SABBY: NATAMANI PENZI LA DIAMOND

Hamida Hassan Staa wa filamu na muziki, Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ hivi karibuni amefunguka siri iliyokuwa kwenye uvungu wa moyo wake kwamba analitamani sana penzi la mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’ ila anaumia kwa kuwa anajua amechelewa.  ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1Pa0bB8
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
PENZI LA WEMA, DIAMOND...UCHAWI!
11 years ago
GPL
DIAMOND ATESEKA NA PENZI LA WEMA!
11 years ago
GPL
LULU: MIMI NIMPE PENZI DIAMOND..!
11 years ago
GPL
BABY MADAHA ATAMANI PENZI LA WEMA, DIAMOND
11 years ago
GPL
AUNT ALIANGUSHIA MAOMBI PENZI LA DIAMOND, WEMA
10 years ago
Bongo Movies13 Jan
Mfahamu kwa undani zaidi mwanadada ZARI wa Uganda aliyetibua penzi la WEMA na Diamond. Ni tajiri balaaa!
INA Zari hivi sasa limekuwa jina maarufu katika masikio ya Watanzania, Afrika Mashariki na kwingineko hasa baada ya mwanadada huyo mfanyabiashara na mwanamuziki wa Uganda kuwa na urafiki na Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nassib Abdul maarufu kwa jina la usanii Diamond Platnum.
Kwenye mitandao ya kijamii kama Tweeter, Facebook, Instagram na hata Whatsapp lazima utakutana na jina Zari akiunganishwa na Diamond na wengine wataunganisha na Wema Sepetu aliyewahi kuwa mpenzi wa Diamond.
Uhusiano...
10 years ago
GPL
SABBY, CYRILL WANASWA!
11 years ago
GPL
SABBY: WASANII TUPIME HIV