ANAYEDAIWA KUWA TAPELI WA AJIRA ANASWA
![](http://api.ning.com:80/files/n6JmThHrscZ86lhHlBQ4PlKfzi3ueQTyMq9ImUqGIj1ExlzoR5yW8GygvZ9uebWm2yda6PRRfiqKqIqW0OALGT0EvAHS1IRS/TAPELI.jpg)
Stori: Chande Abdallah na Deogratius Mongela YAHAYA unaishi wapi? Jamaa mmoja anayetumia majina ya Baraka, Muba au Martha Peter amenaswa kwa kujipatia pesa kiudanganyifu akijifanya Ofisa wa Bodi ya Mikopo wa Chuo cha Ardhi kilichopo jijini Dar. Tapeli anayetumia majina ya Baraka, Muba au Martha Peter. Tukio hilo lilitokea Septemba 19 mwaka huu katika Kituo cha Afya cha Kimara baada ya tapeli huyo kumlaghai dada mmoja...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ei5Em44k9sY/UxV_NSLg2OI/AAAAAAAATDI/ftOSM21PUI4/s72-c/IMG_3020.jpg)
MZUNGU TAPELI ANASWA NA MAHERA KIBAO FEKI HAPA BONGO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ei5Em44k9sY/UxV_NSLg2OI/AAAAAAAATDI/ftOSM21PUI4/s1600/IMG_3020.jpg)
Yule mzungu aliyekuwa anatafutwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa kutuhuma za kuwatapeli wananchi kwa Euro Feki hatimae amekamtwa akijaribu kununua gari kwa pesa hizo feki. Habari za uhakika zilizotua mezani zilisema mzungu huyo ambae ni Raia wa South Africa...
11 years ago
Habarileo08 Jan
Mkazi wa Mbagala anaswa kwa tuhuma za kuwa na heroin
MKAZI wa Mbagala, Salama Omary(39) amekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) akiwa na pipi 67 za dawa za kulevya aina ya heroin zenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 48, alizokuwa amezimeza tumboni.
10 years ago
Habarileo22 Jun
Mchakato ajira sasa kuwa kielektroniki
SERIKALI imesema ifikapo Juni Mosi mwaka huu itaanza kutumia rasmi mfumo wa kielektroniki katika mchakato wa kuajiri watumishi wa umma.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-w55KenLOtUI/XmDeIRgDBBI/AAAAAAABMds/0MdjxeYJ5ysAOkWu9WWJZ4eM_dSR3rVvwCNcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200305-WA0042.jpg)
SEKTA YA AJIRA IMEBAKI KUWA CHANGAMOTO KIDUNIA,NBC WAPEWA TUZO
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Sulubu Hassan amesema ukosefu wa ajira kwa vijana umebaki kuwa changamoto ya kidunia na kwa mujibu wa taarifa za Shirika la Kazi Duniani (ILO).
Amesema Kuhusu mwenendo wa soko la ajira kwa mwaka huu inaonesha zaidi ya watu Milioni 187.7 duniani hawana kazi.
Samia amesema katika Jumuiya ya SADC inakadiriwa kuwa zaidi ya asilimia 60 ya nguvu kazi ni vijana hivyo hawana budi kuitumia ipasvyo katika kukuza...
10 years ago
Dewji Blog01 Jun
URAIS2015: Kwa Nini nimechagua kuzalisha ajira kuwa kipaumbele cha kwanza? — Kigwangalla
Mbunge wa Nzega, Dk Hamisi Kigwangalla (CCM) ambaye ametangaza nia ya kutaka kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2015.
Nchi yoyote ili iendelee lazima watu wake wawe na amani, uhuru, furaha, uzalendo, uwajibikaji, nidhamu ya kazi, ubunifu na uchapakazi. Ili watu wetu wawe na vitu hivi lazima tujenge misingi ya usawa na motisha. Usawa utawafanya watu waone nchi yao inawajali na hivyo watavumilia jua na mvua. Motisha itawafanya watu wawe tayari...
10 years ago
Uhuru Newspaper26 Oct
Tapeli latiwa mbaroni Mbeya
Innocent Ng’oko, Mbeya
MAKACHERO wa Jeshi la Polisi Nchini, wamemtia mbaroni mmiliki wa Kampuni ya KEAR Computer Training, Uttu Kingwande, kwa tuhuma za utapeli.
Kingwande anadaiwa kuwatapeli wanafunzi lukuki waliokuwa wakipata mafunzo ya kompyuta katika kituo chake alichokuwa amekifungua katika Shule ya Sekondari ya Mbeya.
Inadaiwa kuwa kituo hicho hakikuwa kimesajiliwa na hivyo alikuwa akijipatia pesa kiujacha ujanja.
Mtuhumiwa huyo alikuwa akitafutwa kwa zaidi ya miezi mitatu sasa, ambapo...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ITCnkrKpSys/ViIRJXYczlI/AAAAAAAIAho/tmkKEh80SUE/s72-c/image_1.jpeg)
WAHITIMU WAASWA KUACHANA NA FIKRIA POTOFU KUWA ELIMU WANAYOIPATA ITAWAPATIA AJIRA SERIKALINI AU KWENYE SEKTA BINAFSI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ITCnkrKpSys/ViIRJXYczlI/AAAAAAAIAho/tmkKEh80SUE/s640/image_1.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lQi0GpbGI1Y/ViIRKhsfnmI/AAAAAAAIAh8/cSdwkMKdea8/s640/image_3.jpeg)
9 years ago
Habarileo03 Sep
Polisi wamtia mbaroni tapeli wa wastaafu
POLISI mkoani hapa kwa kushirikiana na Mfuko wa pensheni wa LAPF wamemtia mbaroni na kumfikisha mahakamani David Makali maarufu Peter Mabula kwa tuhuma za kuibia wastaafu kwa njia ya mtandao katika mikoa mbalimbali.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ov90wJC7zCwLVAiSL5JEKkbSQ1BFahbhU7v00yC549eS5VmC9iMJ6papAsouw386ly6MlRjPqGrejH8TFHCFDVzgYZcDK3ql/singa.jpg)
HUYU NDIYE SINGASINGA TAPELI WA ESCROW