Maombi ya Arsene Wenger yajibiwa
Maombi ya Kocha Arsene Wenger kuwa Everton ishindwe yalitimia jana Crystal Palace ilipoilaza 3-2 .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9wlT06w3oUg/UvcVLXpwtPI/AAAAAAAFL3g/VbjGNa9Koj0/s72-c/Main-Arsene-3126839.jpg)
ARSENE WENGER PWA!
![](http://1.bp.blogspot.com/-9wlT06w3oUg/UvcVLXpwtPI/AAAAAAAFL3g/VbjGNa9Koj0/s1600/Main-Arsene-3126839.jpg)
9 years ago
Mwananchi24 Sep
Ndoa ya Arsene Wenger yavunjika
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PHKC1AOWfhwucLSprPkXYrpOke5sYTNtYuuQxvaLIPYz1UMfwVShWqDTHr3Yw8Wif8dActYC-5RG48D7l9JNEnesJ6U4rkRP/1.jpg)
KOCHA ARSENE WENGER MAJANGA!
9 years ago
Bongo528 Sep
Arsene Wenger na mke wake waachana
11 years ago
BBCSwahili30 May
Arsene Wenger aongezwa muda Arsenal
9 years ago
Mtanzania02 Oct
Arsene Wenger atakiwa kuondoka Arsenal
LONDON, ENGLAND
BAADA ya Arsenal kupokea kichapo kwenye Uwanja wa nyumbani wa Emirates, katika michuano ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Olympiakos, mashabiki wa klabu hiyo wamemtaka kocha wao, Arsene Wenger kuachia ngazi.
Katika mchezo huo ambao ulipigwa mwanzoni mwa wiki hii, Arsenal ilikubali kichapo cha mabao 3-2 na kuifanya klabu hiyo kushika nafasi ya mwisho katika kundi F ikiwa haina hata pointi na wakitarajia kukutana na Bayern Munich katika mchezo wao wa tatu.
Mashabiki wa Arsenal...
9 years ago
Mtanzania29 Sep
Arsene Wenger amjibu Jose Mourinho
LONDON, ENGLAND
BAADA ya Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho kumshambulia Arsene Wenger kwamba ni kocha ambaye yupo katika wakati mgumu wa kufukuzwa na klabu yake, naye Wenger amemjibu kocha huyo kwa kusema anajivunia kuwa na jina kubwa katika chama cha soka nchini England.
Hata hivyo, Mourinho alimshambulia kocha huyo kwa kudai kuwa anapenda kuwalalamikia waamuzi wakati anapopoteza mchezo.
Wenger alionekana kumtupia lawama mwamuzi Mike Dean ambaye alichezesha mchezo wa wapinzani hao wiki moja...
10 years ago
BBCSwahili27 Feb
Henry aimezea mate kazi ya Arsene Wenger
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Vibali vya kazi vifutwe: Arsene Wenger