Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanaswa kwa tuhuma za kupora mikoba ya wanawake

WATU wawili wanashikiliwa na polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kuwapora watu vitu mbalimbali, ikiwemo mikoba ya akinamama na kisha kutokomea kusikojulikana.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wanaswa kwa tuhuma ya kuiba maji ya Dawasa

WAKAZI watatu wa Dar es Salaam jana walikamatwa na polisi kwa tuhuma ya kujiunganishia maji ya Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasa) kinyume cha sheria.

 

11 years ago

Habarileo

Wanaswa kwa tuhuma ya kuwa na heroin kwenye kondomu

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha, Liberatus SabasVIJANA wawili wenye asili ya kiasia, wakazi wa jijini hapa, wametiwa mbaroni na polisi mkoani hapa kwa tuhuma ya kukutwa na kete 170 za dawa za kulevya aina ya heroin na bangi kete 300.

 

11 years ago

Habarileo

17 wanaswa tuhuma ya kulipua mabomu

POLISI imesema imekamata watu 15, wanaotuhumiwa kuhusika na ulipuaji wa mabomu jijini Arusha na usajili wa vijana kwa lengo la kuwasafirisha kwenda nje ya nchi, kujiunga na vikundi vya kigaidi. Pia, watu hao wanatuhumiwa kutaka kulipua maeneo mengine, hasa taasisi za Serikali na maeneo ya mikusanyiko ya watu.

 

11 years ago

Mwananchi

Wanawake wanaswa na dawa za kulevya

Kikosi Kazi cha kupambana na Dawa za Kulevya, kimekamata watu wawili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kiamataifa wa Julius Nyerere, wakiwa wamemeza zaidi ya kete 187 za dawa za kulevya aina ya heroin ambazo thamani yake haijajulikana.

 

11 years ago

Mwananchi

TUHUMA: Mwamuzi wa Fifa asakwa kwa tuhuma za wizi

>Mwamuzi msaidizi wa soka nchini, Hamis Chang’walu anasakwa na Jeshi la Polisi akituhumiwa kwa wizi wa nguo za kike, maarufu ‘madela’ katika kesi ambayo inahusisha watu wengine watatu ambao wamekamatwa.

 

9 years ago

Bongo5

Majambazi wavamia na kupora nyumbani kwa rapper Big Sean

big-sean

Nyumba ya rapper Big Sean wa Marekani ilivamiwa na majambazi wakati akiwa nje ya nchi.

big-sean

Kwa mujibu wa TMZ, wezi hao walivunja nyumba yake iliyopo jijini Los Angeles na kuvunja sehemu palipokuwa pamehifadhiwa vitu vya thamani. Walipora vidani vya madini vyenye thamani ya $150,000 pamoja na nyimbo ambazo bado hazijatoka.

Sean na wenzake wanaamini kuwa wizi huo umefanywa na watu wa karibu. Wezi hao walijua kuwa rapper huyo hakuwepo na walikuwa wanaijua vyema nyumba yake. Hadi sasa hakuna...

 

10 years ago

GPL

WASANII WANASWA KWA UFUSKA

Brighton Masalu SHABAASH! ‘Makinda’ wawili wanao penyapenya katika sanaa ya maigizo runingani wa Kundi la Sanaa la Jakaya Theatre Arts Group, Sefu Ngao ‘Stefano’ na Vanessa Msofe wamenaswa wakifanya uchafu kwa kuoneshana mahaba mazito huku wakiwa ‘bwii’, Ijumaa Wikienda linakupa ishu nzima. Wasanii hao wakiwa katika mahaba mazito baada kulewa. Tukio la uchafu huo unaotia kichefuchefu cha...

 

11 years ago

Habarileo

Watumishi 11 wa Serikali wanaswa kwa mihadarati

WATUMISHI 11 wa vitengo vinavyodhibiti dawa za kulevya, wamekamatwa au kuhusishwa na biashara ya dawa za kulevya katika maeneo mbalimbali nchini. Hayo yalisemwa bungeni mjini hapa jana na Naibu Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati akijibu swali la Mbunge wa Kigamboni, Dk Faustine Ndugulile (CCM).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani