Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Matokeo kidato cha nne ni hujuma kwa wazazi

NIANZE kwa kukushukuru wewe unayeendelea kuwa msomaji na mfuatiliaji wa makala zangu kupitia gazeti letu hili tukufu. Hoja na maswali yako ndiyo chachu ya mimi kuendelea kuandika tafakuri mbalimbali kuhusu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MKURUGENZI KAGURUMJULI APONGEZWA KINONDONI KUONGOZA MARA NNE MFULULIZO MATOKEO KIDATO CHA NNE NA PILI KIMKOA


Mkuu wa shule ya Sekondari ya Canosa sister Irine Nakamanya akipokea cheti cha pongezi kwa shule hiyo kufanya vizuri kwenye matokeo ya kidato cha nne na pili.Wanafunzi na walimu waliokuwa katika hafla ya kupongezwa kwa kufanya vizuri katika matokeo ya kidato cha nne na cha pili mwaka 2019. Hafla hiyo imeandaliwa na Idara ya elimu Sekondari.

 

10 years ago

Michuzi

SHULE ZA BINAFSI ZAONGOZA MATOKEO YA MTIHANI WA UTIMILIFU (MOCK) KWA WANAFUNZI WANAOSOMA KIDATO CHA NNE JIJINI DAR

 Afisa Elimu wa Mkoa wa Dar es salaam Bw.Raymond Mapunda akitoa matokeo ya mtihani wa Utimilifu kwa wanafunzi wa shule za Sekondari jijini Dar es salaam ambapo katika mtihani huo uliofanyika Mei 25 hadi Juni 12 mwaka huu shule Binafsi zimeongoza kwa ufaulu.
Na Aron Msigwa -MAELEZO.MATOKEO  ya mtihani wa Utimilifu kwa wanafunzi wanaosoma kidato cha nne katika shule za  Sekondari za jiji la Dare es  salaam yametolewa leo jijini Dar es salaam yakiwa na alama za juu  za ufaulu kwa wanafunzi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maajabu matokeo kidato cha nne

MATOKEO ya kidato cha nne yaliyotangazwa hivi karibuni yameendelea kuibua mkanganyiko kutokana na kuwapo kwa utofauti wa madaraja kwa pointi zinazolingana. Mkanganyiko huo unatokana na kuwepo kwa hali ya sintofahamu...

 

10 years ago

Mwananchi

Matokeo kidato cha nne yakamilika

Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limesema usahihishaji wa mitihani ya kidato cha nne uliofanyika Novemba mwaka jana, umekamilika.

 

10 years ago

Vijimambo

TAARIFA YA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE

Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limesema usahihishaji wa mitihani ya kidato cha nne uliofanyika Novemba mwaka jana, umekamilika.Katibu mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde aliliambia gazeti hili wiki hii kuwa “usahihishaji umekamilika na baraza lipo katika uchambuzi wa kuyapanga na tutakapokamilisha tutayatangaza”.Alipoulizwa ni lini hasa matokeo hayo yatatangazwa, Dk Msonde alisema: “Tumemaliza kusahihisha na mchakato wa kuyapanga ukikamilika tutawaeleza hivyo msiwe na shaka.”Katika...

 

11 years ago

Mwananchi

Matokeo kidato cha nne yazuiwa,yafutwa

Wakati watahiniwa Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) likizua matokeo ya watahiniwa 31, 518 kutokana na kutolipa ada ya mtihani huo, wengine 282 wamefutiwa matokeo yao kutokana na kubainika kufanya udanganyifu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

BAVICHA: Matokeo kidato cha nne ni ya kisiasa

BARAZA la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) limesema matokeo ya kidato cha nne yaliyotangazwa na serikali juzi ni ya kisiasa zaidi. Katibu Mkuu wa BAVICHA, Deogratias Munishi,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani