UCHOKOZI: Kitu Gani Mnapenda Kwenye Mwili Wanguuu? Uwoya Anauliza
Mrembo na mwigizaji Irene Uwoya, hivi juzi kati aliwauliza swali followers wake kwenye mtandao wa INSTAGRAM, kuwa kitu gani wanapenda kwenye mwili wake, mara baada ya kuweka picha yake hiyo hapo juu. Swali ambalo liliibua COMMENTS nyingi na LIKES za kutosha huku kila mtu akisema lake na wengine wakisema hili swali ni tata kidogo na wengine wakisema huu ni uchokozi....
Sasa na mimi ni kaona sio mbaya ni share na wewe swali hili kwa kulileta hapa, nikiamini hapa kuana wadu na wapenzi wengi...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Je, ni ulemavu wa fikra au kitu gani?
10 years ago
Mwananchi18 Feb
Chumvi ikipoteza ladha yake itakolezwa na kitu gani?
10 years ago
GPLKAMA UMEMPENDA KWELI, WATOTO WAKE KITU GANI?
10 years ago
Bongo510 Dec
Zari: ‘Mkanda wa ngono kitu gani’ afurahia likizo na wanae (Picha)
11 years ago
MichuziUZINDUZI WA AUDIO CD "NAHITAJI KITU GANI" YA OLIVER ISRAEL JULAI 20, 2014
10 years ago
Mwananchi09 Feb
MAMBO HALISI: Mchungaji Gauck unajishusha umepungukiwa kitu gani, tujifunze kwako
9 years ago
Bongo523 Oct
Tekno anajua kitu gani kilichomuuma ndio maana anajishtukia — Agnes Masogange ajibu
10 years ago
BBCSwahili17 Feb
Mazoezi gani bora kwa mwili wako?
9 years ago
Mtanzania21 Dec
Irene Uwoya awataka wasanii kujiingiza kwenye biashara
NA THERESIA GASPER
MKALI wa filamu nchini, Irene Uwoya, amewataka wasanii wenzake hasa wanawake kujituma katika kazi nyingine kama vile biashara ili kuweza kujikomboa kimaisha.
Irene amesema wasanii wengi wanategemea sanaa ili kuweza kuendesha maisha yao, lakini wanatakiwa kufanya mambo mengi ili kuweza kujiingizia kipato.
Akizungumza na MTANZANIA jana alisema yeye ana ofisi ambayo inajishughulisha na ushonaji wa nguo za aina zote ambayo inamsaidia kuingiza kipato na huwa anashona.
“Natumia...