Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utata chanzo cha ajali ya ndege Misri

Utata umeendelea kugubika ajali ya ndege iiyodondoka katika katika rasi ya Sinai huko nchini Misri na kuua abiria wote mia mbili na ishirini na nne walikufa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Uingereza:Mlipuko chanzo ajali ya ndege

Uingereza imetoa angalizo kwamba huenda mlipuko ndio uliosababisha ndege ya shirika la ndege la Urusi kuangukia nchini Misri.

 

9 years ago

Habarileo

Umbumbumbu watajwa chanzo cha ajali

KUKOSEKANA kwa uelewa juu ya hatari na madhara yanayoweza kusababishwa na kemikali kumetajwa kuwa ni chanzo kikubwa cha ajali mbalimbali hapa nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Majeruhi asimulia chanzo cha ajali

Majeruhi wa basi la Burudani lililouwa watu 12 na kujeruhi wengine 93 katika Kijiji cha Taula, Kwedizinga wilayani Handeni, Tanga, wamesema chanzo cha ajali hiyo ni dereva kuendesha mwendo kasi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kandoro: Mawakala chanzo cha ajali

MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, amsema siri ya kukithiri kwa ajali za barabarani ni kutokana na mawakala wanaokatisha tiketi katika vituo vya mabasi  kutoa motisha ya fedha kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Abiria chanzo cha ajali za mabasi’

Kamati ya watu 14 iliyoundwa na Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe kufuatilia chanzo cha ongezeko la ajali za mabasi, imebaini kuwa abiria wanashawishi madereva kuendesha mabasi kwa kasi na hivyo kuwa sehemu ya sababu za kuongezeka kwa ajali.

 

11 years ago

GPL

CHANZO CHA AJALI YA SALUM MKAMBALA CHATAJWA

Mtangazaji wa Channel  Salumu Mkambala, akipelekwa Theatre katika Hospitali ya Tumbi, Kibaha, Pwani. Msanii wa kundi la Mizengwe, Hemed Maliyaga (wa kwanza kulia) akisaidiana na ndugu pamoja na mke wa Mkambala (wa tatu kushoto) kumpeleka mgonjwa Theatre.…

 

11 years ago

Habarileo

DC: Waendesha bodaboda chanzo cha ajali nyingi

Farida Mgomi MKUU wa Wilaya ya Masasi anayeshikilia pia Wilaya ya Nanyumbu Farida Mgomi amesema kuwa ajali nyingi za barabarani zinasababishwa na madereva pikipiki (bodaboda) kutokana na kutojua, kutotii na kutofuata sheria za usalama barabarani.

 

11 years ago

Habarileo

TBS: Magari mitumba, tairi chakavu chanzo cha ajali

UNUNUZI wa magari nje ya nchi yaliyokaa muda mrefu kisha kuyatumia nchini, unadaiwa kuchangia ajali nyingi barabarani, kutokana na baadhi tairi kuisha muda wa matumizi.

 

9 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI AZINDUA SAFARI ZA NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LA NCHINI ABU DHABI LEO MCHANA KATIKA KIWANJA CHA NDEGE CHA KIMATAIFA CHA MWL. JULIUS NYERERE (JNIA)

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dkt Shaaban Mwinjaka, akiteta jambo na Balozi wa Nchi za Falme za Kiarabu(United Arab Emirate) nchini Tanzania, Balozi Abdullah Ibrahim Al Suwaidi, kabla ya Uzinduzi wa Safari za Ndege ya Shirika la Ndege la Etihad la Nchini Abu Dhabi, leo mchana. Magari ya Zimamoto yakimwaga maji kuashiria uzinduzi na ukaribisho wa Safari za Ndege ya Shirika la Ndege la Etihad la Nchini Abu Dhabi, leo mchana katika kiwanja cha ndege cha kimataifa cha Mwl. Julius Nyerere...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani