Wema Sepetu: Sina Mpango wa Kuzaa
Katika page yake ya instagram, staa mrembo Wema Sepetu aka Madame amewataka wote wanaompigia kelele kuhusu kuzaa mtoto wamkome, kwani hana mpango huo kwa sasa. Hiki ndicho alicho kiposti

“Okay… Lets get things straight here…. See dat doggie up there… Y’all see her….? Dat is my bebi…. since i dont have a bebi… Huyo ndo mtoto wng… Basi sasa nitapopost afu nisikie kuzaa nakublock fasta… Mshaniona sizai basi ndo mjue sizai… Akha…!! Zaa zaa… If u have a child im happy for u… Nd wish u da best… I...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo509 Nov
Sina mpango wa kuzaa kwa sasa — Aika

Member wa kundi la Navy Kenzo, Aika amesema hana mpango wa kuwa mtoto kwa sasa.
Aika ambaye ni mpenzi wa producer Nahreel anayeunda naye kundi la Navy Kenzo, aliiambia Radio Five ya Arusha kuwa haitaji mtoto kwa sasa kwa kuwa bado anajipanga.
“Mtoto sasa hivi nitakuwa namtesa kumleta kwenye haya mazingira na mimi ndo nimeanza kutafuta, kujenga muziki wetu,” alisema.
“Ningependa nimlete wakati mambo yangu pia yametulia ili aingie kwenye maisha mazuri. Mtoto akikuta maisha mazuri na yeye...
10 years ago
Bongo512 Apr
Wema Sepetu adai hana uwezo wa kuzaa, post yake yawaliza wengi!
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Michuzi
10 years ago
GPL
PENNY: NATAMANI MTOTO, SINA WA KUZAA NAYE
10 years ago
Bongo Movies27 May
'Wema Sepetu Msamehe Kajala' Mashabiki Wamlilia Wema
Ikiwa ni masaa kadhaa yamepita toka msanii wa filamu nchini Kajala Masanja kufunguka ya moyoni juu ya Wema Sepetu na Petit Man na kueleza kuwa kamwe katika maisha yake ya hapa Duniani hawezi kusahau fadhila na moyo wa upendo ambao
ulioneshwa na watu wao kipindi ambacho alikuwa na matatizo na jinsi walivyoweza kujitolea mpaka kufikia hatua ya kuweza kumsaidia katika matatizo ambayo alikuwa anakabiliana nayo kwa kipindi kile.
Kajala alifunguka hayo kupitia ukurasa wake wa Instgram na...
10 years ago
Mwananchi14 Dec
Sina mpango wa kuigiza
10 years ago
Bongo Movies21 Jun
Mzee Majuto Amuunga Mkono Wema Sepetu, Diamond Amtaka Wema Abadilike Kama Kweli Anautaka Ubunge
Mzee Majuto kwa mara ya kwanza ameamua kufunguka kumuunga mkono Wema Sepetu kwa nia yake ya kutaka kuwa mbunge.Kupitia ukurasa wake mtandaoni, Mzee Majuto ameandika;
Nisingependa kuyaongea haya kwenye mfungu mtukufu ila kiundani ningependa kuonyesha umoja na kumuunga mkono wazo na lengo la Mwanangu kwa kuwa anaweza na amethubutu sasa isitokee wale wasiopenda maendeleo ya watu na taifa hili kuvuruga misingi na mipango madhubuti ya kuwapa nafasi vijana na hasa wanawake kushika hatamu na...