Mtoto aliyezamia katika ndege azidi kuzua utata
Sakata la mtoto aliyezamia ndege kutoka Dar es Salaam kwenda Zanzibar, Karine Godfrey (ambaye sasa imefahamika kwa jina la Happiness Rioba )limechukua sura mpya baada ya mama yake mzazi, Sara Zefhania kujitokeza na kusema kuwa mwanaye hakupanda ndege.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Sep
Mtoto aliyezamia ndege Zanzibar utata mtupu
>Polisi Zanzibar wameanza uchunguzi kubaini mazingira ya safari tata ya mtoto Karine Godfrey aliyesafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Zanzibar kwa ndege bila tiketi wala kugundulika.
10 years ago
Mwananchi17 Sep
Mtoto aliyezamia ndege atoweka tena
Mtoto Happiness Rioba(10) aliyedaiwa kuzamia kwenye ndege kutoka Dar es Salaam kwenda Zanzibar bila kugundulika, ametoweka tena nyumbani kwao baada ya kukutanishwa na mama yake mzazi Sara Zefhania.
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Mtoto aliyezamia ndege apatikana bandarini
Sakata la mtoto Happy Rioba, limezidi kuchukua sura mpya baada ya mtoto huyo kukamatwa na polisi juzi bandarini jijini Dar es Salaam akiwa katika harakati za kupanda boti kuelekea Zanzibar.
9 years ago
Mwananchi05 Jan
Mauaji ya ‘Tajiri Mtoto’ yaendelea kuzua utata
Mtandao wa kikundi kinachozalisha pombe kali bandia kinachodaiwa kuwa na uhusiano na baadhi ya watumishi wasiowaaminifu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), unahusishwa na mipango ya kumuua mfanyabiashara Joseph Mahole maarufu ‘Tajiri Mtoto’.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-bfbyBD4ZeNQ/VYuukDMJTCI/AAAAAAABBNo/XRO-bQYO0Gw/s72-c/Nd.jpg)
MWANAMKE NA MTOTO WAKE WANUSURIKA KIFO KATIKA AJALI YA NDEGE
![](http://2.bp.blogspot.com/-bfbyBD4ZeNQ/VYuukDMJTCI/AAAAAAABBNo/XRO-bQYO0Gw/s640/Nd.jpg)
Mwanamke huyo Maria Nelly Murillo, 18, na mtoto wake wa mwaka mmoja wamekutwa na waokoaji karibu na ndege hiyo yao ndogo aina ya Cessna iliyoanguka kwenye Mkoa wa Choco.
Mkuu wa Kikosi cha Anga cha Kolombia ameelezea kuwa kunusurika kwa mama huyo na mtoto wake ni muujiza. Murillo alikuwa na majeruhi na kuungua lakini mtoto wake alikuwa mzima...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nGTcCv7erQJztPvYEO8BtIHnOD347wEbr7SSq1*mkURHWebGooYSR2Wlx-MBqGDBqs6TxvgbuyVoQQ3ADdpTN6BAn6kQgAHj/malaysiaairlinesmh370.jpg?width=650)
UTATA WAZIDI KUPOTEA KWA NDEGE YA MALAYSIA
Ndege ya Malaysia iliyopotea MH370.
Machi 8, mwaka huu dunia ilisikia vilio vingi kutoka Beijing, China na Kuala Lumpur, Malaysia. Ndugu, jamaa na marafiki walikusanyika viwanja vya ndege wakiwalilia ndugu zao waliopotea kwenye ndege ya Shirika la Ndege la Malaysia, Malaysia Airlines. Baadhi ya ndugu wa abiria waliopotea na ndege MH370. Ilikuwa hivi; ndege hiyo iliyokuwa ikifanya safari namba Flight… ...
9 years ago
BBCSwahili03 Nov
Utata chanzo cha ajali ya ndege Misri
Utata umeendelea kugubika ajali ya ndege iiyodondoka katika katika rasi ya Sinai huko nchini Misri na kuua abiria wote mia mbili na ishirini na nne walikufa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bAnmdOW7NainuVeiDCBH8jrVA64EyQ-Nf70ZIhavKYg6nUvik6fzjCUcqKB1CYf-egmIKCxOzxOOzHpCzcbf*ftKpu7iUmpy/p.txt.jpg?width=650)
ODAMA AZIDI KUMFICHA BABA WA MTOTO!
Imelda Mtema STAA anayejitambua ndani ya gemu la filamu Bongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amefungua kinywa chake kuwa watu wanaosubiri amnadi baba watoto wake watakuwa wamechelewa sana kwani hana mpango huo kwa sasa. Staa anayejitambua ndani ya gemu la filamu Bongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’. Akichonga na Amani Odama alisema, kila kitu katika maisha kina mpangilio wake hivyo wakati utakapofika atamtambulisha...
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI AZINDUA SAFARI ZA NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LA NCHINI ABU DHABI LEO MCHANA KATIKA KIWANJA CHA NDEGE CHA KIMATAIFA CHA MWL. JULIUS NYERERE (JNIA)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania