Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanaswa kwa tuhuma ya kuwa na heroin kwenye kondomu

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha, Liberatus SabasVIJANA wawili wenye asili ya kiasia, wakazi wa jijini hapa, wametiwa mbaroni na polisi mkoani hapa kwa tuhuma ya kukutwa na kete 170 za dawa za kulevya aina ya heroin na bangi kete 300.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mkazi wa Mbagala anaswa kwa tuhuma za kuwa na heroin

Godfrey NzowaMKAZI wa Mbagala, Salama Omary(39) amekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) akiwa na pipi 67 za dawa za kulevya aina ya heroin zenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 48, alizokuwa amezimeza tumboni.

 

11 years ago

Habarileo

Wanaswa kwa tuhuma ya kuiba maji ya Dawasa

WAKAZI watatu wa Dar es Salaam jana walikamatwa na polisi kwa tuhuma ya kujiunganishia maji ya Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasa) kinyume cha sheria.

 

10 years ago

Habarileo

Wanaswa kwa tuhuma za kupora mikoba ya wanawake

WATU wawili wanashikiliwa na polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kuwapora watu vitu mbalimbali, ikiwemo mikoba ya akinamama na kisha kutokomea kusikojulikana.

 

11 years ago

Habarileo

17 wanaswa tuhuma ya kulipua mabomu

POLISI imesema imekamata watu 15, wanaotuhumiwa kuhusika na ulipuaji wa mabomu jijini Arusha na usajili wa vijana kwa lengo la kuwasafirisha kwenda nje ya nchi, kujiunga na vikundi vya kigaidi. Pia, watu hao wanatuhumiwa kutaka kulipua maeneo mengine, hasa taasisi za Serikali na maeneo ya mikusanyiko ya watu.

 

11 years ago

Mwananchi

Kondomu zakutwa kwenye ukumbi wa bunge

Nairobi, Kenya. Inaweza kuonekana ni kituko cha aina yake, lakini ni kweli kimetokea kwenye Ukumbi wa Bunge la Kaunti ya Nairobi na kuwaacha wabunge vinywa wazi.

 

11 years ago

Mwananchi

TUHUMA: Mwamuzi wa Fifa asakwa kwa tuhuma za wizi

>Mwamuzi msaidizi wa soka nchini, Hamis Chang’walu anasakwa na Jeshi la Polisi akituhumiwa kwa wizi wa nguo za kike, maarufu ‘madela’ katika kesi ambayo inahusisha watu wengine watatu ambao wamekamatwa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wanaswa wakisafirisha bangi kwenye basi

JESHI la Polisi mkoani hapa linawashikilia watu watano kwa kosa la kukutwa wakisafirisha bangi magunia matano katika gari la abiria aina ya Toyota Coaster. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini...

 

10 years ago

GPL

TYGA, KYLIE WANASWA KWENYE DUKA LA VITO

Tygal akiwa na mpenzi wake Kylie Jenner.
California, Marekani
KAPO inayokuja juu kwa sasa ya Kylie Jenner, 17, na Tygal, 25, wikiendi iliyopita walinaswa wakiwa kwenye duka la vito chanzo cha habari kilidai walikwenda kununua pete ya uchumba, wakali hao walinaswa huko Beverly Hills, Calfornia nchini Marekani. Wapenzi hao wamekuwa wakijiachia pamoja mitaani mara kwa mara lakini kukutwa kwao katika duka hilo la vito...

 

10 years ago

Bongo Movies

Sabby, Cyrill Wanaswa Wakiwa Kwenye Pozi Tata!

Mrembo na staa wa Bongo Movie, Sabrina Omary ‘Sabby’  na  muziki wa Bongo Fleva, Cyrill Kamikaze hivi karibuni walinaswa katika ufukwe wa Hoteli ya Golden Tulip, Masaki jijini Dar wakiwa kimahaba na hivyo kuzidisha tetesi kuwa wanatoka kimapenzi.

Chanzo chanzo makini cha GPL kilisema wawili hao walionekana hotelini hapo wakiwa eneo la kuogelea na walipomaliza walihamia katika viti ambako sasa walikumbatiana kimahaba kana kwamba hakuna mtu anayewaona.

Kwa nyakati tofauti walipoulizwa kuhusu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani