Mtoto aliyeibwa apatikana
Mtoto Merryn Reppyson (4) aliyekuwa ameibwa nyumbani kwao Changanyikeni, Dar es Salaam na mtu aliyekuwa anataka alipwe Sh3 milioni ili amwachie, amepatikana juzi jioni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo20 Oct
Mtoto aliyeibwa apatikana chini ya mti
Mtoto huyo aliibwa usiku wa kuamkia Alhamisi iliyopita na kupatikana Ijumaa ambayo gazeti hili liliandika habari za kuibwa kwake.
Baada ya taarifa za kupotea mtoto huyo wa kike ambaye hadi...
9 years ago
BBCSwahili08 Sep
Mtoto aliyeibiwa apatikana baada ya miezi 4
9 years ago
VijimamboMTOTO ALIYEPOTEA NA HOUSE-GIRL APATIKANA
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Mtoto aliyezamia ndege apatikana bandarini
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Mtoto mchanga apatikana katika hori la kanisa
11 years ago
MichuziUP DATES: Mtoto aliepotea,apatikana maeneo ya Msasani jijini dar
Napenda kuchukua fursa hii kuwashukuru sana sana kwa msaada wenu wa kurusha habari ile ya kupotea kwake. Lakini zaidi sana nawashukuru jinsi mlivyotenda kwa haraka (act promptly) nilipotuma tu ujumbe.
Hii imeonyesha umuhimu wa mitandao hii na ni kweli ya wananchi na jamii.
Asanteni sana na kila la heri.
5 years ago
BBCSwahili06 May
Mtoto wa miaka mitano apatikana akiendesha gari la mzazi wake Utah
11 years ago
Mtanzania27 Jul
Siri ya motto aliyeibwa Dar yafichuka
Mama mzazi wa Marylin Repyson (kulia), Elida Fundi, akiwa amembeba mwanawe huku akiomba jana baada ya kuwasili nyumbani kwake Changanyikeni jijini Dar es Salaam. Picha na Fidelis Felix.
Aziza Masoud na Maneno Selanyika, Dar es Salaam
HATIMAYE kinara wa wizi wa watoto jijini Dar es Salaam, Amir Juma, amekamatwa na Jeshi la Polisi akiwa mkoani Tanga.
Juma anadaiwa kumuiba mtoto, Merlin Repyson (4) katika eneo la Changanyikeni siku nane zilizopita.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Kamanda wa...