Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lulu kuja na Kitu kingine kipya, Ni Nomaaa….Huyu Demu ni Fake

Lulu

Kaa mkao wa kula…!

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Ni Nomaaa....Huyu Demu ni Fake

Lulu kuja na Kitu kingine kipya Ni Nomaaaaaaaaaaa‪#‎huyudemunifake‬Kaa Mkao wa Kula

 

11 years ago

Michuzi

DIAMOND PLATNUMZ KUENDELEA KUPIGA HELA KUPITIA MZIKI WAKE, HIKI NI KITU KINGINE KIPYA

Diamond Platnumz ni msanii mwengine mkubwa wa Kitanzania aliyejiunga na Mkito.com kwaajili ya kusambaza muziki wake mtandaoni. Msanii huyu anajiunga na wengine kama Fid Q, Nay Wamitego, Rich Mavoko, Vanessa Mdee, Juma Nature, Barnaba, Linah, Belle 9 na wengine wengi katika mchakato unaoendelea kuwawezesha wasanii kujipatia kipato kutokana na muziki wao kupakuliwa kwenye mtandao. Diamond kabla ya kuondoka kuelekea Afrika ya Kusini kwaajili ya video yake mpya aliona ni vyema kuungana na...

 

5 years ago

Michuzi

Meridianbet sasa inakuletea kitu kingine kizuri, kufurahia ubashiri

WAKATI Euro 2020 ikiwa imeahirishwa, Meridianbet sasa inakuletea kitu kingine kizuri zaidi wewe kuendelea kufurahia ubashiri. PES inakupa fursa nzuri ya kupata pesa kibao, ukiwa na Meridianbet unaweza kubashiri kwenye mechi kutoka vilabu vya vikubwa ulimwenguni na sasa – timu za taifa!
Bashiri matokeo ya mechi zako pendwa za PES zinazochezwa na wachezaji wa soka na timu halisi! Hizi tayari ni timu kubwa na majina makubwa ambayo tayari ulikuwa ukibashiri kabla.
Meridianbet.co.tz inakupa ofa...

 

10 years ago

GPL

LULU AJIITA DEMU FEKI

Imelda mtema
Makubwa! Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amedai kwamba yeye ni ‘demu feki’ tena mwenye tabia za kitapeli huku kauli yake hiyo ikiacha baadhi ya watu midomo wazi na kutaka kujua kulikoni. Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita, Lulu alisema kuwa ni kweli yeye ni demu feki lakini kama watu...

 

11 years ago

GPL

FM ACADEMIA KUDONDOSHA KITU KIPYA

Na Musa Mateja
BENDI ya FM Academia inatarajia kuachia albamu yao mpya inayokwenda kwa jina la Chuki ya nini? ikiwa ni albamu ya 10 tangu bendi hiyo ilipoanzishwa. Prezidaa wa FM Academia, Nyoshi El-Saadat (kulia) akiimba. Pembeni ni msanii mwenzake. Akipiga stori na Risasi Mchanganyiko, prezidaa wa bendi hiyo, Nyoshi El-Saadat, alisema kimya chao cha miaka minne kina msindo mkuu na kwamba, Jumamosi hii watafunga mwaka kwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu:Mini ni Demu Feki na Tapeli

Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amedai kwamba yeye ni ‘demu feki’ tena mwenye tabia za kitapeli huku kauli yake hiyo ikiacha baadhi ya watu midomo wazi na kutaka kujua kulikoni.

Akizungumza na mtandao wa udakuspecially.com, Lulu amesema kuwa ni kweli yeye ni demu feki lakini kama watu wanataka kujua kwa nini yeye ni feki na ana tabia za kitapeli wasubiri kujua kwa nini ameamua kujiita hivyo.

“Kama mtu anataka kujua ufeki wangu anisikilizie maana kuna kitu nimefanya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani