Uchaguzi mwezi Oktoba
Uchaguzi Ujao Mwaka huu tutambue, mwezi wa kumi ujao, Ujao tufikirie, uchaguzi mwezi huo, Huo mwezi tuchague, viongozi wafaao Tuchague wafaao, Watanzania wenzangu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar05 Oct
Wangalizi wa uchaguzi wa kimataifa tayari wameanza kuendelea na kazi zao kuelekea uchaguzi mwezi huu oktoba 25
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula, na Balozi wa Umoja wa Ulaya Nchini Tanzania, Mhe. Filiberto Sebregondi, wakitia sign ya Makubaliano ya kuruhusu waangalizi wa uchaguzi kutoka […]
The post Wangalizi wa uchaguzi wa kimataifa tayari wameanza kuendelea na kazi zao kuelekea uchaguzi mwezi huu oktoba 25 appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-WwT2PmYHoqI/VcWxbpJmUsI/AAAAAAABTSA/u_YKalwhK_4/s72-c/tff.jpg)
TOTO AFRICAN KUFANYA UCHAGUZI MWEZI OKTOBA 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-WwT2PmYHoqI/VcWxbpJmUsI/AAAAAAABTSA/u_YKalwhK_4/s400/tff.jpg)
Katika barua yake kwa Katibu Mkuu wa Toto African, Katibu Mkuu wa TFF ameuagiza uongozi wa Toto African kuwasiliana na Kamati yao ya Uchaguzi ili tangazo la uchaguzi litolewe si chini ya siku sitini (60) kabla ya tarehe ya kufanyika uchaguzi.
Kwa muda mrefu kumekuwa na mvutano katika klabu ya Toto na suala kubwa likiwa ni kuhusu ujazaji wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XkRrFz4ymKkfp39TAAK0qSwPk83l8CIRFiUR4UzMHbIECx5AlC*SV9Z7lw-pi23qDUKZUwSQUqCfh2T9cs3MwjdU5yfqnSl2/nyerere.jpg?width=650)
OKTOBA 2015 NI MWEZI WA LAANA AU UTUKUFU
10 years ago
Ykileo![](http://1.bp.blogspot.com/-Y9VcYarR-2o/VBqqsPdxqFI/AAAAAAAAA5w/W-3G9ex5TTk/s72-c/abc.jpg)
OKTOBA NI MWEZI WA KUKUZA UELEWA WA MATUMIZI SALAMA YA MITANDAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y9VcYarR-2o/VBqqsPdxqFI/AAAAAAAAA5w/W-3G9ex5TTk/s1600/abc.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_9krU4fNHZQ/VBqrZHufn_I/AAAAAAAAA54/fBvgsI1NwPE/s1600/ncsam_googleplus_cover_photo_2014.jpg)
Kadri muda ulivyojongea Mataifa mengine yaliamua kutumia mwezi huo kuwa mwezi wa kukuza uelewa wa matumizi salama ya mitandao ambapo sasa mataifa mengi tayari yamesha kua yakiazimisha kampeni hizi. Mwaka huu...
9 years ago
MichuziWaangalizi wa uchaguzi kutoka Umoja wa Ulaya (EU) kuingia nchini kufuatilia Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25
9 years ago
Bongo511 Nov
Arsene Wenger apata tuzo ya kocha bora wa mwezi Oktoba
![wenger](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/wenger-300x194.jpg)
Kocha Arsene Wenger amechukua tuzo ya kocha bora wa mwezi katika ligi kuu ya Uingereza baada ya kuiongoza Arsenal kufanya vizuri mechi nne mfululizo.
Arsenal ilifunga magoli 11 katika mechi nne, huku ikizinyuka 3-0 United na Swansea.
Kwa upande wa wachezaji, tuzo hiyo imeenda kwa mshambuliaji wa Leicester City, Jamie Vardy kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 15 katika klabu hiyo.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J85lH48Znm0/XvXkbT9PTwI/AAAAAAALvho/jRpDJ4Sf_uU1ZiuhLzDqQ9VD_Ad-SgDJwCLcBGAsYHQ/s72-c/18e4f385-7887-45b8-b1a5-52d7e951862d.jpg)
NAIBU WAZIRI ATAKA DARAJA LA KOGA KUKAMILIKA MWEZI OKTOBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-J85lH48Znm0/XvXkbT9PTwI/AAAAAAALvho/jRpDJ4Sf_uU1ZiuhLzDqQ9VD_Ad-SgDJwCLcBGAsYHQ/s640/18e4f385-7887-45b8-b1a5-52d7e951862d.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/525f53da-41a9-44fd-9827-c6bf2b42d01a.jpg)
Mtambo wa kushindilia lami ukiendelea na kazi katika barabara ya Tabora – Koga – Mpanda (km 324.7); sehemu ya Kasinde – Mpanda, mkoani Katavi. Ujenzi wa sehemu hiyo umefikia asilimia 48.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/1dfcbb6f-bf7b-4599-8f01-e748468bd23c.jpg)
Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa, akitoa maelekezo kwa mkandarasi wa kampuni ya Jiangxi Geo – Engineering, Bw. Li, wakati alipokagua...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eFd1Eg44G4Y/Vg0BOaXaljI/AAAAAAAH8E0/xtre02d2fvE/s72-c/images.jpg)
KILA JUMATATU YA KWANZA YA MWEZI OKTOBA NI SIKU YA MAKAZI DUNIANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-eFd1Eg44G4Y/Vg0BOaXaljI/AAAAAAAH8E0/xtre02d2fvE/s200/images.jpg)
Nchini, mwaka huu tarehe 05/10/2015 – Jumatatu, Maadhimisho ya siku hii yanategemewa kufanyika katika viwanja vya Karimjee kuanzia saa mbili na nusu asubuhi (2:30) mpaka saa nane mchana (8:00).
Kauli Mbiu ya...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6iN3u_9j1w8/VkDPBS8DyWI/AAAAAAAIFFk/9X6sfsr6Ads/s72-c/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YATANGAZA MFUMUKO WA BEI WA MWEZI OKTOBA, 2015
MFUMUKO wa bei wa Taifa kwa mwezi Oktoba, 2015 umeongezeka hadi kufikia asilimia 6.3 kutoka asilimia 6.1 mwezi Septemba mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam leo Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii, Ephraim Kwesigabo amesema kuongezeka kwa Mfumuko wa Bei kumesababishwa na kupanda kwa bei za bidhaa na huduma zingine za kijamii ikiwemo chakula na nishati.
“Kupanda kwa Mfumuko wa Bei wa mwezi Oktoba, 2015 kumechangiwa na ongezeko la...