Wanaswa kwa tuhuma ya kuwa na heroin kwenye kondomu
VIJANA wawili wenye asili ya kiasia, wakazi wa jijini hapa, wametiwa mbaroni na polisi mkoani hapa kwa tuhuma ya kukutwa na kete 170 za dawa za kulevya aina ya heroin na bangi kete 300.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo08 Jan
Mkazi wa Mbagala anaswa kwa tuhuma za kuwa na heroin
MKAZI wa Mbagala, Salama Omary(39) amekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) akiwa na pipi 67 za dawa za kulevya aina ya heroin zenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 48, alizokuwa amezimeza tumboni.
11 years ago
Habarileo15 Jul
Wanaswa kwa tuhuma ya kuiba maji ya Dawasa
WAKAZI watatu wa Dar es Salaam jana walikamatwa na polisi kwa tuhuma ya kujiunganishia maji ya Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasa) kinyume cha sheria.
10 years ago
Habarileo15 Mar
Wanaswa kwa tuhuma za kupora mikoba ya wanawake
WATU wawili wanashikiliwa na polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kuwapora watu vitu mbalimbali, ikiwemo mikoba ya akinamama na kisha kutokomea kusikojulikana.
11 years ago
Habarileo30 May
17 wanaswa tuhuma ya kulipua mabomu
POLISI imesema imekamata watu 15, wanaotuhumiwa kuhusika na ulipuaji wa mabomu jijini Arusha na usajili wa vijana kwa lengo la kuwasafirisha kwenda nje ya nchi, kujiunga na vikundi vya kigaidi. Pia, watu hao wanatuhumiwa kutaka kulipua maeneo mengine, hasa taasisi za Serikali na maeneo ya mikusanyiko ya watu.
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Kondomu zakutwa kwenye ukumbi wa bunge
11 years ago
Mwananchi23 Jul
TUHUMA: Mwamuzi wa Fifa asakwa kwa tuhuma za wizi
10 years ago
Tanzania Daima10 Oct
Wanaswa wakisafirisha bangi kwenye basi
JESHI la Polisi mkoani hapa linawashikilia watu watano kwa kosa la kukutwa wakisafirisha bangi magunia matano katika gari la abiria aina ya Toyota Coaster. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p8dNfbTfHuCBkvklC5QH9p5emsG-YsV6J69Az*-mlw6UOzxEO*mJ6uDDROZRDil-sJWQpVEFaBoQSWXPKPkTF7kqbmJ-dsaB/27959ADD000005783039495imagem37_1429085955348.jpg?width=650)
TYGA, KYLIE WANASWA KWENYE DUKA LA VITO
10 years ago
Bongo Movies11 Mar
Sabby, Cyrill Wanaswa Wakiwa Kwenye Pozi Tata!
Mrembo na staa wa Bongo Movie, Sabrina Omary ‘Sabby’ na muziki wa Bongo Fleva, Cyrill Kamikaze hivi karibuni walinaswa katika ufukwe wa Hoteli ya Golden Tulip, Masaki jijini Dar wakiwa kimahaba na hivyo kuzidisha tetesi kuwa wanatoka kimapenzi.
Chanzo chanzo makini cha GPL kilisema wawili hao walionekana hotelini hapo wakiwa eneo la kuogelea na walipomaliza walihamia katika viti ambako sasa walikumbatiana kimahaba kana kwamba hakuna mtu anayewaona.
Kwa nyakati tofauti walipoulizwa kuhusu...