Mkazi wa Mbagala anaswa kwa tuhuma za kuwa na heroin
MKAZI wa Mbagala, Salama Omary(39) amekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) akiwa na pipi 67 za dawa za kulevya aina ya heroin zenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 48, alizokuwa amezimeza tumboni.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo14 Apr
Wanaswa kwa tuhuma ya kuwa na heroin kwenye kondomu
VIJANA wawili wenye asili ya kiasia, wakazi wa jijini hapa, wametiwa mbaroni na polisi mkoani hapa kwa tuhuma ya kukutwa na kete 170 za dawa za kulevya aina ya heroin na bangi kete 300.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5FmTVwt37AI/XvX2fDMVBAI/AAAAAAALvko/btmRVnzIerYSUZyWdeh95oeqhBYmp0XMQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-26%2Bat%2B2.17.25%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
MKAZI WA JIJINI DAR KORTINI KWA TUHUMA ZA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA GRAMU 1523.25
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa na Wakili wa Serikali Janet Magoho leo Juni 26, 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Richard Kabate imedai kuwa, Aprili 9, 2011 huko katika uwanja wa Ndege wa Mwalimu JK Nyerere ndani ya Wilaya ya Ilala Dar es Salaam, mshtakiwa alikutwa akisafirisha...
10 years ago
Mwananchi10 Feb
Hakimu anaswa na Takukuru kwa tuhuma za kuomba rushwa
10 years ago
GPL05 Sep
MWANAFUNZI WA KIKE MIAKA 11 ANASWA KWA TUHUMA ZA WIZI DAR
11 years ago
Mwananchi23 Jul
TUHUMA: Mwamuzi wa Fifa asakwa kwa tuhuma za wizi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n6JmThHrscZ86lhHlBQ4PlKfzi3ueQTyMq9ImUqGIj1ExlzoR5yW8GygvZ9uebWm2yda6PRRfiqKqIqW0OALGT0EvAHS1IRS/TAPELI.jpg)
ANAYEDAIWA KUWA TAPELI WA AJIRA ANASWA
10 years ago
Bongo Movies27 Feb
Bond asikitishwa na tuhuma za kuwa na watoto wanne na kumsababishia Wastara kuzimia
Mtangazaji, Mwigizaji na muongozaji wa filamu Bond Bin Sinnan ambae pia ni meneja wa mwigizaji Wastara Juma amejitoteza mtandaoni na kuonesha kupinga kile ambacho kilandikwa na magezi ya udaku kuwa ana watoto watatuna na mmoja amezaliwa majuzi na baada ya Wastara kupigiwa simu mpenzi wazamani wa Bond, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ kujulishwa kuwa “demu” wa Bond amezaa na inadaiwa Wastara alizimia baada ya kusikia taarifa hizo.
Sasa jana Bond ameibuka na kubandika haya mtandaoni.
"Binadamu...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Rh7DNKryBzw/VOhA8agUBaI/AAAAAAAHE5E/EglDLXGHMqw/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Airtel yamkabithi Mkazi wa Kyela Mbeya Bwana Edom Mwansasu gari Lake Baada ya kuibuka kuwa moja kati ya washindi wa wiki ya pili ya Airtel Yatosha Zaidi
11 years ago
Habarileo14 Feb
Mkazi wa Itigi mbaroni kwa meno 21 ya tembo
POLISI mkoani Singida inamshikilia mkazi wa Kijiji cha Mwamagembe Tarafa ya Itigi wilayani Manyoni kwa tuhuma za kupatikana na vipande 21 vya meno ya tembo vyenye thamani ya Sh milioni 43.12 tu.