ODAMA: NATAMANI MTOTO MWINGINE
Imelda Mtema Staa wa filamu za Kibongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amefunguka kuwa anatamani kuongeza mtoto mwingine wa pili kwa kuwa ametambua utamu wa kuitwa mama. Akizungumza na Ijumaa, Odama alisema kuwa mambo ya wasichana kupenda usichana zaidi na kutoa mimba kwa sasa yamepitwa na wakati na wanaofanya hivyo hawajui raha ya kuwa mama.  ....Saoma zaidi===>http://bit.ly/1KcDePs ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hnZ2zBlGGNX9fvBGfH8IhHcRvKHiUayuHQeMZVXpp3g74FYuI8gMoLu*cgQgM3BfJD4mLg6ZBQfTf7qN2vP3VAaqJwyB20OS/p.txt.jpg)
MTOTO AMTESA ODAMA
9 years ago
Global Publishers07 Jan
Odama kumuanika baba wa mtoto soon!
Staa wa filamu Bongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’ Na Suzan Kayogela.
BAADA ya kukataa katukatu kumuanika baba wa mtoto, staa wa filamu Bongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’ kwa mara ya kwanza amesema mwaka mpya na mambo mpya na kuwa sasa yupo tayari kumuanika na soon atajulikana.
Tangu ajifungue mtoto wa kiume, Jason miaka takriban miwili iliyopita, Odama alikuwa akikataa kumuweka wazi baba wa mtoto huyo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bAnmdOW7NainuVeiDCBH8jrVA64EyQ-Nf70ZIhavKYg6nUvik6fzjCUcqKB1CYf-egmIKCxOzxOOzHpCzcbf*ftKpu7iUmpy/p.txt.jpg?width=650)
ODAMA AZIDI KUMFICHA BABA WA MTOTO!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bco3t9J7*tQd8swFCh6yyL3CgE8-P3MstGZcu*JfrG*CBsKiltxxR1-F5KzFu5uAk6OEiKB0E72zQ8r0xOljOkIm63ct4q3I/BabyMadahaNewVideo.jpg?width=650)
BABY MADAHA: NATAMANI KUWA NA MTOTO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iJVROLF4NIsDzJvBWoJjN0g-EFgP6kEbEInfunvvLhjzzAJ1e*BR20tSjWZciB3kuqV49t*hHE1XjUmFCYq07ZcUeECWqKrO/Penny.jpg)
PENNY: NATAMANI MTOTO, SINA WA KUZAA NAYE
10 years ago
Bongo Movies14 Apr
Picha: ‘Bethidei Pati’ ya Mtoto wa Odama Kama Harusi!
Staa mrembo wa Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amefanya kufuru ya aina yake baada ya kumwandalia mwanaye, Janson bonge la sherehe ya kuzaliwa (bethidei), aliyekuwa akitimiza mwaka mmoja iliyokuwa kama harusi.
Pati hiyo iliyohudhuriwa na mastaa kibwena Bongo ilichukua nafasi kwenye Ukumbi wa Msasani Beach, Kinondoni jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo shughuli nzima ilikuwa imeandaliwa kama harusi ambapo kwa mujibu wa waandaaji iliteketeza mamilioni ya shilingi yanayodaiwa kumwagwa na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UJ8aoEZo49YnTmAZQdBJzaNXzLDH9w4eQQzYJQoQ0ybr8crXUr44WC2FI2zf*roOcX*6p8bE-xh9m94-YwEbkLqW6QUjcSwH/Shamsa.jpg)
SHAMSA: NATAMANI KUONGEZA MTOTO, LAKINI NITAZAA NA NANI?
10 years ago
BBCSwahili09 Mar
Mtoto mwingine Albino akatwa mkono
10 years ago
Mwananchi09 Mar
Mtoto mwingine akatwa kiganja Sumbawanga