ODAMA AZIDI KUMFICHA BABA WA MTOTO!
![](http://api.ning.com:80/files/bAnmdOW7NainuVeiDCBH8jrVA64EyQ-Nf70ZIhavKYg6nUvik6fzjCUcqKB1CYf-egmIKCxOzxOOzHpCzcbf*ftKpu7iUmpy/p.txt.jpg?width=650)
Imelda Mtema STAA anayejitambua ndani ya gemu la filamu Bongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amefungua kinywa chake kuwa watu wanaosubiri amnadi baba watoto wake watakuwa wamechelewa sana kwani hana mpango huo kwa sasa. Staa anayejitambua ndani ya gemu la filamu Bongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’. Akichonga na Amani Odama alisema, kila kitu katika maisha kina mpangilio wake hivyo wakati utakapofika atamtambulisha...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers07 Jan
Odama kumuanika baba wa mtoto soon!
Staa wa filamu Bongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’ Na Suzan Kayogela.
BAADA ya kukataa katukatu kumuanika baba wa mtoto, staa wa filamu Bongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’ kwa mara ya kwanza amesema mwaka mpya na mambo mpya na kuwa sasa yupo tayari kumuanika na soon atajulikana.
Tangu ajifungue mtoto wa kiume, Jason miaka takriban miwili iliyopita, Odama alikuwa akikataa kumuweka wazi baba wa mtoto huyo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1VJR9F-zilpv6*bhiNi3meEUZnrI7YlhgkLj7nSiZaH9iBTEAbysA-luYcRgfxu0nLt9i6ToUMOVQQKu**zmwBrJSHl6hh2g/odama.jpg)
ODAMA: NAANZAANZAJE KUMFICHA BWANA’NGU?
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hnZ2zBlGGNX9fvBGfH8IhHcRvKHiUayuHQeMZVXpp3g74FYuI8gMoLu*cgQgM3BfJD4mLg6ZBQfTf7qN2vP3VAaqJwyB20OS/p.txt.jpg)
MTOTO AMTESA ODAMA
9 years ago
GPLODAMA: NATAMANI MTOTO MWINGINE
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Mchungaji wa kanisa akamatwa kwa tuhuma ya kumficha ndani mtoto wake kwa miaka 12
Kijana mkazi wa kijiji cha Itaja tarafa ya Mgori wilayani Singida, Timotheo David (30), akiwa amelazwa wodi namba nne hospitali ya mkoa wa Singida baada ya kuletwa na jeshi la polisi siku mbili zilizopita. Inadaiwa kuwa Timotheo baada ya kuugua Malaria kali mwaka 2003 na kuchanganyikiwa akili, alifungiwa ndani chumbani toka wakati huo hadi juzi alipotolewa na polisi na kuletwa hospitalini. Kwa mujibu wa Kaimu Mganga mfawidhi hospitali ya mkoa, Dk.Napaiya Petro, Timotheo hana ugonjwa wo wote...
10 years ago
Bongo Movies14 Apr
Picha: ‘Bethidei Pati’ ya Mtoto wa Odama Kama Harusi!
Staa mrembo wa Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amefanya kufuru ya aina yake baada ya kumwandalia mwanaye, Janson bonge la sherehe ya kuzaliwa (bethidei), aliyekuwa akitimiza mwaka mmoja iliyokuwa kama harusi.
Pati hiyo iliyohudhuriwa na mastaa kibwena Bongo ilichukua nafasi kwenye Ukumbi wa Msasani Beach, Kinondoni jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo shughuli nzima ilikuwa imeandaliwa kama harusi ambapo kwa mujibu wa waandaaji iliteketeza mamilioni ya shilingi yanayodaiwa kumwagwa na...
9 years ago
Bongo517 Aug
Utani Huu: Mpambe wa Ex wa Zari anataka DNA ya mtoto wa Diamond, anadai yeye ni baba, juzi alidai Ivan ndio baba!
10 years ago
Mwananchi14 Sep
Mtoto aliyezamia katika ndege azidi kuzua utata
10 years ago
VijimamboGRACE MAGORI MTOTO WA KITANZANIA MWENYE KIPAJI CHA KUIMBA AZIDI KUPAA DMV