Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAMA UMEMPENDA KWELI, WATOTO WAKE KITU GANI?

MAPENZI ni kitu cha ajabu sana. Ni hisia ambazo huibuka zilipojificha na huja zikiwa na nguvu ya hatari na kubwa mno tena ya ajabu. Hisia zisizokubali kupingwa kwa kile ambacho zimeamua. Hisia zisizokubali kurudi nyuma bali kwenda mbele katika kuhakikisha zinatimiza kusudio la kumpata ziliyedhamiria. Hisia zisizokuwa na macho zaidi ya macho kufunikwa na upofu, hisia zisizoweza kuchagua kama ziliyempenda ni mtu mwenye mtoto au...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Kama hujawahi kumuona Mbunge Profesa Jay jukwaani akiongea na Wananchi wake, hii video ina kila kitu

Profesa Jay, msanii wa hiphop Tanzania aliyechukua ushindi baada ya kupigiwa kura na Wananchi wa jimbo la Mikumi Morogoro ili awe Mbunge wao kwa miaka mitano kuanzia 2015-2020, kama hujawahi kabisa kumuona akiongea na Wananchi… bonyeza play kwenye hii video hapa chini. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na […]

The post Kama hujawahi kumuona Mbunge Profesa Jay jukwaani akiongea na Wananchi wake, hii video ina kila kitu appeared first on...

 

10 years ago

Mwananchi

Je, ni ulemavu wa fikra au kitu gani?

Nikitafakari kuhusu vurugu za kidini hapa Tanzania na matukio mengine kama kutumia fedha kununua kura, mjadala wa kutumia Kiswahili au kutumia lugha za kigeni, fedha zilizofichwa nje ya nchi, watoto wa vigogo kupatiwa kazi bila kuwa na sifa.

 

10 years ago

Bongo Movies

Je, hiki kitu ni kweli kumhusu mwigizaji JB?

Kutoka kwenye mtandao maarufu wa habari nchini - BongoClanTz tumekutana na ujumbe huu unaomlenga msanii nguli nchini Jacob Steve ama JB kama wengi wanavyopenda kumuita.

Ujumbe huu ni kuhusu kazi zake mbalimbali za filamu anazozifanya mwigizaji huyu. Na unasomeka kama ifuatavyo’-

“Mimi sio mpenzi sana wa kuangalia filamu, ila mara chache tu huwa naangalia hasa kwenye mabasi ninaposafiri.

Kitu kinachonikera kwenye hizi Bongo movie hasa za JB ni kutumia wahusika wale wale na theme ile ile...

 

10 years ago

Mwananchi

Chumvi ikipoteza ladha yake itakolezwa na kitu gani?

Tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu na CCM inajiandaa kuteua mmoja kati ya wagombea wa urais waliojitokeza na watakaojitokeza. Naomba kukopa maneno yafuatayo ya Yesu:

 

10 years ago

Bongo5

Zari: ‘Mkanda wa ngono kitu gani’ afurahia likizo na wanae (Picha)

Kuvuja kwa mkanda wake wa ngono hakujamzuia Zari ‘the Bosslady’ Tlale kufurahia muda bora na wanae wakati huu wa likizo za sikukuu za Christmass. Zari mwenye watoto watatu, ameonesha kutoyumbishwa na kusambaa kwa mkanda huo na leo amepost picha akiwa na wanae wakifurahia chakula pamoja. “Current situation…… school is closed most offices are closed, time […]

 

10 years ago

Bongo Movies

UCHOKOZI: Kitu Gani Mnapenda Kwenye Mwili Wanguuu? Uwoya Anauliza

Mrembo na mwigizaji  Irene Uwoya, hivi juzi kati aliwauliza swali followers wake kwenye mtandao wa INSTAGRAM, kuwa kitu gani wanapenda kwenye mwili wake, mara baada ya kuweka picha yake hiyo hapo juu. Swali ambalo liliibua COMMENTS nyingi na LIKES za kutosha huku kila mtu akisema lake na wengine wakisema hili swali ni tata kidogo na wengine wakisema huu ni uchokozi....

Sasa na mimi ni kaona sio mbaya ni share na wewe swali hili kwa kulileta hapa, nikiamini hapa kuana wadu na wapenzi wengi...

 

11 years ago

Michuzi

UZINDUZI WA AUDIO CD "NAHITAJI KITU GANI" YA OLIVER ISRAEL JULAI 20, 2014

Oliver Benson Israel ambaye ni mwanakwaya na sololist wa kwaya ya uinjilisti KKKT kijitonyama kwa kushirikiana na kwaya ya uinjilisti kijtonyama  anatarajia kuzindua CD yake jumapili tarehe 20/07/2014 katika kanisa la lutheran kijitonyama,dada huyu ndiye aliyeimba wimbo wa hakuna mwanaume kama yesu na nyingine nyingi, baada ya uzinduzi ibadani mchana kutakuwa na tamasha kubwa la kumwimbia mungu karibuni sana!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani