PENNY: NATAMANI MTOTO, SINA WA KUZAA NAYE
![](http://api.ning.com:80/files/iJVROLF4NIsDzJvBWoJjN0g-EFgP6kEbEInfunvvLhjzzAJ1e*BR20tSjWZciB3kuqV49t*hHE1XjUmFCYq07ZcUeECWqKrO/Penny.jpg)
Stori: Imelda Mtema Aliyekuwa mpenzi wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’ Penniel Mwingilwa amesema sasa anatamani kuzaa lakini tatizo lipo kwa mwanaume wa kuzaa naye. Penniel Mwingilwa. Penny alitoa tamko hilo baada ya Diamond kunukuliwa jana (Alhamisi) na gazeti dada la hili, Amani kuwa, alimpa mimba mara mbili binti huyo lakini zikayeyuka katika mazingira ya kutatanisha. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies07 Aug
Nisha: Natamani Kuzaa Tena Ila….
Staa wa Bongo Movies , Salma Jabu ‘Nisha’ ambaye ni mama wa mtoto mmoja kiutani utani amefunguka kutamani kuzaa ila anahitaji ushauri azae na nani.
Nisha ambaye kwa sasa yupo nchini China, alitanhaza nia yake hiyo kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Instagram.
"Mwaka huu mastaa wengi wamezaa na mimi nimetamani kuzaa tena dah.. lakini wakuzaa naye sasa nanii ... sponsor ana mkewe
gandalandizi?? atanifilisi...
Pls nishaurini jamaniii nna hamu kweliii...Niolewe na kuzaa na sponsor...
10 years ago
Bongo Movies18 Dec
DIAMOND:Wema, Jokate, Penny Hawakutaka Kuzaa Na Mimi
Akizungumza kwenye kipindi cha Live Chumba cha Habari kinachorushwa na Global TV online, Msanii wa muziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alieleza jinsi wapenzi wake wazamani ambao ni Mwigizaji Wema Sepetu, Jokate Mwegelo na matangazaji Penniel Mungilwa ‘Penny’.
Diamond alifunguka baada ya kuulizwa kwamba amekuwa akitangaza kupenda watoto lakini kwa nini hana hata wa dawa licha ya kuwa na uhusiano na wanawake tofoutitofauti.
Diamond: “Ni kweli napenda watoto lakini siwezi kupata mtoto...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WA*Dv5OWc2hB1zMx2keekWhZv*9QqvXMcr9ZywEB-czLVXfJB-eIph7ixlWGGK*CYIpD1szo2jFHoWgzugJu4IByf-5YamnZ/maya.jpg?width=650)
MAYA: SIJAONA WA KUZAA NAYE
9 years ago
Bongo Movies03 Jan
Wema Sepetu: Sina Mpango wa Kuzaa
Katika page yake ya instagram, staa mrembo Wema Sepetu aka Madame amewataka wote wanaompigia kelele kuhusu kuzaa mtoto wamkome, kwani hana mpango huo kwa sasa. Hiki ndicho alicho kiposti
![WEMA341](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2016/01/WEMA341.jpg)
“Okay… Lets get things straight here…. See dat doggie up there… Y’all see her….? Dat is my bebi…. since i dont have a bebi… Huyo ndo mtoto wng… Basi sasa nitapopost afu nisikie kuzaa nakublock fasta… Mshaniona sizai basi ndo mjue sizai… Akha…!! Zaa zaa… If u have a child im happy for u… Nd wish u da best… I...
9 years ago
Bongo509 Nov
Sina mpango wa kuzaa kwa sasa — Aika
![12105167_1506010783031014_240686127_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12105167_1506010783031014_240686127_n-300x194.jpg)
Member wa kundi la Navy Kenzo, Aika amesema hana mpango wa kuwa mtoto kwa sasa.
Aika ambaye ni mpenzi wa producer Nahreel anayeunda naye kundi la Navy Kenzo, aliiambia Radio Five ya Arusha kuwa haitaji mtoto kwa sasa kwa kuwa bado anajipanga.
“Mtoto sasa hivi nitakuwa namtesa kumleta kwenye haya mazingira na mimi ndo nimeanza kutafuta, kujenga muziki wetu,” alisema.
“Ningependa nimlete wakati mambo yangu pia yametulia ili aingie kwenye maisha mazuri. Mtoto akikuta maisha mazuri na yeye...
10 years ago
Bongo Movies14 Jan
Baada ya kushindwa kuzaa na Wema na Penny. Hatimaye Diamond 'ampa' ujauzito Zari
Baada ya sokosoko kuu la kwanini?? muda wote huu kijana Nassib Abdul – Diamond Platnumz pamoja na list yake ndeeeefu ya mabinti wa bongomovies aliowahi kutembea nao hajawahi kuwa hata na mtoto wa kusingiziwa, HATIMAYE jana kupitia kwenye nyezo za kiteknolojia tumeweza kudokezwa juu ya ujauzito alionao mwanadada ZARI ambao ni fika utakuwa wa kijana huyu anayetamba na wimbo wa “Nitampata wapi” ambao wachunguziwa mambo wanadai ETi ni dedication kwa mpenzi wake maarufu wa zamani.
USHAHIDI WA...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1VJR9F-zilrobrYaHBhGKGnhM1V5ggIv6Vi9i2OGMsN5a3dscgFyRz6Dage24bGOkyDKARG0XnmM6Cz2O6jpBVxyf4REwehY/MZUNGU.jpg)
LUCY KOMBA AMPA MUMEWE SHARTI LA KUZAA NAYE
9 years ago
GPLODAMA: NATAMANI MTOTO MWINGINE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bco3t9J7*tQd8swFCh6yyL3CgE8-P3MstGZcu*JfrG*CBsKiltxxR1-F5KzFu5uAk6OEiKB0E72zQ8r0xOljOkIm63ct4q3I/BabyMadahaNewVideo.jpg?width=650)
BABY MADAHA: NATAMANI KUWA NA MTOTO