Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je, hiki kitu ni kweli kumhusu mwigizaji JB?

Kutoka kwenye mtandao maarufu wa habari nchini - BongoClanTz tumekutana na ujumbe huu unaomlenga msanii nguli nchini Jacob Steve ama JB kama wengi wanavyopenda kumuita.

Ujumbe huu ni kuhusu kazi zake mbalimbali za filamu anazozifanya mwigizaji huyu. Na unasomeka kama ifuatavyo’-

“Mimi sio mpenzi sana wa kuangalia filamu, ila mara chache tu huwa naangalia hasa kwenye mabasi ninaposafiri.

Kitu kinachonikera kwenye hizi Bongo movie hasa za JB ni kutumia wahusika wale wale na theme ile ile...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Wema Sepetu apania kuiteka Bongo kwa kitu hiki kipya!

Wema Sepetu akionyesha Lipstick

Baada ya kuzindua lipstick zake, Kiss By Wema Sepetu, malkia huyo filamu nchini, amepanga kuingiza sokoni perfume yake pamoja na bidhaa zingine za urembo.

Wema Sepetu akionyesha Lipstick

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Wema apost picha yake na kuandika:

I think this should be my colour ya lipstick wen it comes to my brand Kiss. Naipenda coz it just makes me feel good nikiipaka…. For a very long time nimekuwa nikitaka sana kuwa na kitu kitacho carry jina langu la Wema Sepetu… I thought of perfume at first ila huko...

 

10 years ago

GPL

KAMA UMEMPENDA KWELI, WATOTO WAKE KITU GANI?

MAPENZI ni kitu cha ajabu sana. Ni hisia ambazo huibuka zilipojificha na huja zikiwa na nguvu ya hatari na kubwa mno tena ya ajabu. Hisia zisizokubali kupingwa kwa kile ambacho zimeamua. Hisia zisizokubali kurudi nyuma bali kwenda mbele katika kuhakikisha zinatimiza kusudio la kumpata ziliyedhamiria. Hisia zisizokuwa na macho zaidi ya macho kufunikwa na upofu, hisia zisizoweza kuchagua kama ziliyempenda ni mtu mwenye mtoto au...

 

11 years ago

Michuzi

DIAMOND PLATNUMZ KUENDELEA KUPIGA HELA KUPITIA MZIKI WAKE, HIKI NI KITU KINGINE KIPYA

Diamond Platnumz ni msanii mwengine mkubwa wa Kitanzania aliyejiunga na Mkito.com kwaajili ya kusambaza muziki wake mtandaoni. Msanii huyu anajiunga na wengine kama Fid Q, Nay Wamitego, Rich Mavoko, Vanessa Mdee, Juma Nature, Barnaba, Linah, Belle 9 na wengine wengi katika mchakato unaoendelea kuwawezesha wasanii kujipatia kipato kutokana na muziki wao kupakuliwa kwenye mtandao. Diamond kabla ya kuondoka kuelekea Afrika ya Kusini kwaajili ya video yake mpya aliona ni vyema kuungana na...

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Je ni Kweli Lulu Anamaanisha Hiki Kilichoandikwa Kwenye T-shirt Yake?

Mara kadhaa tumewaona baadhi ya ndungu zetu amabo Lugha ya malkia inawapiga chenga wamekuwa wakivaa ngue zenye maandisha ambayo mara nyingi huwa hawajui maana ya kile ambacho kimeandikwa.

Sote tunatambua kuwa watu wenye uelewa kama wa mrembo huyu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ hawezi kuvaa ngue yenye maandishi akiwa ajui maana yake au hakubaliani na kile kilichoandikwa. Sasa je mtoto lulu ni kweli  anamaanisha hiki kilichoandikwa hadi kupiga nacho picha na kutupia mtandaoni. Au labda ni dili...

 

11 years ago

BBCSwahili

Hisia za wananchi kumhusu Mandela

Wengi walimuenzi , walimuita shujaa na jasiri na zaidi ya yote wanamuita mkombozi wao

 

11 years ago

BBCSwahili

Mugabe 90-Mambo tisa usiyoyajua kumhusu

Yafuatayo ni mambo tisa ambayo huenda hukuwa wajua kumhusu kiongozi huyu-na ambayo huenda yamemuwezesha kuwa rais kwa muda mrefu mno.

 

11 years ago

BBCSwahili

Van Gaal apuuza tathmini kumhusu

Van Gaal anasema:"Lilikuwa jambo la kijinga kuniweka kwenye mizani miezi mitatu baada ya kuchukua usukani Manchester United''

 

10 years ago

Vijimambo

Utajua Marafiki wa kweli na Mburulazzz, Lulu Michael Ndio Rafiki wa Kweli

The King Of All Bongo Social Media Network, Le Mutuz ukipenda muite Mzee wa mabebezz amemshukuru mrembo na mwigizaji lulu kwa kuonyesha kumjali wakati wa matizao na kuwashukia baadhi ya marafiki zake ambao huwa wao pamoja nae wakati wa raha tu, ila wakataki washida wote hupoatea. Le mutuz alifunguka“Kwenye shida ndio utajua marafiki wa kweli na le super gademu mburulazzz ..nilipotangaza my House warming Party yanapiga simu kila dakika kuomba mualiko lakini nimesema Mama yangu anaumwa hamna...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani