OKTOBA 2015 NI MWEZI WA LAANA AU UTUKUFU
![](http://api.ning.com:80/files/XkRrFz4ymKkfp39TAAK0qSwPk83l8CIRFiUR4UzMHbIECx5AlC*SV9Z7lw-pi23qDUKZUwSQUqCfh2T9cs3MwjdU5yfqnSl2/nyerere.jpg?width=650)
Hayati Mwalimu Nyerere. SOTE kwa pamoja tumshukuru Mungu kwa kutuweka hai leo, hili ni jukumu letu la kila siku, usiku na mchana. Baada ya utangulizi huo, nianze kwa kusema kuwa taifa sasa linapita katika changamoto nyingi. Serikali yenyewe ina madeni mengi, wananchi wana matatizo ya maisha kutokana na mifumuko ya bei na baya zaidi hivi sasa kuna upungufu mkubwa wa mshikamano miongoni mwetu. Haya ni matatizo makubwa. Baada ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-WwT2PmYHoqI/VcWxbpJmUsI/AAAAAAABTSA/u_YKalwhK_4/s72-c/tff.jpg)
TOTO AFRICAN KUFANYA UCHAGUZI MWEZI OKTOBA 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-WwT2PmYHoqI/VcWxbpJmUsI/AAAAAAABTSA/u_YKalwhK_4/s400/tff.jpg)
Katika barua yake kwa Katibu Mkuu wa Toto African, Katibu Mkuu wa TFF ameuagiza uongozi wa Toto African kuwasiliana na Kamati yao ya Uchaguzi ili tangazo la uchaguzi litolewe si chini ya siku sitini (60) kabla ya tarehe ya kufanyika uchaguzi.
Kwa muda mrefu kumekuwa na mvutano katika klabu ya Toto na suala kubwa likiwa ni kuhusu ujazaji wa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6iN3u_9j1w8/VkDPBS8DyWI/AAAAAAAIFFk/9X6sfsr6Ads/s72-c/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YATANGAZA MFUMUKO WA BEI WA MWEZI OKTOBA, 2015
MFUMUKO wa bei wa Taifa kwa mwezi Oktoba, 2015 umeongezeka hadi kufikia asilimia 6.3 kutoka asilimia 6.1 mwezi Septemba mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam leo Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii, Ephraim Kwesigabo amesema kuongezeka kwa Mfumuko wa Bei kumesababishwa na kupanda kwa bei za bidhaa na huduma zingine za kijamii ikiwemo chakula na nishati.
“Kupanda kwa Mfumuko wa Bei wa mwezi Oktoba, 2015 kumechangiwa na ongezeko la...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HZItvX_BGe4/Vj3SWLYeJkI/AAAAAAAIEyE/yy4G5OyuPlQ/s72-c/ApEqc3bfiHuw9aIVyQpow0yy0rDp_sSuE87ZRes2Xrb2.jpg)
Boko Beach Veterans wamkabidhi zawadi Mchezaji bora wa Mwezi Oktoba 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-HZItvX_BGe4/Vj3SWLYeJkI/AAAAAAAIEyE/yy4G5OyuPlQ/s640/ApEqc3bfiHuw9aIVyQpow0yy0rDp_sSuE87ZRes2Xrb2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-eUQdNvKGXKE/Vj3SWJoeLZI/AAAAAAAIEyI/hReKxAZNyV4/s640/AsAFY4U7XZWFMgdn4DjB-V91mdxZA3eVCWOjfdANRz9d.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JkxntoBjZD8/VP3YEwU41kI/AAAAAAAHJKA/apTB9qpP7Kk/s72-c/unnamed%2B(52).jpg)
MFUMUKO WA BEI WAONGEZEKA KIDOGO KUTOKA ASILIMIA 4.0 MWEZI JANUARI, 2015 HADI KUFIKIA ASILIMIA 4.2 MWEZI FEBRUARI, 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-JkxntoBjZD8/VP3YEwU41kI/AAAAAAAHJKA/apTB9qpP7Kk/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1nLQAkCBnRM/VP3YEy7eD4I/AAAAAAAHJKE/yuUUI8PmvSI/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
10 years ago
Mwananchi15 Apr
Uchaguzi mwezi Oktoba
10 years ago
Ykileo![](http://1.bp.blogspot.com/-Y9VcYarR-2o/VBqqsPdxqFI/AAAAAAAAA5w/W-3G9ex5TTk/s72-c/abc.jpg)
OKTOBA NI MWEZI WA KUKUZA UELEWA WA MATUMIZI SALAMA YA MITANDAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y9VcYarR-2o/VBqqsPdxqFI/AAAAAAAAA5w/W-3G9ex5TTk/s1600/abc.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_9krU4fNHZQ/VBqrZHufn_I/AAAAAAAAA54/fBvgsI1NwPE/s1600/ncsam_googleplus_cover_photo_2014.jpg)
Kadri muda ulivyojongea Mataifa mengine yaliamua kutumia mwezi huo kuwa mwezi wa kukuza uelewa wa matumizi salama ya mitandao ambapo sasa mataifa mengi tayari yamesha kua yakiazimisha kampeni hizi. Mwaka huu...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
Laana ya Mwinyi, Mkapa, Karume kuitafuna CCM 2015
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kinapita katika wakati mgumu kuliko wowote ule katika historia ya chama hicho. Kikubwa kinachotajwa kutoa changamoto hiyo ni kupata jina la mwanachama atakayesimama kupeperusha bendera yake...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J85lH48Znm0/XvXkbT9PTwI/AAAAAAALvho/jRpDJ4Sf_uU1ZiuhLzDqQ9VD_Ad-SgDJwCLcBGAsYHQ/s72-c/18e4f385-7887-45b8-b1a5-52d7e951862d.jpg)
NAIBU WAZIRI ATAKA DARAJA LA KOGA KUKAMILIKA MWEZI OKTOBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-J85lH48Znm0/XvXkbT9PTwI/AAAAAAALvho/jRpDJ4Sf_uU1ZiuhLzDqQ9VD_Ad-SgDJwCLcBGAsYHQ/s640/18e4f385-7887-45b8-b1a5-52d7e951862d.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/525f53da-41a9-44fd-9827-c6bf2b42d01a.jpg)
Mtambo wa kushindilia lami ukiendelea na kazi katika barabara ya Tabora – Koga – Mpanda (km 324.7); sehemu ya Kasinde – Mpanda, mkoani Katavi. Ujenzi wa sehemu hiyo umefikia asilimia 48.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/1dfcbb6f-bf7b-4599-8f01-e748468bd23c.jpg)
Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa, akitoa maelekezo kwa mkandarasi wa kampuni ya Jiangxi Geo – Engineering, Bw. Li, wakati alipokagua...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eFd1Eg44G4Y/Vg0BOaXaljI/AAAAAAAH8E0/xtre02d2fvE/s72-c/images.jpg)
KILA JUMATATU YA KWANZA YA MWEZI OKTOBA NI SIKU YA MAKAZI DUNIANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-eFd1Eg44G4Y/Vg0BOaXaljI/AAAAAAAH8E0/xtre02d2fvE/s200/images.jpg)
Nchini, mwaka huu tarehe 05/10/2015 – Jumatatu, Maadhimisho ya siku hii yanategemewa kufanyika katika viwanja vya Karimjee kuanzia saa mbili na nusu asubuhi (2:30) mpaka saa nane mchana (8:00).
Kauli Mbiu ya...