KAMA UMEMPENDA KWELI, WATOTO WAKE KITU GANI?
![](http://api.ning.com:80/files/vOQMXCMD518jlq2IWfh-EW8rsaQQ38wKrU-Z902kTgv2FjnAce11WOZmYhQa-vs6mPwfdNoPXyAiMDnB68i0n-X7swhe*34Y/love1.jpg)
MAPENZI ni kitu cha ajabu sana. Ni hisia ambazo huibuka zilipojificha na huja zikiwa na nguvu ya hatari na kubwa mno tena ya ajabu. Hisia zisizokubali kupingwa kwa kile ambacho zimeamua. Hisia zisizokubali kurudi nyuma bali kwenda mbele katika kuhakikisha zinatimiza kusudio la kumpata ziliyedhamiria. Hisia zisizokuwa na macho zaidi ya macho kufunikwa na upofu, hisia zisizoweza kuchagua kama ziliyempenda ni mtu mwenye mtoto au...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Kama hujawahi kumuona Mbunge Profesa Jay jukwaani akiongea na Wananchi wake, hii video ina kila kitu
Profesa Jay, msanii wa hiphop Tanzania aliyechukua ushindi baada ya kupigiwa kura na Wananchi wa jimbo la Mikumi Morogoro ili awe Mbunge wao kwa miaka mitano kuanzia 2015-2020, kama hujawahi kabisa kumuona akiongea na Wananchi… bonyeza play kwenye hii video hapa chini. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na […]
The post Kama hujawahi kumuona Mbunge Profesa Jay jukwaani akiongea na Wananchi wake, hii video ina kila kitu appeared first on...
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Je, ni ulemavu wa fikra au kitu gani?
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/fXC81QWTphU/default.jpg)
10 years ago
Bongo Movies13 Aug
Je, hiki kitu ni kweli kumhusu mwigizaji JB?
Kutoka kwenye mtandao maarufu wa habari nchini - BongoClanTz tumekutana na ujumbe huu unaomlenga msanii nguli nchini Jacob Steve ama JB kama wengi wanavyopenda kumuita.
Ujumbe huu ni kuhusu kazi zake mbalimbali za filamu anazozifanya mwigizaji huyu. Na unasomeka kama ifuatavyo’-
“Mimi sio mpenzi sana wa kuangalia filamu, ila mara chache tu huwa naangalia hasa kwenye mabasi ninaposafiri.
Kitu kinachonikera kwenye hizi Bongo movie hasa za JB ni kutumia wahusika wale wale na theme ile ile...
10 years ago
Mwananchi18 Feb
Chumvi ikipoteza ladha yake itakolezwa na kitu gani?
10 years ago
Bongo510 Dec
Zari: ‘Mkanda wa ngono kitu gani’ afurahia likizo na wanae (Picha)
10 years ago
Bongo Movies18 Jan
UCHOKOZI: Kitu Gani Mnapenda Kwenye Mwili Wanguuu? Uwoya Anauliza
Mrembo na mwigizaji Irene Uwoya, hivi juzi kati aliwauliza swali followers wake kwenye mtandao wa INSTAGRAM, kuwa kitu gani wanapenda kwenye mwili wake, mara baada ya kuweka picha yake hiyo hapo juu. Swali ambalo liliibua COMMENTS nyingi na LIKES za kutosha huku kila mtu akisema lake na wengine wakisema hili swali ni tata kidogo na wengine wakisema huu ni uchokozi....
Sasa na mimi ni kaona sio mbaya ni share na wewe swali hili kwa kulileta hapa, nikiamini hapa kuana wadu na wapenzi wengi...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3tLMJ_6SpM8/U8jQRbZL8DI/AAAAAAAF3Ps/q8azDLs3bSI/s72-c/unnamed+(37).jpg)
UZINDUZI WA AUDIO CD "NAHITAJI KITU GANI" YA OLIVER ISRAEL JULAI 20, 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-3tLMJ_6SpM8/U8jQRbZL8DI/AAAAAAAF3Ps/q8azDLs3bSI/s1600/unnamed+(37).jpg)