Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bibi harusi aliyetoweka apatikana

Bibi harusi Doroth Msuya aliyetoroka saluni akipambwa saa tatu kabla ya kufungwa kwa harusi yao na kumwacha solemba bwana harusi, Joseph Machange amepatikana jijini Arusha.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Aliyetoweka baada ya kumaliza mbio apatikana

Mwanariadha kutoka Italia aliyetoweka baada ya kumaliza mbio za New York Marathon amepatikana.

 

9 years ago

Mtanzania

Bibi harusi amkimbia bwana harusi

NA UPENDO MOSHA, MOSHI

 

MWANAMKE aliyejulikana kwa jina la Doroth Msuya, mkazi wa Monduli mkoani Arusha, ametoweka muda mfupi kabla ya kufunga ndoa na Joseph Machange, mkazi wa Mwika, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro.

Ndoa ya wawili hao ilitarajiwa kufungwa Jumamosi ya Novemba 7 katika Kanisa la Kinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini, Usharika wa Lole, Mwika.

 Mchungaji mwenza wa usharika huo, Elikeseni Shao, alisema majira ya saa sita na nusu mchana wakati maandalizi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ni aibu ‘best man’ kumtongoza bibi harusi!

KAWAIDA yule mtu ambaye ni msimamizi wa harusi, yaani ‘Best Man’ kama aitwavyo kwa lugha  ya wenzetu, mtu huyu ndiye  anayetakiwa kuwa karibu sana na maharusi, siyo tu kwa ajili ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Zawadi, uheshimiwa ni vya bwana na bibi harusi

Chereko chereko za harusi kwa kweli zinapendeza zaidi ukilinganisha na sherehe nyingine za kijamii.

 

9 years ago

Mwananchi

Bibi harusi atoroka saa chache kabla ya ndoa

Bibi harusi amezua gumzo mjini hapa baada ya kutoweka saa tatu kabla ya kufunga ndoa ambayo sherehe yake iligharimu Sh7 milioni.

 

10 years ago

Mwananchi

MADHARA: Kucha za bandia zagharimu maisha ya bibi harusi

>“Sijui walitumia gundi ya aina gani kumbandikia kucha mwanangu, mpaka sasa sielewi, mtoto mwenyewe ndiyo huyo huyo mmoja wa kike niliyekuwa nikimtegemea na ndiyo kwanza ndoa yake bado change kabisa hata mwezi mmoja haina, huu ni mtihani mkubwa kwangu na kwa mumewe ambaye wamefunga naye ndoa wiki tatu zilizopita, inauma sana lakini tunamwachia Mungu.”

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

GPL

BIBI HARUSI ANYONGWA SIKU CHACHE KABLA YA NDOA

Stori: Deogratius Mongela na Shani Ramadhani My God! Bibi harusi mtarajiwa aliyejulikana kwa jina la Edna Sangawe (34), mkazi wa Mikocheni B jijini Dar anadaiwa kunyongwa na watu wasiojulikana na mwili wake kutelekezwa maeneo ya Changanyikeni, Makongo-Juu, Dar, Risasi Jumamosi lina kisa kizima. Marehemu Edna Sangawe (34) enzi za uhai wake. ILIVYOKUWA
Kwa mujibu wa chanzo makini, Machi 31, mwaka huu muda wa saa 2:00 usiku,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani