Boko Beach Veterans wamkabidhi zawadi Mchezaji bora wa Mwezi Oktoba 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-HZItvX_BGe4/Vj3SWLYeJkI/AAAAAAAIEyE/yy4G5OyuPlQ/s72-c/ApEqc3bfiHuw9aIVyQpow0yy0rDp_sSuE87ZRes2Xrb2.jpg)
Mwenyekiti wa Timu ya Boko Beach Veterans (BBV), Danny Ole a.k.a Aguero (wa nne toka kushoto) akimkabidhi zawadi ya mpira Mchezaji bora wa Mwezi Oktoba, Henry Horombe (wa nne toka kulia), baada ya kuonyesha kiwango kizuri kwa kipindi chote cha mwezi mwezi huo 2015. Zawadi hizo hutolewa na mdau mkubwa wa soka nchini na mmiliki wa maduka ya Zizzou Fashion, Othman Tippo Shaaban ambaye nae ni mwanachama wa timu hiyo.
Sehemu ya wachezaji wa Timu ya Boko Beach Veterans (BBV) wakimpongeza mchezaji...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBoko Beach Veterans wamkabidhi zawadi Mchezaji bora wa Mwezi
9 years ago
MichuziMCHEZAJI WA STAND UNITED AKABIDHIWA KITITA CHAKE KWA KUIBUKA MCHEZAJI BORA WA MWEZI OKTOBA WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA
Mchezaji huyo alikabidhiwa hundi hiyo wakati wa mazoezi yaliyokuwa yanafanywa na timu yake katika viwanja vya JKM Park ya kujiandaa na mchezo dhidi ya Yanga hapo kesho.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mC74vysAM3M/VEOE-QoXveI/AAAAAAAGr54/QT4n1lF-ATY/s72-c/unnamed%2B(44).jpg)
VODACOM WATOA ZAWADI KWA MCHEZAJI BORA WA MWEZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-mC74vysAM3M/VEOE-QoXveI/AAAAAAAGr54/QT4n1lF-ATY/s1600/unnamed%2B(44).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-n2ZCV5ONbSk/VF8ludLxUDI/AAAAAAAGwG4/-UJjAsFXkzE/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
MCHEZAJI BORA WA MWEZI "SURE BOY" AKABIDHIWA ZAWADI YAKE
10 years ago
Vijimambo09 Nov
MCHEZAJI BORA WA MWEZI "SURE BOY" AKABIIDHIWA ZAWADI YAKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/szrS1FfaDDLqJzDF4UGyrWS*X3w6YziWfdKEOXEg6dlCCYs8bL17jI5eE9oMJVjcnMFSvrVlaphJLkNxFY9fJb029g01N31K/No2.jpg?width=650)
VODACOM WATOA ZAWADI KWA MCHEZAJI BORA WA MWEZI
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Mohamed Tshabalala mchezaji bora wa mwezi Oktoba Simba Sport Club
Katika kuongeza morali na kuwazawadia wachezaji wanaofanya vizuri, Klabu ya Simba ilianzisha Tunzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi kuanzia mwezi wa Septemba 2015.
Mshindi wa mwezi wa Oktoba, 2015 ni Mohamed Hussen Tshabalala ambapo alipigiwa kura nyingi na mashabiki na wapenzi wa Simba na soka la Tanzania kwa ujumla kupitia simu za mkononi ambao pia wamejiunga na huduma ya Simba News.
Akizungumza leo jijini Dar es salaam Rais wa Simba Evans Aveva alisema “Uongozi, wanachama na wapenzi wa...
10 years ago
GPLMCHEZAJI BORA WA MWEZI "SURE BOY" AKABIIDHIWA ZAWADI YAKE