Wanaswa kwa tuhuma za kupora mikoba ya wanawake
WATU wawili wanashikiliwa na polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kuwapora watu vitu mbalimbali, ikiwemo mikoba ya akinamama na kisha kutokomea kusikojulikana.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo15 Jul
Wanaswa kwa tuhuma ya kuiba maji ya Dawasa
WAKAZI watatu wa Dar es Salaam jana walikamatwa na polisi kwa tuhuma ya kujiunganishia maji ya Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasa) kinyume cha sheria.
11 years ago
Habarileo14 Apr
Wanaswa kwa tuhuma ya kuwa na heroin kwenye kondomu
VIJANA wawili wenye asili ya kiasia, wakazi wa jijini hapa, wametiwa mbaroni na polisi mkoani hapa kwa tuhuma ya kukutwa na kete 170 za dawa za kulevya aina ya heroin na bangi kete 300.
11 years ago
Habarileo30 May
17 wanaswa tuhuma ya kulipua mabomu
POLISI imesema imekamata watu 15, wanaotuhumiwa kuhusika na ulipuaji wa mabomu jijini Arusha na usajili wa vijana kwa lengo la kuwasafirisha kwenda nje ya nchi, kujiunga na vikundi vya kigaidi. Pia, watu hao wanatuhumiwa kutaka kulipua maeneo mengine, hasa taasisi za Serikali na maeneo ya mikusanyiko ya watu.
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Wanawake wanaswa na dawa za kulevya
11 years ago
Mwananchi23 Jul
TUHUMA: Mwamuzi wa Fifa asakwa kwa tuhuma za wizi
9 years ago
Bongo507 Dec
Majambazi wavamia na kupora nyumbani kwa rapper Big Sean
![big-sean](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/big-sean-300x194.jpg)
Nyumba ya rapper Big Sean wa Marekani ilivamiwa na majambazi wakati akiwa nje ya nchi.
Kwa mujibu wa TMZ, wezi hao walivunja nyumba yake iliyopo jijini Los Angeles na kuvunja sehemu palipokuwa pamehifadhiwa vitu vya thamani. Walipora vidani vya madini vyenye thamani ya $150,000 pamoja na nyimbo ambazo bado hazijatoka.
Sean na wenzake wanaamini kuwa wizi huo umefanywa na watu wa karibu. Wezi hao walijua kuwa rapper huyo hakuwepo na walikuwa wanaijua vyema nyumba yake. Hadi sasa hakuna...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0gGC4ZQuxjO-CYrK148lrv6yols*ogg8wFWcloiE7xrOMc7FM-flFyXuUAmFlxsfRt-svuFHPLIcsqVzXdGlXg5ox-PcXQlD/ufuskacopy.jpg?width=650)
WASANII WANASWA KWA UFUSKA
11 years ago
Habarileo03 Jun
Watumishi 11 wa Serikali wanaswa kwa mihadarati
WATUMISHI 11 wa vitengo vinavyodhibiti dawa za kulevya, wamekamatwa au kuhusishwa na biashara ya dawa za kulevya katika maeneo mbalimbali nchini. Hayo yalisemwa bungeni mjini hapa jana na Naibu Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati akijibu swali la Mbunge wa Kigamboni, Dk Faustine Ndugulile (CCM).