Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SABBY, CYRILL WANASWA!

Imelda Mtema/mchanganyiko
MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Cyrill Kamikaze ‘Cyrill’ na Mbongo Muvi Sabrina Omary ‘Sabby’ hivi karibuni walinaswa katika ufukwe wa Hoteli ya Golden Tulip, Masaki jijini Dar wakiwa kimahaba na hivyo kuzidisha tetesi kuwa wanatoka kimapenzi. Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Cyrill Kamikaze ‘Cyrill’ na Mbongo Muvi Sabrina Omary ‘Sabby’ wakipozi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Sabby, Cyrill Wanaswa Wakiwa Kwenye Pozi Tata!

Mrembo na staa wa Bongo Movie, Sabrina Omary ‘Sabby’  na  muziki wa Bongo Fleva, Cyrill Kamikaze hivi karibuni walinaswa katika ufukwe wa Hoteli ya Golden Tulip, Masaki jijini Dar wakiwa kimahaba na hivyo kuzidisha tetesi kuwa wanatoka kimapenzi.

Chanzo chanzo makini cha GPL kilisema wawili hao walionekana hotelini hapo wakiwa eneo la kuogelea na walipomaliza walihamia katika viti ambako sasa walikumbatiana kimahaba kana kwamba hakuna mtu anayewaona.

Kwa nyakati tofauti walipoulizwa kuhusu...

 

9 years ago

Mtanzania

Cyrill: Nasubiri uchaguzi upite

CYILLNA CHRISTOPHER MSEKENA

UCHAGUZI mkuu wa rais, wabunge na madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, umepunguza kasi ya wasanii wa sanaa mbalimbali kutoa kazi zao kutokana na upepo wa kisiasa kuchukua nafasi kubwa.

Msanii kutoka Singida, Cyrill Kamikaze, ni mmoja wao licha ya kukamilisha uandaaji wa wimbo wake mpya, lakini anashindwa kuutoa kwa sasa kutokana na harakati za siasa zilivyopamba moto.

“Sio mimi tu, wasanii wengi wapo kimya kwa sababu ya uchaguzi, kwa upande wangu nasubiri...

 

9 years ago

Bongo5

Cyrill ndiye aliyemshawishi Jux kuacha kurap

12112282_968978856493247_182766289650621399_n

Cyrill Kamikaze amesema yeye ndiye aliyefanya kazi kubwa ya kumbadilisha member mwenzake wa kundi la Wakacha, Jux kuacha kurap na kuanza kuimba.

12112282_968978856493247_182766289650621399_n

Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Cyrill alisema hatua hiyo ndiyo ilimfanya Jux aendelee kufanya vizuri zaidi.

“Mimi ndiye nilimforce sana Jux kuingia kwenye muziki, yaani alikuwa ni mwanangu na ni ndugu yangu. Alikuwa anarap, nikamwambia ‘wewe unaweza kuimba’ nikamwelekeza halafu nikampeleka studio akanifanyia...

 

10 years ago

CloudsFM

Hawa ndiyo watoto wa mitaani wanaosomeshwa na msanii cyrill Kamikaze

Msanii wa Bongo Fleva, cyrill Kamikaze ameamua kurudisha fadhila kwa jamii baada ya kuamua kuwasomesha watoto wa mitaani walioshindwa kusoma kutoka na wazazi wao kutowasomesha kwa sababu mbalimbali ikiwemo ada ya shule.Msanii amefunguka kuwa watoto hao alikutana nao alipokuwa kwenye shughuli za kikazi mkoani Mbeya na watoto hao wanaanza kusoma katika shule iliyopo mkoani humo.Akizungumzia atawasomesha hadi elimu gani alisema kuwa hadi uwezo wake utakapoishia.

 

10 years ago

Bongo Movies

Sabby Ajisifu Kwa Mahaba

MSANII anayechipukia kwa kasi katika anga la filamu Bongo, Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ amedai ni mtaalamu zaidi pale linapokuja suala la mahaba.

Sabby alisema kuwa anajiamini mno katika hilo kwani ni jukumu la mwanamke kumpa mapenzi mazito mtu yule anayempenda kwa dhati.

 “Sio kwamba najisifu, lakini ukweli lazima katika mahaba uwe mjuzi wa hayo mambo ili hata mumeo au mpenzi wako asitoke nje kabisa,” alisema. Kuhusu kazi zake za filamu, alisema ataendelea kuhakikisha anatesa zaidi ili...

 

10 years ago

GPL

SABBY: NATAMANI PENZI LA DIAMOND

Hamida Hassan Staa wa filamu na muziki, Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ hivi karibuni amefunguka siri iliyokuwa kwenye uvungu wa moyo wake kwamba analitamani sana penzi la mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’ ila anaumia kwa kuwa anajua amechelewa.  ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1Pa0bB8

 

10 years ago

GPL

SABBY: WASANII TUPIME HIV

Na Imelda Mtema
MSANII anayekuja kwa kasi anga la filamu Bongo, Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ amewaasa wasanii wenzake kujali afya zao kwa kupenda kupima ugonjwa wa Ukimwi mara kwa mara. Msanii anayekuja kwa kasi anga la filamu Bongo, Sabrina Omary ‘Sabby Angel’. Akizungumza na mwandishi wetu, msanii huyo alisema kuwa kungekuwa na taratibu kabisa za kupima ugonjwa huo si kwa nia mbaya ili kuweza...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Rapper Cyrill alingishia (flaunt) cheque ya shilingi milioni 46 Instagram

Havumi lakini yumo. Rapper anayetokea Singida, Cyrill Kamikaze amepost picha ya cheque ya benki ya shilingi milioni 46. “Mara ya kwanza ilionekana ngumu but kuto kukata tamaa na juhudi nyingi imefanya kila kitu kionekane possible.. Being the youngest entrepreneur in the business but still kicking it .. Ukiweka nia kila kitu kinawezekana!! #mondayflow kaziniii #chequeissue […]

 

10 years ago

TheCitizen

Sabby Angel: Her Life, Career and new movie

>Her artistic career started in 2009. She started as a  young singer who drew inspiration from the likes of  Mariah Carey and Whitney Houston.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani