Mtoto aliyeibiwa apatikana baada ya miezi 4
Mahakama nchini El Salvador imeamuru mtoto aliyebadilishwa punde baada ya kuzaliwa kukutanishwa na wazazi wake halisi miezi minne baadaye
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili12 Jun
Mtoto akutana na wazazi wake miezi 10 baada ya kuzaliwa
5 years ago
Bongo514 Feb
Mama Aliyeibiwa Mtoto Hospitali, Afunguka
Asma Juma, mzazi aliyejifungua watoto mapacha na kudai kuibiwa mtoto mmoja katika hospitali ya Temeke, amefunguka kuelezea kilichotokea.
Mzazi huyo anawatuhumu wauguzi wa hospitali hiyo kumuiba mtoto wake huyo akidai, awali wakati alipokuwa na ujauzito picha za Ultrasound alizowahi kupima zilionyesha kuwa ana ujauzito wa mapacha na hata alipokuwa hospitalini hapo alimsikia nesi aliyekuwa akimuhudumia akithibitisha kua ana watoto wawili.
Akiongea na kipindi cha Power Breakfast cha Clouds...
5 years ago
BBCSwahili19 May
Wazazi wampata mtoto wao aliyeibiwa miaka 32 iliyopita China
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Mtoto aliyeibwa apatikana
11 years ago
BBCSwahili22 May
Apatikana miaka 10 baada kutekwa nyara
9 years ago
BBCSwahili04 Nov
Aliyetoweka baada ya kumaliza mbio apatikana
10 years ago
Vijimambo20 Oct
Mtoto aliyeibwa apatikana chini ya mti
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Kisime--October20-2014.jpg)
Mtoto huyo aliibwa usiku wa kuamkia Alhamisi iliyopita na kupatikana Ijumaa ambayo gazeti hili liliandika habari za kuibwa kwake.
Baada ya taarifa za kupotea mtoto huyo wa kike ambaye hadi...
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Mtoto aliyezamia ndege apatikana bandarini