UP DATES: Mtoto aliepotea,apatikana maeneo ya Msasani jijini dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-OLcYtxKzOUA/U-DnhIh93jI/AAAAAAAF9V8/eJuoGp8mBSs/s72-c/unnamed+(47).jpg)
Napenda kuwajulisha kwamba mtoto Faith amepatikana maeneo ya Msasani na ameshaungana na familia. Aliokotwa na Msamaria mwema ambaye nae alikuwa anafanya juhudi za kuitafuta familia yetu.
Napenda kuchukua fursa hii kuwashukuru sana sana kwa msaada wenu wa kurusha habari ile ya kupotea kwake. Lakini zaidi sana nawashukuru jinsi mlivyotenda kwa haraka (act promptly) nilipotuma tu ujumbe.
Hii imeonyesha umuhimu wa mitandao hii na ni kweli ya wananchi na jamii.
Asanteni sana na kila la heri.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XGPUELD8rRc/Vaj7E4R03hI/AAAAAAAHqPg/9bHTVbqnxJ8/s72-c/20150717055204.jpg)
UP DATES: MSIBA WA BANZA STONE NYUMBANI KWAO SINZA JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-XGPUELD8rRc/Vaj7E4R03hI/AAAAAAAHqPg/9bHTVbqnxJ8/s640/20150717055204.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1alDyW0Btnw/Vaj7E4R0cSI/AAAAAAAHqPk/BEaGxxny6ww/s640/20150717055203.jpg)
Mawasiliano yakiendelea kupeana taarifa na ndugu wengine.
![](http://3.bp.blogspot.com/-AN2gae_650o/Vaj7FAxpV1I/AAAAAAAHqPs/Dc0ubGe0hq0/s640/20150717055205.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jK0rdfkL-7E/U_fmkIuhq1I/AAAAAAAGBfg/OndY4gUkHIM/s72-c/MMGM3002.jpg)
Miss Temeke 2014 apatikana usiku huu,TCC Club Chang'ombe jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-jK0rdfkL-7E/U_fmkIuhq1I/AAAAAAAGBfg/OndY4gUkHIM/s1600/MMGM3002.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VvRpsM7jSYs/U_fm8wKDiAI/AAAAAAAGBgA/P1lgmQnt2mA/s1600/MMGM3020.jpg)
Miss Temeke 2014,Sitti Mtemvu akiwa ni mwenye tabasamu zito mara baada ya kutwaa taji hilo usiku huu.
![](http://4.bp.blogspot.com/-WcZp3e7zJ4g/U_fm9aYJcDI/AAAAAAAGBgE/-5ac9OFfJn4/s1600/MMGM2844.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-yj6Qxguti4g/VbJt5wOuV4I/AAAAAAAAfhg/ka-no6cbekQ/s72-c/Dance.jpg)
KIOTA KIPYA CHA MARAHA CHA JOZI LOUNGE CHAZINDULIWA MSASANI VILLAGE JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-yj6Qxguti4g/VbJt5wOuV4I/AAAAAAAAfhg/ka-no6cbekQ/s640/Dance.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-29LSQmTCdDI/VbJp8Ex5wfI/AAAAAAAAfg8/IlmJES_BX0A/s640/Shampaign.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TtTtS5aum5M/VbJp_B5hi7I/AAAAAAAAfhU/YcJyRMVgnh4/s640/Mmiliki%2Bna%2BMeneja%2Bwake.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SU11xMyg3Lw/VXHqgznO-iI/AAAAAAAHcZY/HuG4rqvn9jY/s72-c/unnamedss1.jpg)
wafanyakazi wa Hoteli ya Dar es Salaam Serena waadhimisha siku ya mazingira kwa kufanya usafi maeneo ya barabara jijini dar
Akiongea mara baada ya zoezi hilo la usafi mkurugenzi mkuu wa masoko wa hoteli hiyo ndugu Seraphin Lusala aliwashukuru wafanyakazi wa hoteli hiyo kwa kushiriki katika zoezi hilo la kufanya usafi wa mazingira ili kuonyesha mfano kwa jamii kwamba uchafuzi wa mazingira haukubaliki na...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ZLr_I6-oMwk/U14i8tMME0I/AAAAAAAFdrQ/O6QxMylr0WA/s72-c/MMG21734.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/SAB5jQvPgtE/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Mtoto aliyeibwa apatikana
9 years ago
GPLDALADALA LAACHA NJIA NA KUPARAMIA GENGE NA BAJAJ MAENEO YA KITUNDA JIJINI DAR
11 years ago
Michuzikongamano la kimataifa la wanasayansi kujadili maeneo ya ardhioevu na yale lafunguliwa jijini Dar