Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: ‘Bethidei Pati’ ya Mtoto wa Odama Kama Harusi!

Staa mrembo wa Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amefanya kufuru ya aina yake baada ya kumwandalia mwanaye, Janson bonge la sherehe ya kuzaliwa (bethidei), aliyekuwa akitimiza mwaka mmoja iliyokuwa kama harusi.

Pati hiyo iliyohudhuriwa na mastaa kibwena Bongo ilichukua nafasi kwenye Ukumbi wa Msasani Beach, Kinondoni jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo shughuli nzima ilikuwa imeandaliwa kama harusi ambapo kwa mujibu wa waandaaji iliteketeza mamilioni ya shilingi yanayodaiwa kumwagwa na...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Picha:Safisha Macho na Hizi za ‘Bethidei’ Pati ya Meneja wa Wema, Martin Kadinda Hapo Jana

Siku ya jana ilifanyika bonge la sherehe ndani ya MOG bar &restaurants zamani nyumbani lounge, ilikuwa ni meneja wa staa Wema Sepetu, Martin  Kadinda alikuwa akisherekea siku yake ya kuzaliwa, Mastaa na watu wake  wakaribu walikuwepo ndani ya nyumba.

Jionee baadhi ya picha za tukio zima hapo juu.

 

10 years ago

GPL

PATI YA BETHIDEI YA BABY MADAHA UCHAFU 85%

Stori: Issa Mnally
SHEREHE ya siku ya kuzaliwa ya msanii wa muziki na filamu, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Kijitonyama jijini Dar es Salaam, ilitawaliwa na vitendo vichafu mwanzo mwisho. Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’akiogeshwa pombe na mashosti zake. Hafla hiyo iliyohudhuriwa na watu wachache wakiwemo baadhi ya wasanii, ilifanyika katika Grosari moja...

 

10 years ago

GPL

ODAMA ASHEREHEKEA BETHIDEI YAKE NA WATOTO YATIMA MAUNGA, DAR

Odama akimlisha keki mmoja wa watoto yatima.…

 

10 years ago

Vijimambo

BWANA HARUSI AANGUKA KIFAFA KABLA YA HARUSI, ALIMFICHA MKEWE MTARAJIWA KAMA ANAANGUKA, MKE AAMUA KUOLEWA NA MWINGINE PAPO KWA PAPO

Bi harusi mmoja kaskazini mwa nchi ya India alifanya maamuzi ya papo kwa hapo kuolewa na mmoja wa wageni waliofika kushereheka naye katika harusi yake baada ya mumewe kuugua ghafla.Mwanamke huyo ajulikanaye kama Indra anayetokea Rampur jimbo la Uttar Pradesh, inaelezwa kuwa sekunde chache kabla ya ndoa ya wawili hao mume akaanguka kifafa, na hivyo kumlazimu kuondoka harusini na kwenda kumwona daktari.Bi harusi Indra, alishikwa na hasira ya hali ya juu, kwakuwa mume alimficha juu ya hali...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Flaviana Matata sasa ni Mrs Massawe, jionee picha za harusi yake

Hatimaye mwanamitindo wa kimataifa, Flaviana Matata amekuwa Mrs Massawe. Flavy na mpenzi wake wa siku nyingi Deogratius Massawe wamefunga pingu za maisha Jumamosi ya August 15, 2015 katika kanisa la St.Joseph ikafuatiwa na sherehe iliyofanyika Serena Hotel jijini Dar es salaam. Photo Credit: Various Instagram Pages Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, […]

 

9 years ago

GPL

MTOTO AMTESA ODAMA

Imelda Mtema Mateso! Sexy lady wa sinema za Kibongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’ ametiririka kwamba katika kipindi chote alichokuwa mikoani kwa ajili ya Kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) alikuwa akiteseka kila alipopiga simu kujua hali ya mtoto wake ambapo ilikuwa siyo chini ya mara saba kwa siku. Sexy lady wa sinema za Kibongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’ Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Odama alifunguka kuwa alikuwa akipitia...

 

11 years ago

GPL

PICHA ZA RECHO ZAMTESA ODAMA

Stori: Mwandishi wetu
STAA wa sinema za Kibongo, Jenifer Kyaka ‘Odama’ anateswa na picha alizopiga na rafiki yake kipenzi, marehemu Sheila Haule ‘Recho’. Staa wa sinema za Kibongo, Jenifer Kyaka ‘Odama’ akiwa kwenye picha ya pamoja na marehemu Recho Haule. Picha hizo zinamuonesha Odama akiwa katika pozi tofauti ndani ya viwanja mbalimbali vya starehe kitu kinachomfanya kutamani kuzifuta...

 

9 years ago

Global Publishers

Odama kumuanika baba wa mtoto soon!

bb56d63a31a7af57Staa wa filamu Bongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’ Na Suzan Kayogela.

BAADA ya kukataa katukatu kumuanika baba wa mtoto, staa wa filamu Bongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’ kwa mara ya kwanza amesema mwaka mpya na mambo mpya na kuwa sasa yupo tayari kumuanika na soon atajulikana.

Tangu ajifungue mtoto wa kiume, Jason miaka takriban miwili iliyopita, Odama alikuwa akikataa kumuweka wazi baba wa mtoto huyo.

 

9 years ago

GPL

ODAMA: NATAMANI MTOTO MWINGINE

Imelda Mtema Staa wa filamu za Kibongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amefunguka kuwa anatamani kuongeza mtoto mwingine wa pili kwa kuwa ametambua utamu wa kuitwa mama. Akizungumza na Ijumaa, Odama alisema kuwa mambo ya wasichana kupenda usichana zaidi na kutoa mimba kwa sasa yamepitwa na wakati na wanaofanya hivyo hawajui raha ya kuwa mama.  ....Saoma zaidi===>http://bit.ly/1KcDePs ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani