Diamond atamani kuzaa na Wema
NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nassib Abdul ‘Diamond Platinum’, amesema anatamani kuwa na mtoto ili aweze kwenda sawa na wasanii wengine na angependa mpenzi wake Wema Sepetu ndiye...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zLSzH-96bg-6YNueAsQHgfmhtBMV2lRadmvVc4wYETTY-IKwfFjhNUmZfcM74froyz9U-ZLLJJ-B0IG1H1qksXqpwcOYDp0u/baby.jpg)
BABY MADAHA ATAMANI PENZI LA WEMA, DIAMOND
10 years ago
Bongo Movies18 Dec
DIAMOND:Wema, Jokate, Penny Hawakutaka Kuzaa Na Mimi
Akizungumza kwenye kipindi cha Live Chumba cha Habari kinachorushwa na Global TV online, Msanii wa muziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alieleza jinsi wapenzi wake wazamani ambao ni Mwigizaji Wema Sepetu, Jokate Mwegelo na matangazaji Penniel Mungilwa ‘Penny’.
Diamond alifunguka baada ya kuulizwa kwamba amekuwa akitangaza kupenda watoto lakini kwa nini hana hata wa dawa licha ya kuwa na uhusiano na wanawake tofoutitofauti.
Diamond: “Ni kweli napenda watoto lakini siwezi kupata mtoto...
10 years ago
Bongo Movies14 Jan
Baada ya kushindwa kuzaa na Wema na Penny. Hatimaye Diamond 'ampa' ujauzito Zari
Baada ya sokosoko kuu la kwanini?? muda wote huu kijana Nassib Abdul – Diamond Platnumz pamoja na list yake ndeeeefu ya mabinti wa bongomovies aliowahi kutembea nao hajawahi kuwa hata na mtoto wa kusingiziwa, HATIMAYE jana kupitia kwenye nyezo za kiteknolojia tumeweza kudokezwa juu ya ujauzito alionao mwanadada ZARI ambao ni fika utakuwa wa kijana huyu anayetamba na wimbo wa “Nitampata wapi” ambao wachunguziwa mambo wanadai ETi ni dedication kwa mpenzi wake maarufu wa zamani.
USHAHIDI WA...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R*tm0ukPJZeJXxZIhiVyQb*grZjTC*jzu-VALw0e5-smbnNXBY3Ezl82Vyc70yk4K8PPFaIpFRdhuq-sjDb36-PL258hEynj/ANTI.jpg)
AUNTY ATAMANI KUZAA
10 years ago
Bongo Movies09 Apr
Kajala Atamani Kumlipa Wema Mil.13 Zake
Staa mrembo wa Bongo Movies, Kajala Masanja kwa mara ya kwanza ameibuka na kutoa ya moyoni kuwa anatamani kulipa shilingi milioni 13 alizolipiwa na staa mwenzake Wema Sepetu kama faini ili asiende jela miaka saba.
Akizungumza na gazeti la Amani, Kajala alisema kuwa huwa anaumia sana kila anapokumbuka kuwa alipewa kiasi hicho chapesa ingawa uwezo wa kulipa anao.
“Huwa nateseka sana kila ninapokumbuka kuwa nilitolewa 13 japokuwa naaamini alitoka kwa mmoja,kinachoniuma muhusika...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yl8XiM-qOZbU7afPnaG4t12G-qjcGayCeOBsixNEqQj1tOx6nStnvEFK9Lj-MIyOMCqEB-wGgxOik00Zwbmigvn1BARlFZ-z/diamond.jpg?width=650)
DIAMOND ATAMANI USHOGA!
9 years ago
Bongo Movies03 Jan
Wema Sepetu: Sina Mpango wa Kuzaa
Katika page yake ya instagram, staa mrembo Wema Sepetu aka Madame amewataka wote wanaompigia kelele kuhusu kuzaa mtoto wamkome, kwani hana mpango huo kwa sasa. Hiki ndicho alicho kiposti
![WEMA341](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2016/01/WEMA341.jpg)
“Okay… Lets get things straight here…. See dat doggie up there… Y’all see her….? Dat is my bebi…. since i dont have a bebi… Huyo ndo mtoto wng… Basi sasa nitapopost afu nisikie kuzaa nakublock fasta… Mshaniona sizai basi ndo mjue sizai… Akha…!! Zaa zaa… If u have a child im happy for u… Nd wish u da best… I...
10 years ago
Bongo504 Nov
Kauli kuhusu kuzaa zamtibua Wema, ‘it’s getting too personal’