Kocha Arsene Wenger akasirika baada ya kugundua Harry Kane aliruhusiwa kutoka katika Academy ya Arsenal
Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger.
Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane.
Na Rabi Hume
Kocha wa Arsenal, Mfaransa Arsene Wenger amesema alikasirika kidogo baada ya kugundua mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane aliruhusiwa kutoka katika kituo cha kukuzia vipaji (academy) ya Arsenal na kuhamia academy ya wapinzani wao wakubwa klabu ya Tottenham.
Wenger amezungumzia habari hiyo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuelekea mchezo wa ligi kuu ya Wingereza kesho jumapili...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PHKC1AOWfhwucLSprPkXYrpOke5sYTNtYuuQxvaLIPYz1UMfwVShWqDTHr3Yw8Wif8dActYC-5RG48D7l9JNEnesJ6U4rkRP/1.jpg)
KOCHA ARSENE WENGER MAJANGA!
9 years ago
Mtanzania02 Oct
Arsene Wenger atakiwa kuondoka Arsenal
LONDON, ENGLAND
BAADA ya Arsenal kupokea kichapo kwenye Uwanja wa nyumbani wa Emirates, katika michuano ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Olympiakos, mashabiki wa klabu hiyo wamemtaka kocha wao, Arsene Wenger kuachia ngazi.
Katika mchezo huo ambao ulipigwa mwanzoni mwa wiki hii, Arsenal ilikubali kichapo cha mabao 3-2 na kuifanya klabu hiyo kushika nafasi ya mwisho katika kundi F ikiwa haina hata pointi na wakitarajia kukutana na Bayern Munich katika mchezo wao wa tatu.
Mashabiki wa Arsenal...
11 years ago
BBCSwahili30 May
Arsene Wenger aongezwa muda Arsenal
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HzbY9S4OGWuFfmYcNRnnCzm5dzcJ3syr0drad0Z1SckIOLshbFdan22z-EKc1Mksbq*qwYGQUjV7UjWSvQMetwCClWnPAXBd/WENGER4.jpg?width=650)
ARSENE WENGER ASAINI MKATABA WA MIAKA 3 KUBAKI ARSENAL
9 years ago
Bongo515 Sep
Arsene Wenger adai Walcott ndiye tegemeo la Arsenal
9 years ago
Bongo511 Nov
Arsene Wenger apata tuzo ya kocha bora wa mwezi Oktoba
![wenger](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/wenger-300x194.jpg)
Kocha Arsene Wenger amechukua tuzo ya kocha bora wa mwezi katika ligi kuu ya Uingereza baada ya kuiongoza Arsenal kufanya vizuri mechi nne mfululizo.
Arsenal ilifunga magoli 11 katika mechi nne, huku ikizinyuka 3-0 United na Swansea.
Kwa upande wa wachezaji, tuzo hiyo imeenda kwa mshambuliaji wa Leicester City, Jamie Vardy kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 15 katika klabu hiyo.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote...
5 years ago
GIVEMESPORT16 Feb
Arsenal fans are joking that Arsene Wenger was responsible for Manchester City's European ban
5 years ago
Daily Mail12 Apr
Arsene Wenger introduced 'tablets' at Arsenal and sent stars to a 'Yoda' in France, says Ian Wright
9 years ago
MillardAyo01 Jan
Huyu ndio staa ambaye Arsene Wenger anatajwa kukamilisha usajili wake wa kujiunga na Arsenal …
Baada ya dirisha dogo la usajili kwa Ligi Kuu soka Tanzania bara kufungwa December 15, barani Ulaya ndio stori za usajili zinazidi kuchukua nafasi. December 31 stori kutoka mtandao wa 101greatgoals.com unaripoti klabu ya Arsenal ya Uingereza imekamilisha mipango ya usajili ya Mohamed Elneny. Dirisha dogo la usajili kwa nchi za Ulaya linafunguliwa January 1 klabu […]
The post Huyu ndio staa ambaye Arsene Wenger anatajwa kukamilisha usajili wake wa kujiunga na Arsenal … appeared first on...