Lulu:Mini ni Demu Feki na Tapeli
Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amedai kwamba yeye ni ‘demu feki’ tena mwenye tabia za kitapeli huku kauli yake hiyo ikiacha baadhi ya watu midomo wazi na kutaka kujua kulikoni.
Akizungumza na mtandao wa udakuspecially.com, Lulu amesema kuwa ni kweli yeye ni demu feki lakini kama watu wanataka kujua kwa nini yeye ni feki na ana tabia za kitapeli wasubiri kujua kwa nini ameamua kujiita hivyo.
“Kama mtu anataka kujua ufeki wangu anisikilizie maana kuna kitu nimefanya...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bt5BWlmh0GbHouINxPXfL-W9GDkoexq-oLPqOfFWtincBl9T7fb2dCAxkjI7bfeYM4jxC8F3eMrvnPqva1eyK6qVIYZITF1P/YUI.gif?width=650)
LULU AJIITA DEMU FEKI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ei5Em44k9sY/UxV_NSLg2OI/AAAAAAAATDI/ftOSM21PUI4/s72-c/IMG_3020.jpg)
MZUNGU TAPELI ANASWA NA MAHERA KIBAO FEKI HAPA BONGO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ei5Em44k9sY/UxV_NSLg2OI/AAAAAAAATDI/ftOSM21PUI4/s1600/IMG_3020.jpg)
Yule mzungu aliyekuwa anatafutwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa kutuhuma za kuwatapeli wananchi kwa Euro Feki hatimae amekamtwa akijaribu kununua gari kwa pesa hizo feki. Habari za uhakika zilizotua mezani zilisema mzungu huyo ambae ni Raia wa South Africa...
10 years ago
Dewji Blog11 Jul
10 years ago
Uhuru Newspaper26 Oct
Tapeli latiwa mbaroni Mbeya
Innocent Ng’oko, Mbeya
MAKACHERO wa Jeshi la Polisi Nchini, wamemtia mbaroni mmiliki wa Kampuni ya KEAR Computer Training, Uttu Kingwande, kwa tuhuma za utapeli.
Kingwande anadaiwa kuwatapeli wanafunzi lukuki waliokuwa wakipata mafunzo ya kompyuta katika kituo chake alichokuwa amekifungua katika Shule ya Sekondari ya Mbeya.
Inadaiwa kuwa kituo hicho hakikuwa kimesajiliwa na hivyo alikuwa akijipatia pesa kiujacha ujanja.
Mtuhumiwa huyo alikuwa akitafutwa kwa zaidi ya miezi mitatu sasa, ambapo...
9 years ago
Habarileo03 Sep
Polisi wamtia mbaroni tapeli wa wastaafu
POLISI mkoani hapa kwa kushirikiana na Mfuko wa pensheni wa LAPF wamemtia mbaroni na kumfikisha mahakamani David Makali maarufu Peter Mabula kwa tuhuma za kuibia wastaafu kwa njia ya mtandao katika mikoa mbalimbali.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n6JmThHrscZ86lhHlBQ4PlKfzi3ueQTyMq9ImUqGIj1ExlzoR5yW8GygvZ9uebWm2yda6PRRfiqKqIqW0OALGT0EvAHS1IRS/TAPELI.jpg)
ANAYEDAIWA KUWA TAPELI WA AJIRA ANASWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ov90wJC7zCwLVAiSL5JEKkbSQ1BFahbhU7v00yC549eS5VmC9iMJ6papAsouw386ly6MlRjPqGrejH8TFHCFDVzgYZcDK3ql/singa.jpg)
HUYU NDIYE SINGASINGA TAPELI WA ESCROW
11 years ago
Dewji Blog20 Jul
Tapeli lililojidai Kishoka wa Tanesco ladakwa Live Mlimani City
Pichani juu na chini ni Kishoka wa Tanesco aliyekamatwa Mlimani City.
Na Mwandishi wetu
TAPELI lililokubuhu kwa masuala ya kulaghai watu kwa njia ya kujifanya kishoka washirika la Umeme Nchini, Tanesco, jana asubuhi limedakwa baada ya kuwekewa mtego walipokuwa wakitaka kutapeli kwa mmoja wa Afisa wa Habari wa Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC) Bi. Usia Nkhoma- Ledama.
Kwa mujibu wa Bi. Usia akieleza tukio hilo, alidai kuwa tapeli huyo alifika asubuhi akiwa na wenzake sita, ...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/10500539_819006161445574_7780628803053090260_n.jpg)
TAPELI LILILOJIDAI MFANYAKAZI WA TANESCO LADAKWA LIVE MLIMANI CITY!