu alipanga pia, tuliongazana wengine wakadisappear, daima uzuri umenitanda na moyoni nawalilia,” anarap AY.

Ngwair alifariki May 28, 2013 na Langa June 13, 2013.

Pia AY amewakumbuka wazazi wake kwenye wimbo...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Mkanda wa ngono wa DJ anayeheshimika zaidi Kenya, Crème De La Crème wavuja mtandaoni,

resizeDJ Crème De La Crème, DJ anayeshimika zaidi nchini Kenya amekutana na skendo kubwa kuwahi kutokea kwenye maisha yake baada ya mkanda wa ngono akiwa na mwanamke mwingine zaidi ya mke wake kusambaa mtandaoni. Pamoja na kuwa DJ anayeheshimika, Creme amekuwa mfano bora wa jinsi anavyoishi na mke wake pamoja na familia na hivyo mkanda […]

 

9 years ago

Bongo5

DJ Crème De La Crème wa Kenya ajitokeza na kuomba msamaha baada ya mkanda wake wa ngono kuvuja

creme (1)

Baada ya kukumbwa na skendo kubwa ya kusambaa mtandaoni kwa mkanda wa ngono, DJ Crème De La Crème wa Kenya amevunja ukimya na kujitokeza kuzungumzia swala hilo pamoja na kuomba msamaha.

creme (1)

DJ huyo maarufu na aliyekuwa akiheshimika, ametumia akaunti yake ya Instagram kuomba msamaha kwa kile kilichotokea.

Crème ambaye ni baba wa watoto wawili ameomba msamaha watu mbalimbali, ikiwemo familia yake, msichana aliyehusika naye kwenye mkanda huo aitwaye Halima, mashabiki wake pamoja na marafiki...

 

11 years ago

CloudsFM

Wimbo mpya wa Langa aliomshirikisha Julio & Langa

Ni mwaka mmoja tangu kifo cha rapper Langa, imefahamika kuwa siku 5 kabla ya kufariki kwakealiweza kumalizia ngoma yake ya mwisho iliyokuwa inahusiana na maisha yake. Na ndio siku waliokutana na Julio Batalia aliyekuwa mshiriki wa BBA 2012 na kufikia hatua ya kumaliza kipande chao na kumsubiria TID ambaye mwaka 2013 siku hiyo alikuwa Uingereza na ilikuwa ombi lake la mwisho kwamba kwenye ngoma yake hiyo alikuwa anataka kumsikia mnyama TID angefanya nini kwenye chorus. Pata ngoma hii ambayo...

 

10 years ago

BBCSwahili

BBC kutangaza fainali za Langa langa

Fainali za langa langa ya Formula 1 msimu huu 2014 huko Abu Dhabi kutangazwa moja kwa moja na BBC,radio,televishen na mtandao

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ilikotokea, ilipo Zaiko Langa Langa

UKITAKA kuuzungumzia muziki kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, huwezi kumaliza pasipo kuwataja Zaiko Langa Langa, bendi ya dansi inayoongozwa na Nyoka Longo. Zaiko wamekuwa maarufu na kuendeleza umaarufu wao...

 

10 years ago

BBCSwahili

Langa langa yazindua magari mapya

Michuano ya magari ya Fomula one maarufu kama Langa Langa imezindua magari mapya na yamesha anza kufanyiwa majaribio.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hamilton amshinda Rosberg,Langa Langa

Dereva Lewis Hamilton wa timu ya Mercedes amemshinda mwenzake Nico Rosberg katika mashindano ya langa langa ya US Grand prix.

 

9 years ago

Bongo5

Black Rhino asimulia jinsi collabo ya Chagua Moja ya Fid Q, Langa na Adili ilivyowaweka kwenye ushindani wa kutaka kufunikana

Chagua Moja, ya Fid Q aliyowashirikisha Black Rhino, marehemu Langa na Adili ni moja kati ya collabo bora zilizowahi kufanyika kwenye muziki wa Bongo Flava. Black Rhino amekiambia kipindi cha Chill na Sky kuwa wimbo huo ulifanyika katika mazingira yenye ushindani mkubwa. “Kila mtu alikuwa anataka amuonesha mwenzake kwamba, me I am the best, kwahiyo […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani