Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aliyetoweka baada ya kumaliza mbio apatikana

Mwanariadha kutoka Italia aliyetoweka baada ya kumaliza mbio za New York Marathon amepatikana.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Bibi harusi aliyetoweka apatikana

Bibi harusi Doroth Msuya aliyetoroka saluni akipambwa saa tatu kabla ya kufungwa kwa harusi yao na kumwacha solemba bwana harusi, Joseph Machange amepatikana jijini Arusha.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mtoto aliyeibiwa apatikana baada ya miezi 4

Mahakama nchini El Salvador imeamuru mtoto aliyebadilishwa punde baada ya kuzaliwa kukutanishwa na wazazi wake halisi miezi minne baadaye

 

11 years ago

BBCSwahili

Apatikana miaka 10 baada kutekwa nyara

Mwanamke wa miaka 25 Marekani, aliyepotea miaka 10 iliyopita, amewaambia polisi alilazimika kuolewa na kuzaa na aliyemteka nyara.

 

9 years ago

StarTV

Mchezaji wa zamani wa Ivort Coast apatikana akiwa amefariki baada ya kupotea  

 

Mwili wa mlinzi wa zamani wa timu ya Wigan Athletic ya England Steve Gohouri umepatikana kando ya mto Rhine Magharibu mwa mji wa Krefeld nchini Ujerumani.

Gohouri mchezaji wa kimataifa wa zamani wa Ivort Coast aliyechezea Wigani mechi 42 kati ya mwaka 2010 na 2012,alikwenda Paris kuitembelea familia yake lakini hakurudi na hakuonekana tena.

Desemba 12 mwaka uliopita Gohouri polisi iliripoti kupotea kwake baada ya kuhudhuria sherehe ya Krismass akiwa na klabu yake ya TSV Stetnbach ya...

 

10 years ago

GPL

BAADA YA KUMALIZA KIDATO CHA NNE SASA ATEMBEA KWA MAKALIO

Na Makongoro Oging’
Nyinyiga Raphael (27) ni kijana, mkazi wa Yombo Machimbo wilaya ya Temeke ambaye ndoto zake za kuendelea na masomo zilikatika baada ya kupatwa na maradhi ambayo yanamtesa kwa kipindi cha miaka saba sasa bila kutembea kwa miguu kama ilivyokuwa awali. Nyinyiga Raphael akitembea kwa kutumia makalio. Akizungumza na gazeti hili nyumbani kwake huko Yombo, mama mzazi wa kijana huyo alikuwa na haya ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Madaktari Diaspora Wakiondoka Zanzibar baada ya Kumaliza Zoezi la Kutoa Huduma ya Saratani ya Matiti, Kisukari na Meno.

Madaktari Diaspora Washinton wakiwa katika bandari ya Zanzibar wakijiandaa kurudi nyumbani baada ya kumaliza ratiba yao Tanzania ya kutoa hudua ya Afya kwa Wananchi wa sehemu hizo mbili wakiwa Tanzania wameletwa na Jumuiya ya Watanzania Washington wakiongozana na Rais wa Jumuiya hiyo Ndg Iddi Sandaly na Mjumbe wa Kamati Bi Asha Nyanganyi. Zanzibar walikuwa wageni swa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa Diaspora Zanzibar na Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ).Madaktari haio wakiwa katika bandari ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani