Arsene Wenger apata tuzo ya kocha bora wa mwezi Oktoba
Kocha Arsene Wenger amechukua tuzo ya kocha bora wa mwezi katika ligi kuu ya Uingereza baada ya kuiongoza Arsenal kufanya vizuri mechi nne mfululizo.
Arsenal ilifunga magoli 11 katika mechi nne, huku ikizinyuka 3-0 United na Swansea.
Kwa upande wa wachezaji, tuzo hiyo imeenda kwa mshambuliaji wa Leicester City, Jamie Vardy kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 15 katika klabu hiyo.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote...
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PHKC1AOWfhwucLSprPkXYrpOke5sYTNtYuuQxvaLIPYz1UMfwVShWqDTHr3Yw8Wif8dActYC-5RG48D7l9JNEnesJ6U4rkRP/1.jpg)
KOCHA ARSENE WENGER MAJANGA!
9 years ago
Dewji Blog08 Nov
Kocha Arsene Wenger akasirika baada ya kugundua Harry Kane aliruhusiwa kutoka katika Academy ya Arsenal
Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger.
Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane.
Na Rabi Hume
Kocha wa Arsenal, Mfaransa Arsene Wenger amesema alikasirika kidogo baada ya kugundua mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane aliruhusiwa kutoka katika kituo cha kukuzia vipaji (academy) ya Arsenal na kuhamia academy ya wapinzani wao wakubwa klabu ya Tottenham.
Wenger amezungumzia habari hiyo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuelekea mchezo wa ligi kuu ya Wingereza kesho jumapili...
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Mohamed Tshabalala mchezaji bora wa mwezi Oktoba Simba Sport Club
Katika kuongeza morali na kuwazawadia wachezaji wanaofanya vizuri, Klabu ya Simba ilianzisha Tunzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi kuanzia mwezi wa Septemba 2015.
Mshindi wa mwezi wa Oktoba, 2015 ni Mohamed Hussen Tshabalala ambapo alipigiwa kura nyingi na mashabiki na wapenzi wa Simba na soka la Tanzania kwa ujumla kupitia simu za mkononi ambao pia wamejiunga na huduma ya Simba News.
Akizungumza leo jijini Dar es salaam Rais wa Simba Evans Aveva alisema “Uongozi, wanachama na wapenzi wa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HZItvX_BGe4/Vj3SWLYeJkI/AAAAAAAIEyE/yy4G5OyuPlQ/s72-c/ApEqc3bfiHuw9aIVyQpow0yy0rDp_sSuE87ZRes2Xrb2.jpg)
Boko Beach Veterans wamkabidhi zawadi Mchezaji bora wa Mwezi Oktoba 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-HZItvX_BGe4/Vj3SWLYeJkI/AAAAAAAIEyE/yy4G5OyuPlQ/s640/ApEqc3bfiHuw9aIVyQpow0yy0rDp_sSuE87ZRes2Xrb2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-eUQdNvKGXKE/Vj3SWJoeLZI/AAAAAAAIEyI/hReKxAZNyV4/s640/AsAFY4U7XZWFMgdn4DjB-V91mdxZA3eVCWOjfdANRz9d.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9wlT06w3oUg/UvcVLXpwtPI/AAAAAAAFL3g/VbjGNa9Koj0/s72-c/Main-Arsene-3126839.jpg)
ARSENE WENGER PWA!
![](http://1.bp.blogspot.com/-9wlT06w3oUg/UvcVLXpwtPI/AAAAAAAFL3g/VbjGNa9Koj0/s1600/Main-Arsene-3126839.jpg)
11 years ago
BBCSwahili17 Apr
Maombi ya Arsene Wenger yajibiwa
9 years ago
Mwananchi24 Sep
Ndoa ya Arsene Wenger yavunjika
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Tshabalala anyakua Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi Simba SC
![DSCF1094-768x403](http://cdn2.yatosha.com/wp-content/uploads/2015/12/DSCF1094-768x403.jpg)