Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mchezaji wa zamani wa Ivort Coast apatikana akiwa amefariki baada ya kupotea  

 

Mwili wa mlinzi wa zamani wa timu ya Wigan Athletic ya England Steve Gohouri umepatikana kando ya mto Rhine Magharibu mwa mji wa Krefeld nchini Ujerumani.

Gohouri mchezaji wa kimataifa wa zamani wa Ivort Coast aliyechezea Wigani mechi 42 kati ya mwaka 2010 na 2012,alikwenda Paris kuitembelea familia yake lakini hakurudi na hakuonekana tena.

Desemba 12 mwaka uliopita Gohouri polisi iliripoti kupotea kwake baada ya kuhudhuria sherehe ya Krismass akiwa na klabu yake ya TSV Stetnbach ya...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Baada ya kupotea kwa wiki mbili, staa wa soka Ivory Coast amekutwa amefariki mtoni Ujerumani …

Ikiwa ndani ya wiki zisizo pungua tatu ulimwengu wa soka umepokea taarifa za vifo vya wanasoka wawili, mchezaji wa timu ya taifa ya Honduras Arnold Peralta na aliyekuwa mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya El Salvador Alfred Pacheco. January 2 ulimwengu wa soka umepokea taarifa za kifo cha beki wa zamani wa timu ya taifa ya […]

The post Baada ya kupotea kwa wiki mbili, staa wa soka Ivory Coast amekutwa amefariki mtoni Ujerumani … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Bongo Movies

Baada ya Kupotea kwa Muda: Wema Sepetu Arudi tena Mzigoni Akiwa na JB

Staa mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu ameshare nasi kipande kidogo cha video ya kazi mpya  inayokwenda kwa jina la  Chungu Cha Tatu akiwa na Staa mwenzake, Jacob Stephen  'JB' wakiwa 'lokesheni'.

Kwa muda mrefu sasa Wema Sepetu amekuwa afanyi filamu, Bila shaka mashabiki wake wana hamu kubwa sana ya kumuona tena kwenye filamu.

Jionee kipande cha kazi hiyo  HAPA

 

 

5 years ago

CCM Blog

MBUNGE WA ZAMANI WA UKONGA DK. MAKONGORO MAHANGA AMEFARIKI DUNIA

CCM Blog, Dar es SalaamMbunge wa zamani wa Ukonga kwa tiketi ya CCM Dk. Milton Makongoro Mahanga (Pichani) ambaye baadaye alijiunga na Chadema wakati wa Uchaguzi Mkuu uliopita amefariki dunia.
Katibu wa Chadema Mkoa wa kichama hicho wa Ilala, Jerome Olomi amethibitisha na kusema Dk. Makongoro ambaye alikuwa Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa huo wa Kichama Jijini Dar es Salaam,  amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo Jumatatu, Machi 23, 202






 

10 years ago

Michuzi

BINTI ALIYEPOTEA TANDIKA MWEZI OKTOBA APATIKANA AKIWA SALAMA SALIMINI

Mtoto Mwasiti Abdulrazack Kakurwa, miaka 14 (pichani), aliyetoweka nyumbani kwao Tandika, Wilaya ya Temeke, Mkoa wa Dar es salaam, mnamo tarehe 31/10/2014, katika mazingira ya kutatanisha, amepatikana jana.Mwasiti ameletwa nyumbani kwa wazazi wake na bibi mmoja ombaomba anayesema kuwa binti huyo aliletwa maeneo ya kitumbini wanakolala ombaomba na Wanawake watatu Usiku na baadae wanawake hao wakatoweka katika mazingira ya ajabu! Baadae huyo bibi alimchukuwa Mwasiti na kukaa naye. Alipomuuliza...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mchezaji wa zamani kuwania urais Fifa

Mchezaji wa zamani wa Ufaransa,David Ginola kupambana na Sepp Blatter urais Fifa

 

9 years ago

Mtanzania

Mchezaji wa zamani Coastal kumrithi Mayanja

mayanjaNA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

UONGOZI wa klabu ya Coastal Union unatarajia kumkabidhi majukumu ya timu hiyo mchezaji wake wa zamani, Mbwana Bushiri, baada ya kutimuliwa kwa aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo, Jackson Mayanja.

Kikao cha Kamati ya Utendaji ya klabu hiyo kilichokutana juzi, kilifikia uamuzi wa kumtimua kocha huyo raia wa Uganda kutokana na timu hiyo kufanya vibaya katika michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara inayoendelea.

 

Abushiri aliyewahi kuichezea timu ya Taifa ya Tanzania...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mwanamuziki nguli na mshindi wa tuzo za Grammy, Natalie Cole amefariki dunia akiwa na miaka 65!!

IMG_0072.JPG]]]]]]]]=======================================

Mwanamuziki nguli na mshindi wa tuzo mbalimbali zikiwemo za Grammy , Mwanamama Natalie Cole (Pichani)  amefariki dunia usiku wa Desemba 31. Nchini Marekani huku taarifa za kifo chake zikitaarifiwa mapema leo Januari Mosi.

Na Andrew Chale, Modewjiblog

Gwiji huyo ambaye mpaka anapatwa na mahuti, ameweza kufikisha umri wa miaka 65  ni miongoni mwa wanamuziki wakongwe waliotoka katika familia ya wanamuziki mahiri.  Natalie Cole  enzi za uhai wake ameweza kutoa albma kadhaa na ameweza kufanya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwanamuziki maarufu wa muziki wa Country Ken Rogers amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 81

Ken Rogers aliyefahamika kwa wimbo kama vile The Gambler, "ameacha historia siyoweza kufutika " katika muziki, imesema familia yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani