Zari: ‘Mkanda wa ngono kitu gani’ afurahia likizo na wanae (Picha)
Kuvuja kwa mkanda wake wa ngono hakujamzuia Zari ‘the Bosslady’ Tlale kufurahia muda bora na wanae wakati huu wa likizo za sikukuu za Christmass. Zari mwenye watoto watatu, ameonesha kutoyumbishwa na kusambaa kwa mkanda huo na leo amepost picha akiwa na wanae wakifurahia chakula pamoja. “Current situation…… school is closed most offices are closed, time […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania03 Dec
Kanye West azuia mkanda wa ngono sokoni
NEW YORK, MAREKANI
MSANII wa hip hop nchini Marekani,
NEW YORK, MAREKANI
MSANII wa hip hop nchini Marekani, Kanye West, ametumia kiasi cha dola milioni 130, kwa ajili ya kuzuia mkanda wa ngono wenye picha zinazofanana na mke wake usiingie sokoni.
Mtandao wa US, umeripoti kwamba, msanii huyo aliamua kufanya hivyo kwa kuwa ndani ya filamu hiyo kuna mrembo anafanana na mke wake, Kim Kardashian.
Kutokana na hali hiyo, Kanye akaona bora atumie fedha hizo ili kuweza kuizuia filamu hiyo isitoke kwa...
10 years ago
Bongo518 Sep
Iggy Azalea amshtaki ex wake anayetaka kusambaza mkanda wao wa ngono
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Je, ni ulemavu wa fikra au kitu gani?
9 years ago
Bongo503 Nov
Mkanda wa ngono wa DJ anayeheshimika zaidi Kenya, Crème De La Crème wavuja mtandaoni,
![resize](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/resize-94x94.jpg)
9 years ago
Bongo504 Nov
DJ Crème De La Crème wa Kenya ajitokeza na kuomba msamaha baada ya mkanda wake wa ngono kuvuja
![creme (1)](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/creme-1-300x194.jpg)
Baada ya kukumbwa na skendo kubwa ya kusambaa mtandaoni kwa mkanda wa ngono, DJ Crème De La Crème wa Kenya amevunja ukimya na kujitokeza kuzungumzia swala hilo pamoja na kuomba msamaha.
DJ huyo maarufu na aliyekuwa akiheshimika, ametumia akaunti yake ya Instagram kuomba msamaha kwa kile kilichotokea.
Crème ambaye ni baba wa watoto wawili ameomba msamaha watu mbalimbali, ikiwemo familia yake, msichana aliyehusika naye kwenye mkanda huo aitwaye Halima, mashabiki wake pamoja na marafiki...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vOQMXCMD518jlq2IWfh-EW8rsaQQ38wKrU-Z902kTgv2FjnAce11WOZmYhQa-vs6mPwfdNoPXyAiMDnB68i0n-X7swhe*34Y/love1.jpg)
KAMA UMEMPENDA KWELI, WATOTO WAKE KITU GANI?
10 years ago
Mwananchi18 Feb
Chumvi ikipoteza ladha yake itakolezwa na kitu gani?
10 years ago
Bongo Movies18 Jan
UCHOKOZI: Kitu Gani Mnapenda Kwenye Mwili Wanguuu? Uwoya Anauliza
Mrembo na mwigizaji Irene Uwoya, hivi juzi kati aliwauliza swali followers wake kwenye mtandao wa INSTAGRAM, kuwa kitu gani wanapenda kwenye mwili wake, mara baada ya kuweka picha yake hiyo hapo juu. Swali ambalo liliibua COMMENTS nyingi na LIKES za kutosha huku kila mtu akisema lake na wengine wakisema hili swali ni tata kidogo na wengine wakisema huu ni uchokozi....
Sasa na mimi ni kaona sio mbaya ni share na wewe swali hili kwa kulileta hapa, nikiamini hapa kuana wadu na wapenzi wengi...