DIAMOND PLATNUMZ KUENDELEA KUPIGA HELA KUPITIA MZIKI WAKE, HIKI NI KITU KINGINE KIPYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Akt_euU0SP4/U6WV8YxGDDI/AAAAAAAFsIk/s4wOlOt2SZM/s72-c/Diamond+on+Mkito.png)
Diamond Platnumz ni msanii mwengine mkubwa wa Kitanzania aliyejiunga na Mkito.com kwaajili ya kusambaza muziki wake mtandaoni. Msanii huyu anajiunga na wengine kama Fid Q, Nay Wamitego, Rich Mavoko, Vanessa Mdee, Juma Nature, Barnaba, Linah, Belle 9 na wengine wengi katika mchakato unaoendelea kuwawezesha wasanii kujipatia kipato kutokana na muziki wao kupakuliwa kwenye mtandao. Diamond kabla ya kuondoka kuelekea Afrika ya Kusini kwaajili ya video yake mpya aliona ni vyema kuungana na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog11 Jul
9 years ago
Bongo508 Dec
Wema Sepetu apania kuiteka Bongo kwa kitu hiki kipya!
![Wema Sepetu akionyesha Lipstick](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Wema-Sepetu-akionyesha-Lipstick-300x194.jpg)
Baada ya kuzindua lipstick zake, Kiss By Wema Sepetu, malkia huyo filamu nchini, amepanga kuingiza sokoni perfume yake pamoja na bidhaa zingine za urembo.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Wema apost picha yake na kuandika:
I think this should be my colour ya lipstick wen it comes to my brand Kiss. Naipenda coz it just makes me feel good nikiipaka…. For a very long time nimekuwa nikitaka sana kuwa na kitu kitacho carry jina langu la Wema Sepetu… I thought of perfume at first ila huko...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-53VxoV5iluE/VaKFChcAnBI/AAAAAAABOgM/_4yDjISQeRQ/s72-c/kikwete%2Bigung%2B3.jpg)
KIPAJI KINGINE CHA MAGUFULI NA UCHAPAKAZI WAKE HIKI HAPA
![](http://2.bp.blogspot.com/-53VxoV5iluE/VaKFChcAnBI/AAAAAAABOgM/_4yDjISQeRQ/s640/kikwete%2Bigung%2B3.jpg)
Wanamichezo wamekuwa wakijiuliza kama mgombea wa urais wa CCM, John Pombe Magufuli ni mpenda michezo.Ingawa wapo wanaoamini ni mpenda michezo, lakini inaonekana wazi kuwa anapenda sanaa.Kipaji cha sanaa ambacho amekuwa hakionyesha mara kwa mara ni upigaji wa ngoma ambazo ikitokea ameona watu wanazitandika, amekuwa hajivungi kama picha hii inavyoonyesha.Magufuli ndiye mgombea wa urais kupitia CCM baada ya kuwashinda wagombea wengine 37 walioonyesha nia.CCM kupitia mwenyekiti wake, Jakaya...
10 years ago
Bongo527 Nov
Diamond Platnumz kuingia kwenye jumba la BBA Hotshots leo (Nov 27) kupiga story na washiriki