BINTI ALIYEPOTEA TANDIKA MWEZI OKTOBA APATIKANA AKIWA SALAMA SALIMINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-1y8ElOa7y_E/VGaBpcw5qhI/AAAAAAAGxUM/zOCWd8TyTEc/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
Mtoto Mwasiti Abdulrazack Kakurwa, miaka 14 (pichani), aliyetoweka nyumbani kwao Tandika, Wilaya ya Temeke, Mkoa wa Dar es salaam, mnamo tarehe 31/10/2014, katika mazingira ya kutatanisha, amepatikana jana.Mwasiti ameletwa nyumbani kwa wazazi wake na bibi mmoja ombaomba anayesema kuwa binti huyo aliletwa maeneo ya kitumbini wanakolala ombaomba na Wanawake watatu Usiku na baadae wanawake hao wakatoweka katika mazingira ya ajabu! Baadae huyo bibi alimchukuwa Mwasiti na kukaa naye. Alipomuuliza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Ykileo![](http://1.bp.blogspot.com/-Y9VcYarR-2o/VBqqsPdxqFI/AAAAAAAAA5w/W-3G9ex5TTk/s72-c/abc.jpg)
OKTOBA NI MWEZI WA KUKUZA UELEWA WA MATUMIZI SALAMA YA MITANDAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y9VcYarR-2o/VBqqsPdxqFI/AAAAAAAAA5w/W-3G9ex5TTk/s1600/abc.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_9krU4fNHZQ/VBqrZHufn_I/AAAAAAAAA54/fBvgsI1NwPE/s1600/ncsam_googleplus_cover_photo_2014.jpg)
Kadri muda ulivyojongea Mataifa mengine yaliamua kutumia mwezi huo kuwa mwezi wa kukuza uelewa wa matumizi salama ya mitandao ambapo sasa mataifa mengi tayari yamesha kua yakiazimisha kampeni hizi. Mwaka huu...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-5mPG52N-zm0/VgVReaOVvjI/AAAAAAAAt8w/RwIS4olLH5E/s72-c/20150925063642.jpg)
MTOTO ALIYEPOTEA NA HOUSE-GIRL APATIKANA
![](http://4.bp.blogspot.com/-5mPG52N-zm0/VgVReaOVvjI/AAAAAAAAt8w/RwIS4olLH5E/s640/20150925063642.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-epMam56GaSk/VgVReKNI8OI/AAAAAAAAt80/jTpBCrZvPHk/s640/20150925063641.jpg)
9 years ago
StarTV04 Jan
Mchezaji wa zamani wa Ivort Coast apatikana akiwa amefariki baada ya kupotea Â
Mwili wa mlinzi wa zamani wa timu ya Wigan Athletic ya England Steve Gohouri umepatikana kando ya mto Rhine Magharibu mwa mji wa Krefeld nchini Ujerumani.
Gohouri mchezaji wa kimataifa wa zamani wa Ivort Coast aliyechezea Wigani mechi 42 kati ya mwaka 2010 na 2012,alikwenda Paris kuitembelea familia yake lakini hakurudi na hakuonekana tena.
Desemba 12 mwaka uliopita Gohouri polisi iliripoti kupotea kwake baada ya kuhudhuria sherehe ya Krismass akiwa na klabu yake ya TSV Stetnbach ya...
10 years ago
Mwananchi15 Apr
Uchaguzi mwezi Oktoba
5 years ago
BBCSwahili30 Apr
Virusi vya corona Ecuador: Wakati familia zinatafuta wapendwa wao mwanamke apatikana akiwa hai
10 years ago
Mwananchi16 Jan
Roda; binti aliyelipiwa kishika uchumba akiwa na miaka 15
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XkRrFz4ymKkfp39TAAK0qSwPk83l8CIRFiUR4UzMHbIECx5AlC*SV9Z7lw-pi23qDUKZUwSQUqCfh2T9cs3MwjdU5yfqnSl2/nyerere.jpg?width=650)
OKTOBA 2015 NI MWEZI WA LAANA AU UTUKUFU
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-WwT2PmYHoqI/VcWxbpJmUsI/AAAAAAABTSA/u_YKalwhK_4/s72-c/tff.jpg)
TOTO AFRICAN KUFANYA UCHAGUZI MWEZI OKTOBA 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-WwT2PmYHoqI/VcWxbpJmUsI/AAAAAAABTSA/u_YKalwhK_4/s400/tff.jpg)
Katika barua yake kwa Katibu Mkuu wa Toto African, Katibu Mkuu wa TFF ameuagiza uongozi wa Toto African kuwasiliana na Kamati yao ya Uchaguzi ili tangazo la uchaguzi litolewe si chini ya siku sitini (60) kabla ya tarehe ya kufanyika uchaguzi.
Kwa muda mrefu kumekuwa na mvutano katika klabu ya Toto na suala kubwa likiwa ni kuhusu ujazaji wa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eFd1Eg44G4Y/Vg0BOaXaljI/AAAAAAAH8E0/xtre02d2fvE/s72-c/images.jpg)
KILA JUMATATU YA KWANZA YA MWEZI OKTOBA NI SIKU YA MAKAZI DUNIANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-eFd1Eg44G4Y/Vg0BOaXaljI/AAAAAAAH8E0/xtre02d2fvE/s200/images.jpg)
Nchini, mwaka huu tarehe 05/10/2015 – Jumatatu, Maadhimisho ya siku hii yanategemewa kufanyika katika viwanja vya Karimjee kuanzia saa mbili na nusu asubuhi (2:30) mpaka saa nane mchana (8:00).
Kauli Mbiu ya...