Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BABY MADAHA ATAMANI PENZI LA WEMA, DIAMOND

Stori: Imelda Mtema
MWANAMUZIKI mwenye vituko kila kukicha Bongo,  Baby Joseph Madaha, ametoa dukuduku lake la moyoni na kusema kuwa kila kukicha anayatamani mapenzi ya Wema Sepetu na Nasibu Abdul ‘Diamond’ kama angekuwa yeye. Mwanamuziki mwenye vituko kila kukicha Bongo,  Baby Joseph Madaha akipozi. Akizungumza na paparazi wetu, Baby alisema kuwa kila akiwaona Wema na Diamond anatamani sana na yeye awe...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Baby Madaha atamani mtoto

babyNA SHARIFA MMASI, DAR ES SALAAM

MWIGIZAJI na msanii wa Bongo Fleva, Baby Joseph Madaha, amesema anatamani kuitwa mama kama ilivyo kwa wanawake wengine wenye watoto. Akizungumza na MTANZANIA jana, Baby Madaha, alisema amepanga kufanikisha ndoto zake za kuwa mama mwaka huu. “Kiukweli natamani sana kupata mtoto, nafarijika nikisikia na kuona wenzangu wanaitwa mama, ni jambo la busara na kumuomba Mungu ili litimie,” alisema Baby Madaha. Madaha alisema wasanii wengi wamefululiza kuzaa jambo...

 

11 years ago

GPL

BABY MADAHA: SIJAMPA PENZI MPENZI WANGU

Stori: Mayasa Mariwata STAA wa filamu Bongo, Baby Madaha amesema tangu aanzishe uhusiano wa kimapenzi na meneja wake, Joe Kariuki hajawahi kukutana naye kimwili. Staa wa filamu Bongo, Baby Madaha Baby alisema wamejiwekea malengo kwani tendo hilo lina muda wake, haina haja ya kukurupuka.“Umri umeenda lazima niwe mtu mwenye msimamo si kila mwanaume nitayekuwa naye nitamvulia nguo, nitafanya hivyo muda ukifika,”...

 

11 years ago

GPL

BABY MADAHA AKOLEZWA NA PENZI LA MENEJA WAKE

Stori: Mayasa Mariwata
STAA wa filamu Bongo anayetamba na ngoma yake ya Summer Holiday amesema kuwa kutokana na mahaba mazito anayopatiwa na mwandani wake Joe Kariuki ambaye ni Meneja wake hafikirii kumuacha kamwe. Akipiga stori na paparazi wetu alisema, tangu aanze uhusiano na pedeshee huyo anayemiliki studio ya Candy n’ Candy  nchini Kenya, amekuwa akijiona mwenye fahari kubwa kwenye sayari ya mapenzi kutokana na...

 

11 years ago

GPL

BABY MADAHA AMSHIKA UCHAWI DIAMOND

Na Mayasa Mariwata
STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Baby Joseph Madaha ‘amemshika uchawi’ msanii mwenzake, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kufuatia madai kuwa, kuna msanii maarufu Bongo alikwenda kwa mganga wa kienyeji Tanga akitaka kumfanyizia ‘madongoloji’ mrembo huyo ili mambo yake yaende ndivyo sivyo. Baby Joseph Madaha. ILIKUWAJE KWANI?
Desemba 22, mwaka jana, mtu mmoja aliyedai ni sangoma...

 

11 years ago

GPL

BABY MADAHA: DIAMOND HANIWEZI, AWATISHIE WATOTO TANDALE

Baby Joseph Madaha akipozi na Nasibu Abdul ‘Diamond’. MWIGIZAJI na mwanamuziki Bongo, Baby Joseph Madaha amemchana Nasibu Abdul ‘Diamond’ kwa kumwambia awatishie watoto wa Tandale kwani hana ubavu wa kuchuana naye. Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz'. Akizungumza na paparazi wetu, Baby alifunguka kuwa anamshangaa Diamond kujibu kuhusu jinsi alivyomchana wiki kadhaa zilizopita gazetini na kusema...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Diamond atamani kuzaa na Wema

NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nassib Abdul ‘Diamond Platinum’,  amesema anatamani kuwa na mtoto ili aweze kwenda sawa na wasanii wengine na angependa mpenzi wake Wema Sepetu ndiye...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND ATESEKA NA PENZI LA WEMA!

Stori: Richard Bukos
Imebumburuka kwamba staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Juma ‘Diamond’ kumbe anateseka na penzi la mwandani wake, Beautiful Onyinye Wema Isaac Sepetu, Amani lina mkanda kamili. Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Juma ‘Diamond’ akwa ameshika gauni la mpenzi wake. YATOKANAYO
Kwa muda mrefu kumekuwa na madai kuwa, Diamond amekuwa akiumia na kuvumilia anapoitwa majina mabaya huku...

 

11 years ago

GPL

PENZI LA WEMA, DIAMOND...UCHAWI!

Na Imelda Mtema
SIJUI ni hasira au nini! Mama mzazi wa Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu, Mariam Sepetu ‘Mama Wema’ amemshika uchawi mpenzi wa bintiye, Nasibu Abdul ‘Diamond’ huku akilaani vikali kitendo cha kumrudia mwanaye akidai lengo lake ni kumharibia maisha, Ijumaa Wikienda lina mkasa kamili mkononi. Wema na Diamond. Mama Wema alitoa hisia zake hizo juzi jijini Dar es Salaam alipoongea kwa simu...

 

11 years ago

GPL

AUNT ALIANGUSHIA MAOMBI PENZI LA DIAMOND, WEMA

Stori: Mayasa Mariwata
KUTOKA moyoni? Staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel amefunguka kuwa siku zote amekuwa akimuombea dua shosti wake, Wema Sepetu ‘Madam’ na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond’ uhusiano wao udumu. Staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekie l(kulia) akiwa na shosti yake Wema sepetu.
Aunt alifunguka hayo mara baada ya kuulizwa na mwanahabari wetu juu ya mtazamo wake kuhusu mapenzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani