Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PENNY: NATAMANI MTOTO, SINA WA KUZAA NAYE

Stori: Imelda Mtema
Aliyekuwa mpenzi wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’ Penniel Mwingilwa amesema sasa anatamani kuzaa lakini tatizo lipo kwa mwanaume wa kuzaa naye. Penniel Mwingilwa.
Penny alitoa tamko hilo baada ya Diamond kunukuliwa jana (Alhamisi) na gazeti dada la hili, Amani kuwa, alimpa mimba mara mbili binti huyo lakini zikayeyuka katika mazingira ya kutatanisha. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Nisha: Natamani Kuzaa Tena Ila….

Staa wa Bongo Movies , Salma Jabu ‘Nisha’ ambaye ni mama wa mtoto mmoja kiutani utani  amefunguka kutamani kuzaa ila anahitaji ushauri azae na nani.

Nisha ambaye kwa sasa yupo nchini China, alitanhaza nia yake hiyo kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Instagram.

"Mwaka huu mastaa wengi wamezaa  na mimi nimetamani kuzaa tena dah.. lakini wakuzaa naye sasa nanii ...  sponsor ana mkewe
gandalandizi?? atanifilisi...

Pls nishaurini jamaniii nna hamu kweliii...Niolewe na kuzaa na sponsor...

 

10 years ago

Bongo Movies

DIAMOND:Wema, Jokate, Penny Hawakutaka Kuzaa Na Mimi

Akizungumza kwenye kipindi cha Live Chumba cha Habari kinachorushwa na Global TV online, Msanii wa muziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alieleza jinsi wapenzi wake wazamani ambao ni Mwigizaji Wema Sepetu, Jokate Mwegelo na matangazaji Penniel Mungilwa ‘Penny’.

Diamond alifunguka baada ya kuulizwa kwamba amekuwa akitangaza kupenda watoto lakini kwa nini hana hata wa dawa licha ya kuwa na uhusiano  na wanawake tofoutitofauti.

Diamond: “Ni kweli napenda watoto lakini siwezi kupata mtoto...

 

11 years ago

GPL

MAYA: SIJAONA WA KUZAA NAYE

Stori: imelda Mtema Msanii mahiri wa filamu za hapa Bongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amefunguka kuwa katika pitapita zake zote bado hajaona mwanaume ambaye anaweza kuwa naye na kumzalia mtoto kwani wote anawaona ni waluwalu. Staa wa Bongo Buvi Mayasa Mrisho, alimaarufu 'Maya'. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni Maya alisema kuwa hakuna kitu anachokitamani kama kupata mtoto lakini kila akifikiria mtu anayeweza kupata...

 

9 years ago

Bongo Movies

Wema Sepetu: Sina Mpango wa Kuzaa

WEMA732

Katika page yake ya instagram, staa mrembo Wema Sepetu aka Madame amewataka wote wanaompigia kelele kuhusu kuzaa mtoto wamkome, kwani hana mpango huo kwa sasa. Hiki ndicho alicho kiposti

WEMA341

“Okay… Lets get things straight here…. See dat doggie up there… Y’all see her….? Dat is my bebi…. since i dont have a bebi… Huyo ndo mtoto wng… Basi sasa nitapopost afu nisikie kuzaa nakublock fasta… Mshaniona sizai basi ndo mjue sizai… Akha…!! Zaa zaa… If u have a child im happy for u… Nd wish u da best… I...

 

9 years ago

Bongo5

Sina mpango wa kuzaa kwa sasa — Aika

12105167_1506010783031014_240686127_n

Member wa kundi la Navy Kenzo, Aika amesema hana mpango wa kuwa mtoto kwa sasa.

12105167_1506010783031014_240686127_n

Aika ambaye ni mpenzi wa producer Nahreel anayeunda naye kundi la Navy Kenzo, aliiambia Radio Five ya Arusha kuwa haitaji mtoto kwa sasa kwa kuwa bado anajipanga.

“Mtoto sasa hivi nitakuwa namtesa kumleta kwenye haya mazingira na mimi ndo nimeanza kutafuta, kujenga muziki wetu,” alisema.

“Ningependa nimlete wakati mambo yangu pia yametulia ili aingie kwenye maisha mazuri. Mtoto akikuta maisha mazuri na yeye...

 

10 years ago

Bongo Movies

Baada ya kushindwa kuzaa na Wema na Penny. Hatimaye Diamond 'ampa' ujauzito Zari

Baada ya sokosoko kuu la kwanini?? muda wote huu kijana Nassib Abdul – Diamond Platnumz pamoja na list yake ndeeeefu ya mabinti wa bongomovies aliowahi kutembea nao hajawahi kuwa hata na mtoto wa kusingiziwa, HATIMAYE jana kupitia kwenye nyezo za kiteknolojia tumeweza kudokezwa juu ya ujauzito alionao mwanadada ZARI ambao ni fika utakuwa wa kijana huyu anayetamba na wimbo wa “Nitampata wapi” ambao wachunguziwa mambo wanadai ETi ni dedication kwa mpenzi wake maarufu wa zamani.

 

USHAHIDI WA...

 

10 years ago

GPL

LUCY KOMBA AMPA MUMEWE SHARTI LA KUZAA NAYE

Stori: Imelda Mtema
SIKU chache baada ya kufunga ndoa, mwigizaji Lucy Komba amempa sharti mumewe ambaye ni raia wa Dernmark, Janus Stanley Landrock kwamba hatozaa naye hadi atakapokamilisha suala la uraia wake. Mwigizaji Lucy Komba akipozi. Akizungumza na paparazi wetu, Lucy alisema amemwambia mumewe akamilishe taratibu zote za nchini kwao ili yeye awe na uhalali wa kuishi nchini humo ndipo wazae watoto. “Unajua napenda...

 

9 years ago

GPL

ODAMA: NATAMANI MTOTO MWINGINE

Imelda Mtema Staa wa filamu za Kibongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amefunguka kuwa anatamani kuongeza mtoto mwingine wa pili kwa kuwa ametambua utamu wa kuitwa mama. Akizungumza na Ijumaa, Odama alisema kuwa mambo ya wasichana kupenda usichana zaidi na kutoa mimba kwa sasa yamepitwa na wakati na wanaofanya hivyo hawajui raha ya kuwa mama.  ....Saoma zaidi===>http://bit.ly/1KcDePs ...

 

10 years ago

GPL

BABY MADAHA: NATAMANI KUWA NA MTOTO

Mkali wa sinema na muziki wa Bongo Fleva, Baby Joseph Madaha. Stori: MAYASA MARIWATA
MAHABAT! MKALI wa sinema na muziki wa Bongo Fleva, Baby Joseph Madaha amesema anatamani kuwa na mtoto lakini bado hajamuona mwanaume wa kuzaa naye na kuanika vigezo vya mwanaume anayestahili kuwa baba bora kwake. Akibonga mawili matatu na paparazi wetu, Baby alisema suala hilo linahitaji umakini mkubwa katika uchaguzi na sifa anazozihitaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani