Mkanda wa ngono wa DJ anayeheshimika zaidi Kenya, Crème De La Crème wavuja mtandaoni,
DJ Crème De La Crème, DJ anayeshimika zaidi nchini Kenya amekutana na skendo kubwa kuwahi kutokea kwenye maisha yake baada ya mkanda wa ngono akiwa na mwanamke mwingine zaidi ya mke wake kusambaa mtandaoni. Pamoja na kuwa DJ anayeheshimika, Creme amekuwa mfano bora wa jinsi anavyoishi na mke wake pamoja na familia na hivyo mkanda […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo504 Nov
DJ Crème De La Crème wa Kenya ajitokeza na kuomba msamaha baada ya mkanda wake wa ngono kuvuja
![creme (1)](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/creme-1-300x194.jpg)
Baada ya kukumbwa na skendo kubwa ya kusambaa mtandaoni kwa mkanda wa ngono, DJ Crème De La Crème wa Kenya amevunja ukimya na kujitokeza kuzungumzia swala hilo pamoja na kuomba msamaha.
DJ huyo maarufu na aliyekuwa akiheshimika, ametumia akaunti yake ya Instagram kuomba msamaha kwa kile kilichotokea.
Crème ambaye ni baba wa watoto wawili ameomba msamaha watu mbalimbali, ikiwemo familia yake, msichana aliyehusika naye kwenye mkanda huo aitwaye Halima, mashabiki wake pamoja na marafiki...
9 years ago
Bongo525 Nov
AY awakumbuka Ngwair na Langa kwenye ‘Sijakusahau ya Crème De La Crème
![12256721_1652128261718442_1361362012_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12256721_1652128261718442_1361362012_n-300x194.jpg)
Ambwene Yessayah aka AY hajawasahau Albert Mangwair na Langa Kileo.
Kupitia wimbo wa DJ wa Kenya, Crème De La Crème ‘Sijakusahau’ hitmaker huyo wa Zigo amewakumbuka rappers hao waliotangulia mbele ya haki.
“Naiona sura ya Ngwair na Langa (Tazama anga), Nakumbuka tuliyopanga lakini Mungu alipanga pia, tuliongazana wengine wakadisappear, daima uzuri umenitanda na moyoni nawalilia,” anarap AY.
Ngwair alifariki May 28, 2013 na Langa June 13, 2013.
Pia AY amewakumbuka wazazi wake kwenye wimbo...
10 years ago
Bongo501 Nov
Shaa asema amefanya Collabo na Redsan baada ya kugundua ndiye msanii anayeheshimika zaidi Kenya, AY ndiye aliyewaunganisha
9 years ago
Mtanzania03 Dec
Kanye West azuia mkanda wa ngono sokoni
NEW YORK, MAREKANI
MSANII wa hip hop nchini Marekani,
NEW YORK, MAREKANI
MSANII wa hip hop nchini Marekani, Kanye West, ametumia kiasi cha dola milioni 130, kwa ajili ya kuzuia mkanda wa ngono wenye picha zinazofanana na mke wake usiingie sokoni.
Mtandao wa US, umeripoti kwamba, msanii huyo aliamua kufanya hivyo kwa kuwa ndani ya filamu hiyo kuna mrembo anafanana na mke wake, Kim Kardashian.
Kutokana na hali hiyo, Kanye akaona bora atumie fedha hizo ili kuweza kuizuia filamu hiyo isitoke kwa...
10 years ago
Bongo510 Dec
Zari: ‘Mkanda wa ngono kitu gani’ afurahia likizo na wanae (Picha)
10 years ago
Bongo518 Sep
Iggy Azalea amshtaki ex wake anayetaka kusambaza mkanda wao wa ngono
10 years ago
Bongo Movies30 Mar
Wadau Wamshambulia Faiza, Kwa Bandiko Lake Mtandaoni la Kutamani Kufanya Ngono
Kufuatia andiko la staa mrembo kutoka Bongo Movies, Faiza Ally ambae ni mzazi mwenzie na mbunge wa CHADEMA , Mh Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ aliloandika kwenye ukurasa wake mtandaoni akidai kuwa anatamani kufanya mapenzi kwani ni muda mrefu sana hajafanya mapenzi.
“Natamani sana kufanya SEX nikikwambia Nina muda gani sijafanya huwezi kuamini - I NEED SEX ..GOOD ONE”-Faiza Aliandika.
Mara baada ya bandiko hilo wadau na mashabiki wengi walimshambulia kwa maneneo kuwa kama mwanamke na mama wa...
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya Corona: Kikao cha bunge cha mtandaoni Afrika kusini chadukuliwa kwa picha za ngono