Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KOCHA ARSENE WENGER MAJANGA!

Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger akiingia katika Stesheni ya Liverpool Lime Street. ...Mzee baada ya kula mweleka katika stesheni hiyo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Arsene Wenger apata tuzo ya kocha bora wa mwezi Oktoba

wenger

Kocha Arsene Wenger amechukua tuzo ya kocha bora wa mwezi katika ligi kuu ya Uingereza baada ya kuiongoza Arsenal kufanya vizuri mechi nne mfululizo.

wenger

Arsenal ilifunga magoli 11 katika mechi nne, huku ikizinyuka 3-0 United na Swansea.

vardy

Kwa upande wa wachezaji, tuzo hiyo imeenda kwa mshambuliaji wa Leicester City, Jamie Vardy kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 15 katika klabu hiyo.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kocha Arsene Wenger akasirika baada ya kugundua Harry Kane aliruhusiwa kutoka katika Academy ya Arsenal

ArseneWenger_large

Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger.

Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane

Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane.

Na Rabi Hume

Kocha wa Arsenal, Mfaransa Arsene Wenger amesema alikasirika kidogo baada ya kugundua mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane aliruhusiwa kutoka katika kituo cha kukuzia vipaji (academy) ya Arsenal na kuhamia academy ya wapinzani wao wakubwa klabu ya Tottenham.

Wenger amezungumzia habari hiyo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuelekea mchezo wa ligi kuu ya Wingereza kesho jumapili...

 

11 years ago

Michuzi

ARSENE WENGER PWA!

Arsene Wenger jana alipatwa na majanga mawili ya mwaka baada ya kula mweleka muda mfupi baada ya timu yake ya Arsenal kupigwa 5-1 na Liverpool.  Meneja huyo wa washika bunduki wa Uingereza alikuwa anawahi treni kurudi London katika mtaa wa Lime jijini Liverpool akiwa na wachezaji wake alipoteleza na kuanguka pwa!  Meneja huyo mwenye umri wa miaka 64 anaokenana pichani akiwa anaburuta begi lake wakati akiingia stesheni, lakini mara tu baada ya kuvuka mlango wa kuingilia, anateleza na kula...

 

9 years ago

Mwananchi

Ndoa ya Arsene Wenger yavunjika

Ndoa ya kocha wa Arsenal, Arsene Wenger na mke wake, Annie iliyodumu kwa miaka mitano imevunjika baada ya miezi kadhaa ya uvumi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Maombi ya Arsene Wenger yajibiwa

Maombi ya Kocha Arsene Wenger kuwa Everton ishindwe yalitimia jana Crystal Palace ilipoilaza 3-2 .

 

9 years ago

Bongo5

Arsene Wenger na mke wake waachana

Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger ameachana na mke wake baada ya kuwepo tetesi za miezi kadhaa kuhusu shida kwenye ndoa yao. Wenger na mke wake huyo, Annie, 59, wamedaiwa kukubaliana kuhusu kugawana mali walizochuma pamoja. Wawili hao wenye mtoto mwenye miaka 18 hawajawahi kuonekana kwenye picha pamoja tangu mwaka 2013. Kocha huyo aliwahi kudai kuwa […]

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsene Wenger aongezwa muda Arsenal

Ametia saini mkataba wa miaka miwili kama meneja wa klabu hiyo hadi mwaka 2017.

 

9 years ago

Mtanzania

Arsene Wenger atakiwa kuondoka Arsenal

WENGERLONDON, ENGLAND

BAADA ya Arsenal kupokea kichapo kwenye Uwanja wa nyumbani wa Emirates, katika michuano ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Olympiakos, mashabiki wa klabu hiyo wamemtaka kocha wao, Arsene Wenger kuachia ngazi.

Katika mchezo huo ambao ulipigwa mwanzoni mwa wiki hii, Arsenal ilikubali kichapo cha mabao 3-2 na kuifanya klabu hiyo kushika nafasi ya mwisho katika kundi F ikiwa haina hata pointi na wakitarajia kukutana na Bayern Munich katika mchezo wao wa tatu.

Mashabiki wa Arsenal...

 

9 years ago

Mtanzania

Arsene Wenger amjibu Jose Mourinho

wengerLONDON, ENGLAND

BAADA ya Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho kumshambulia Arsene Wenger kwamba ni kocha ambaye yupo katika wakati mgumu wa kufukuzwa na klabu yake, naye Wenger amemjibu kocha huyo kwa kusema anajivunia kuwa na jina kubwa katika chama cha soka nchini England.

Hata hivyo, Mourinho alimshambulia kocha huyo kwa kudai kuwa anapenda kuwalalamikia waamuzi wakati anapopoteza mchezo.

Wenger alionekana kumtupia lawama mwamuzi Mike Dean ambaye alichezesha mchezo wa wapinzani hao wiki moja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani