Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sabby, Cyrill Wanaswa Wakiwa Kwenye Pozi Tata!

Mrembo na staa wa Bongo Movie, Sabrina Omary ‘Sabby’  na  muziki wa Bongo Fleva, Cyrill Kamikaze hivi karibuni walinaswa katika ufukwe wa Hoteli ya Golden Tulip, Masaki jijini Dar wakiwa kimahaba na hivyo kuzidisha tetesi kuwa wanatoka kimapenzi.

Chanzo chanzo makini cha GPL kilisema wawili hao walionekana hotelini hapo wakiwa eneo la kuogelea na walipomaliza walihamia katika viti ambako sasa walikumbatiana kimahaba kana kwamba hakuna mtu anayewaona.

Kwa nyakati tofauti walipoulizwa kuhusu...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SABBY, CYRILL WANASWA!

Imelda Mtema/mchanganyiko
MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Cyrill Kamikaze ‘Cyrill’ na Mbongo Muvi Sabrina Omary ‘Sabby’ hivi karibuni walinaswa katika ufukwe wa Hoteli ya Golden Tulip, Masaki jijini Dar wakiwa kimahaba na hivyo kuzidisha tetesi kuwa wanatoka kimapenzi. Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Cyrill Kamikaze ‘Cyrill’ na Mbongo Muvi Sabrina Omary ‘Sabby’ wakipozi...

 

11 years ago

GPL

TX JUNIOR, RECHO WANASWA POZI TATA

Stori: Shakoor Jongo
MWANAMUZIKI wa Bendi ya Msondo Ngoma, Hassan Moshi ‘TX Junior’ amenaswa katika pozi tata na staa wa Bongo Fleva, Winifrida Josephat ‘Recho’. Mwanamuziki wa Bendi ya Msondo Ngoma, Hassan Moshi ‘TX Junior’ amenaswa katika pozi tata na staa wa Bongo Fleva, Winifrida Josephat ‘Recho’. Tukio la kunaswa kwa muimbaji huyo lilichukuwa nafasi katika baa moja...

 

10 years ago

GPL

ISABELA & KABULA WANASWA WAKISHUTI WAKIWA BWIII!

Stori: Gladness Mallya
GAMBE! Wasanii wanaounda kundi la muziki la Scorpion Girls, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ na Isabela Mpanda hivi karibuni walinaswa wakiwa tilalila huku wakifanya kazi. Wasanii wanaounda kundi la muziki la Scorpion Girls, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’(katikati) na Isabela Mpanda(kulia) wakilishambulia jukwaa . Tukio hilo lilitokea wiki iliyopita maeneo ya Kawe jijini Dar es Salaam...

 

10 years ago

GPL

OMMY DIMPOZ 'POZI KWA POZI' NAYE ATUA GLOBAL TV ONLINE LEO

Ommy Dimpoz akipoza kiu ndani ya studio za Global TV Online leo wakati akifanyiwa mahojiano. Dimpoz katika pozi murua ndani ya studio za Global TV Online leo.…

 

10 years ago

Bongo5

Picha (screenshots) tata kwenye video ya Anaconda (18+)

Kama unataka kuangalia video ya wimbo wa Nicki Minaj ‘Anaconda’ hakikisha watoto wamelala na haupo mbele ya mtu unayemheshimu. Ni shida. Hizi ni picha zenye utata kutoka kwenye video hiyo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wanaswa wakisafirisha bangi kwenye basi

JESHI la Polisi mkoani hapa linawashikilia watu watano kwa kosa la kukutwa wakisafirisha bangi magunia matano katika gari la abiria aina ya Toyota Coaster. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Mashabiki wamshambulia Nonini baada ya kupost picha ya ‘tbt’ akiwa kwenye pozi za kimahaba na Wahu

Katika ule utaratibu wa watu kupost picha za zamani kwenye mitandao ya kijamii na hashtag ya ‘Throw Back Thursday (TBT) kila siku za Alhamisi , Nonini alipost picha aliyopiga zamani na Wahu wakiwa kwenye pozi za kimahaba, kitendo kilichotafsiriwa tofauti na mashabiki waliodai amemkosea heshima Nameless. Wanamuziki Wahu Kagwi na David Mathenge a.k.a Nameless wa […]

 

10 years ago

GPL

TYGA, KYLIE WANASWA KWENYE DUKA LA VITO

Tygal akiwa na mpenzi wake Kylie Jenner.
California, Marekani
KAPO inayokuja juu kwa sasa ya Kylie Jenner, 17, na Tygal, 25, wikiendi iliyopita walinaswa wakiwa kwenye duka la vito chanzo cha habari kilidai walikwenda kununua pete ya uchumba, wakali hao walinaswa huko Beverly Hills, Calfornia nchini Marekani. Wapenzi hao wamekuwa wakijiachia pamoja mitaani mara kwa mara lakini kukutwa kwao katika duka hilo la vito...

 

11 years ago

Habarileo

Wanaswa kwa tuhuma ya kuwa na heroin kwenye kondomu

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha, Liberatus SabasVIJANA wawili wenye asili ya kiasia, wakazi wa jijini hapa, wametiwa mbaroni na polisi mkoani hapa kwa tuhuma ya kukutwa na kete 170 za dawa za kulevya aina ya heroin na bangi kete 300.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani