Sabby, Cyrill Wanaswa Wakiwa Kwenye Pozi Tata!
Mrembo na staa wa Bongo Movie, Sabrina Omary ‘Sabby’ na muziki wa Bongo Fleva, Cyrill Kamikaze hivi karibuni walinaswa katika ufukwe wa Hoteli ya Golden Tulip, Masaki jijini Dar wakiwa kimahaba na hivyo kuzidisha tetesi kuwa wanatoka kimapenzi.
Chanzo chanzo makini cha GPL kilisema wawili hao walionekana hotelini hapo wakiwa eneo la kuogelea na walipomaliza walihamia katika viti ambako sasa walikumbatiana kimahaba kana kwamba hakuna mtu anayewaona.
Kwa nyakati tofauti walipoulizwa kuhusu...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLR6aJ48QI*ppcLHRtP84JApFyZc0f2apL6KG1-di9ysqk1FW-xZ2TYnlUGvQbTn3wGXAwKAigBkskUkE9AT80Pl/4.jpg)
SABBY, CYRILL WANASWA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRmsn27CzTo-E-gf1*c2eeia8hqdT7I3BvCx30gJsQnq2IBn9oa2oGbN0l2AG5zP5SwGPZ43xOkzVBsRQJ7l6dAK/TX.jpg)
TX JUNIOR, RECHO WANASWA POZI TATA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tlB4pKQX5mhY-LxMwX1kyP1cBaEKWGDS6pmTgoZP4w08WPcJ8HFAswuSfoh2d6bnR3fLEAP8KLw34aqSMPywTprwRV9F1L4E/isabela.jpg)
ISABELA & KABULA WANASWA WAKISHUTI WAKIWA BWIII!
10 years ago
GPLOMMY DIMPOZ 'POZI KWA POZI' NAYE ATUA GLOBAL TV ONLINE LEO
10 years ago
Bongo520 Aug
Picha (screenshots) tata kwenye video ya Anaconda (18+)
10 years ago
Tanzania Daima10 Oct
Wanaswa wakisafirisha bangi kwenye basi
JESHI la Polisi mkoani hapa linawashikilia watu watano kwa kosa la kukutwa wakisafirisha bangi magunia matano katika gari la abiria aina ya Toyota Coaster. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini...
9 years ago
Bongo502 Oct
Picha: Mashabiki wamshambulia Nonini baada ya kupost picha ya ‘tbt’ akiwa kwenye pozi za kimahaba na Wahu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p8dNfbTfHuCBkvklC5QH9p5emsG-YsV6J69Az*-mlw6UOzxEO*mJ6uDDROZRDil-sJWQpVEFaBoQSWXPKPkTF7kqbmJ-dsaB/27959ADD000005783039495imagem37_1429085955348.jpg?width=650)
TYGA, KYLIE WANASWA KWENYE DUKA LA VITO
11 years ago
Habarileo14 Apr
Wanaswa kwa tuhuma ya kuwa na heroin kwenye kondomu
VIJANA wawili wenye asili ya kiasia, wakazi wa jijini hapa, wametiwa mbaroni na polisi mkoani hapa kwa tuhuma ya kukutwa na kete 170 za dawa za kulevya aina ya heroin na bangi kete 300.