Mtoto aliyezamia ndege apatikana bandarini
Sakata la mtoto Happy Rioba, limezidi kuchukua sura mpya baada ya mtoto huyo kukamatwa na polisi juzi bandarini jijini Dar es Salaam akiwa katika harakati za kupanda boti kuelekea Zanzibar.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Sep
Mtoto aliyezamia ndege atoweka tena
Mtoto Happiness Rioba(10) aliyedaiwa kuzamia kwenye ndege kutoka Dar es Salaam kwenda Zanzibar bila kugundulika, ametoweka tena nyumbani kwao baada ya kukutanishwa na mama yake mzazi Sara Zefhania.
10 years ago
Mwananchi12 Sep
Mtoto aliyezamia ndege Zanzibar utata mtupu
>Polisi Zanzibar wameanza uchunguzi kubaini mazingira ya safari tata ya mtoto Karine Godfrey aliyesafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Zanzibar kwa ndege bila tiketi wala kugundulika.
10 years ago
Mwananchi14 Sep
Mtoto aliyezamia katika ndege azidi kuzua utata
Sakata la mtoto aliyezamia ndege kutoka Dar es Salaam kwenda Zanzibar, Karine Godfrey (ambaye sasa imefahamika kwa jina la Happiness Rioba )limechukua sura mpya baada ya mama yake mzazi, Sara Zefhania kujitokeza na kusema kuwa mwanaye hakupanda ndege.
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Mtoto aliyeibwa apatikana
Mtoto Merryn Reppyson (4) aliyekuwa ameibwa nyumbani kwao Changanyikeni, Dar es Salaam na mtu aliyekuwa anataka alipwe Sh3 milioni ili amwachie, amepatikana juzi jioni.
9 years ago
BBCSwahili08 Sep
Mtoto aliyeibiwa apatikana baada ya miezi 4
Mahakama nchini El Salvador imeamuru mtoto aliyebadilishwa punde baada ya kuzaliwa kukutanishwa na wazazi wake halisi miezi minne baadaye
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-5mPG52N-zm0/VgVReaOVvjI/AAAAAAAAt8w/RwIS4olLH5E/s72-c/20150925063642.jpg)
MTOTO ALIYEPOTEA NA HOUSE-GIRL APATIKANA
![](http://4.bp.blogspot.com/-5mPG52N-zm0/VgVReaOVvjI/AAAAAAAAt8w/RwIS4olLH5E/s640/20150925063642.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-epMam56GaSk/VgVReKNI8OI/AAAAAAAAt80/jTpBCrZvPHk/s640/20150925063641.jpg)
10 years ago
Vijimambo20 Oct
Mtoto aliyeibwa apatikana chini ya mti
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Kisime--October20-2014.jpg)
Mtoto huyo aliibwa usiku wa kuamkia Alhamisi iliyopita na kupatikana Ijumaa ambayo gazeti hili liliandika habari za kuibwa kwake.
Baada ya taarifa za kupotea mtoto huyo wa kike ambaye hadi...
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Mtoto mchanga apatikana katika hori la kanisa
Mtoto mchanga amepatikana ametelekezwa katika hori ndani ya kanisa moja mjini New York Marekani
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OLcYtxKzOUA/U-DnhIh93jI/AAAAAAAF9V8/eJuoGp8mBSs/s72-c/unnamed+(47).jpg)
UP DATES: Mtoto aliepotea,apatikana maeneo ya Msasani jijini dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-OLcYtxKzOUA/U-DnhIh93jI/AAAAAAAF9V8/eJuoGp8mBSs/s1600/unnamed+(47).jpg)
Napenda kuchukua fursa hii kuwashukuru sana sana kwa msaada wenu wa kurusha habari ile ya kupotea kwake. Lakini zaidi sana nawashukuru jinsi mlivyotenda kwa haraka (act promptly) nilipotuma tu ujumbe.
Hii imeonyesha umuhimu wa mitandao hii na ni kweli ya wananchi na jamii.
Asanteni sana na kila la heri.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania