BAADA YA KUMALIZA KIDATO CHA NNE SASA ATEMBEA KWA MAKALIO
Na Makongoro Oging’ Nyinyiga Raphael (27) ni kijana, mkazi wa Yombo Machimbo wilaya ya Temeke ambaye ndoto zake za kuendelea na masomo zilikatika baada ya kupatwa na maradhi ambayo yanamtesa kwa kipindi cha miaka saba sasa bila kutembea kwa miguu kama ilivyokuwa awali. Nyinyiga Raphael akitembea kwa kutumia makalio. Akizungumza na gazeti hili nyumbani kwake huko Yombo, mama mzazi wa kijana huyo alikuwa na haya ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi19 Feb
10 years ago
Michuzi10 Nov
KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA AHMED .Z. MSANGI-SACP ANAWATANGAZIA WAHITIMU WA KIDATO CHA SITA MWAKA 2014 NA KIDATO CHA NNE MWAKA 2013 WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA JESHI LA POLISI BAADA YA USAILI KUKAMILIKA
11 years ago
Tanzania Daima05 Mar
Matokeo kidato cha nne ni hujuma kwa wazazi
NIANZE kwa kukushukuru wewe unayeendelea kuwa msomaji na mfuatiliaji wa makala zangu kupitia gazeti letu hili tukufu. Hoja na maswali yako ndiyo chachu ya mimi kuendelea kuandika tafakuri mbalimbali kuhusu...
9 years ago
StarTV02 Nov
Hofu ya ufaulu yatanda kwa wanafunzi wa Kidato cha nne
Ikiwa zimebaki siku chache ya kufanyika mitihani ya kidato cha nne bado hofu ya ufaulu kwa wanafunzi wa kidato hicho imetanda ikilinganishwa na ufaulu kwa wahitimu wa kidato cha Sita.
Wadau wa elimu wanaelezwa kuwa kiwango cha ufaulu cha kidato cha nne kipo chini ikilinganishwa na ufaulu wa kidato cha sita hali inayosababisha vijana wengi kushindwa kuendelea.
Mkurugenzi wa shule ya sekondari Kassa Charity anasema elimu ndio msingi wa maendeleo kwa kila nchi hivyo amewataka wanafunzi kusoma...
10 years ago
Mwananchi05 Sep
Bunge lakataa elimu ya kidato cha nne kwa wabunge
5 years ago
MichuziMKURUGENZI KAGURUMJULI APONGEZWA KINONDONI KUONGOZA MARA NNE MFULULIZO MATOKEO KIDATO CHA NNE NA PILI KIMKOA
Mkuu wa shule ya Sekondari ya Canosa sister Irine Nakamanya akipokea cheti cha pongezi kwa shule hiyo kufanya vizuri kwenye matokeo ya kidato cha nne na pili.Wanafunzi na walimu waliokuwa katika hafla ya kupongezwa kwa kufanya vizuri katika matokeo ya kidato cha nne na cha pili mwaka 2019. Hafla hiyo imeandaliwa na Idara ya elimu Sekondari.
9 years ago
MichuziSerikali yafuta rasmi ada kwa elimu ya sekondari kidato cha kwanza hadi cha nne na michango yote katika elimu ya msingi
9 years ago
MichuziTangazo kwa wahitimu wa kidato cha nne, sita na JKT ambao wamechaguliwa kujiunga na mafunzo ya awali ya Polisi
KILA MMOJA ATATAKIWA KUWA NA NAULI YA KUMWEZESHA KUSAFIRI TOKA MAKAO MAKUU YA MKOA ANAKOANZIA KUSAFIRI HADI SHULE YA POLISI MOSHI NA ATAREJESHEWA NAULI ATAKAPOFIKA...
10 years ago
MichuziMaofisa wanane wa Benki Kuu Tanzania (BOT) kizimbani kwa mashitaka 14 ya kufoji vyeti vya kidato cha nne
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10